-->

Author Archives: editor

Joyce Kiria ‘superwoman’ wa Wanawake Li...

Post Image

Mtangazaji wa TV, Joyce Kiria pamoja na crew ya kipindi chake, Wanawake Live, wamepata ajali wakati wakielekea mjini Sumbawanga, Rukwa. “Juzi jtano tulianza safari ya kuja Sumbawanga toka kwa lengo la kumtembelea Wankota Binti Shujaa asiekata Tamaa kirahisi wala asieogopa changamoto, na pia ilikuwa tukitoka kwa Wankota, ni safari ya kwenda Mbeya kufanya kampeni ya […]

Read More..

Meneja Sober House Aanika Mazito ya Ray C

Post Image

SIKU chache baada ya kufikishwa katika kituo maaulum cha kusaidia waathirika wa dawa za kulevya Bagamoyo Sober House, meneja wa kituo hicho, Godwin Msilo ameeleza mazito ya mrembo huyo sambamba na maendeleo yake kwa ujumla. Ray C alifikishwa kwenye kituo hicho Ijumaa iliyopita baada ya kukamatwa na polisi maeneo ya Kinondoni jijini Dar akifanya vurugu […]

Read More..

Kala Jeremiah: Baba Alifariki Siku ya Kukut...

Post Image

MSANII wa miondoko ya hip hop, Kala Jeremiah, amesema hatasahau siku alipopanga kukutana na baba yake mzazi kwa mara ya kwanza kwani ndiyo siku aliyofariki dunia. Kala alisema alitoka Mwanza hadi Dar es Salaam kumtafuta baba yake lakini kabla hajakutana naye alipokea taarifa mbaya kuhusiana na baba yake huyo jambo ambalo anadai halitatoka katika kumbukumbu […]

Read More..

TID Ampa Makavu Dully Sykes

Post Image

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East AFrica Radio, TID amesema Dully Sykes hakupenda kitendo cha Joh Makini kuwepo kwenye collabo yao ya wimbo wa confidence. “Kwanza ile ngoma mwenyewe ndio alitaka kuwepo baada ya kuisikia, akasema mnyama hii ngoma kali naomba niweke sauti na mimi, nikamkubalia tukarekodi, lakini alivyokuja kusikia Joh Makini yupo akanipigia simu […]

Read More..

Ray Kumfuata Chuchu kwa Dini Yake!

Post Image

BAADA kuwa katika mahusiano kwa muda mrefu nyota wawili katika tasnia ya filamu Bongo Vincent Kigosi ‘Ray’ na Chuchu Hansy , Chuchu anafunguka kwa kusema kuwa mpenzi wake huyo yupo mbioni kubadili dini na kumfuata yeye kwani tayari anafunga naye mwezi huu mtukufu. “Ray ananisupport kufunga mwezi huu yupo sambamba nami kufuata taratibu za kidini […]

Read More..

Aunt Ang’aka Kisa Ubonge

Post Image

TAA wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ameng’aka baada ya baadhi ya mashabiki kumnanga kuwa anaelekea kuzeeka kutokana na kuharibu umbo lake ambapo anaonekana kunenepa kupita kiasi na kuwaambia kuwa mchumba wake, Mose Iyobo ndiye anapaswa kumsema. Akizungumza na Amani Aunt alisema kuwa, anawashangaa watu wanaombwatukia kuwa amenenepa kupita kiasi wakati Mose anayeishi naye anaonekana kuvutiwa […]

Read More..

Chidi Benz Atoboa Chanzo cha Wasanii Kutumi...

Post Image

Msanii wa muziki wa Hip Hop, Chidi Benz amefunguka na kueleza jinsi wadau wa muziki nchini wanavyosababisha wasanii wa muziki kuingia kwenye matumizi ya Madawa ya kulevya. Rapper huyo ambaye ameachana na matumizi ya Madawa ya kulevya hivi karibuni, ameiambia BBC kuwa wasanii wengi wanaingia kwenye Madawa ya kulevya baada ya kupata stress za kubaniwa […]

Read More..

Uwoya Aitwa Ikulu ya Kenya

Post Image

Zali! Kuna madai kwamba, Rais wa Kenya, Uhuru Jomo Kenyatta amempa mwaliko maalum staa mwenye mvuto katika sinema za Bongo, Irene Pancras Uwoya kuitembelea ikulu ya nchini hiyo, ikiwa ni msanii wa kwanza Bongo kupata fursa hiyo, Amani limedokezwa. Kwa mujibu wa chanzo, awali rais huyo aliwahi kutolewa na jarida moja la nchini humo kwamba […]

Read More..

Young Dee: Nimekoma ngada

Post Image

Baada ya mengi kutokea na kuvuma juu ya tetesi za utumizi wa madawa ya kulevya kwa msanii wa bongo fleva Young D hatimaye amerudi tena kwa kiongozi wake wa zamani Max na kutangaza kuacha ngada mbele ya waandishi wa habari. Enewz imezungumza na MAX na tukamuuliza tulitegemea kusikia wimbo mpya wa Young D leo hii […]

Read More..

Diamond: Niombeeni Nirudi na Tuzo

Post Image

WAKATI akisafiri kuelekea nchini Marekani kwa ajili ya kushiriki utoaji wa tuzo za BET, msanii wa kizazi kipya, Nassib Abdul ‘Diamond’, amewataka Watanzania waendelee kumuombea ili arudi na tuzo hizo zinazotarajiwa kutolewa Juni 26. Diamond alichaguliwa kuwania tuzo hizo kipengele cha msanii bora wa kimataifa kutoka Afrika (Best International Act Africa). Kupitia kwa meneja wake, […]

Read More..

Irene Uwoya Kusomesha Watoto 10

Post Image

NYOTA wa filamu za Tanzania, Irene Uwoya, amechangia katika mfuko wa binti ili kusaidia kusomesha watoto 10 kati ya wengi wanaoishi kwenye mazingira magumu. Uwoya alitoa mchango huo mwishoni mwa wiki iliyopita baada ya kuhitimisha matembezi ya kuchangisha fedha na vifaa vya shule kwa watoto wanaoishi mazingira magumu. “Nimejitolea kusomesha watoto hao 10 kupitia ‘Binti […]

Read More..

Huu ndiyo Ujio Mpya wa J.Plus na Seba

Post Image

Nyota wa filamu za Action nchini Tanzania ambaye ni mmoja kati ya mwasisi wa filamu hizo, Jimmy Mponda maarufu kama “J.Plus” aliyeanza rasimi kutoa Action Muvi ya “Shamba kubwa” mnamo mwaka 1994, Filamu yake ya pili ikafuata 1995, ilipewa jina la “Unga Adui” yatatu iliitwa “Kifo haramu” ilikuwa 1997 ya nne ilikuwa “Usia” 2003. 2005-2010 […]

Read More..

Afande sele Adai Kuwa na Wanawake Kama Sita...

Post Image

Msanii wa muziki na mwanasiasa kutoka mji kasoro bahari, Afande Sele amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye hatarajii kuoa kwani bado yupo yupo sana ingawa anakiri wazi kuwa yupo na mahusiano na wanawake kama sita hivi ambao wanamsaidia kumtunzia watoto wake huku akiangalia kati yawatu hao alionao yupi anastahili kuwa malkia. Afande Sele alisema hayo […]

Read More..

Juma Nature Afukukia Wasanii Wanaotumia Ung...

Post Image

Baada ya hapo jana  msanii Young Dee kukiri kutumia madawa kwa mwaka na nusu na kwamba ameacha huku akiahidi maisha mapya, msanii mkongwe wa bongo Fleva, Juma Nature ametoa maoni yake pia kuhusiana na matumizi ya madawa hayo. “Kuna mambo ambayo nikijiuliza jibu sipati hivi ni kweli kuna wasanii wanakula mambo hivi, mbona sisi uhuni […]

Read More..

Johari Aanika wa Kumpa Penzi Lake

Post Image

Mwigizaji wa kitambo kunako Bongo Movies, Blandina Chagula ‘Johari’ ameweka wazi kuwa, ni bora ajihusishe na uhusiano wa kimapenzi na mwanaume ‘kapuku’ (asiye tajiri wala maarufu) kuliko kutoa penzi lake kwa staa yeyote wa Kibongo kwa sababu wengi wao ni ‘michosho’. Johari (pichani) aliliambia Amani hivi karibuni kwamba, kwa upande wake, hivi sasa kutoka na […]

Read More..

Nitafuturu na Wasiojiweza – Nisha

Post Image

Msanii wa bongo fleva Nisha anategemea kuwafuturisha watu wasiojiweza tarehe 26/6/2016 viwanja vya Azania Lego ili kuweza kuwasaidia watu wanaoishi katika mazingira magumu na wasiojiweza ikiwa kama moja kati ya sadaka zake ambazo atakuwa ametoa. Pia ameendelea kusema kwamba futari hiyo haina masharti, hivyo anawaalika watu wote bila kujali dini kuweza kujumuika na yeye katika […]

Read More..

Siwema Amuumbua Nay wa Mitego

Post Image

SIKU chache baada ya mzazi mwenzake na msanii Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego,’ Siwema Edison kutoka gerezani na kutakiwa atumikie kifungo cha nje, amefunguka ya moyoni huku akimuumbua ‘zilipendwa’ wake huyo aliyekuwa akidai alipambana kumsaidia. Chanzo makini cha habari hii kilitutonya hivi karibuni kuwa, mbwembwe zote alizokuwa akizitoa Nay kuwa yeye ndiye kila kitu mpaka […]

Read More..

Young Dee Akiri kutumia Unga, Aomba Radhi

Post Image

Rapper Young Dee hatimaye amethibitisha tetesi za miaka mingi kuhusu utumiaji wa madawa ya kulevya na kukiri kuwa ametumia kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu. “Sina mtu ambaye ninaweza kumlaumu, lakini mazingira ambayo nimepitia ndio ambayo yamefanya hivyo, kuna wakati ambao nimeishi sana na watu mtaani, kwa hiyo kidogo kidogo ikanifanya niweze kushawishika na […]

Read More..