AY:Kurudi kwa ‘East Coast Team’...
Msanii AY ambaye ni miongoni mwa wanaounda kundi la East Coast Team, amemtupia msanii mwenzake GK zigo la kurudisha kundi hilo. Akizungumza kwenye eNewz ya East Africa Televisio, AY amesema uwezekano wa kundi hilo kurudi upo lakini mwenye uamuzi wa mwisho ni King Crazy GK ambaye amemtaja kama Amiri Jeshi mkuu wa kundi hilo. “Kwanza […]
Read More..





