-->

Author Archives: editor

Nuh Mziwanda Afunguka Kuhusu Kurudiana na S...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya ambao amemshirikisha Alikiba amefunguka na kusema kuwa hata kama ikitokea mpenzi wake huyo wa zamani akitaka kurudiana na yeye ni kitu kisichowezekana kwa sasa. Akizungumza kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana Nuh Mziwanda amesema kuwa kwa sasa yeye […]

Read More..

Roma: Nimechagua Maisha ya Shida

Post Image

Nyota wa muziki wa Rap Bongo ‘Rhymes Of Magic Attraction’ Roma amethibitisha fununu za kuwa muziki anaoufanya umekua ni msalaba mzito kwenye maisha yake. Akizungumza na eNewz Roma alisema kuwa hayo ndiyo maisha aliyoyachagua na ni mwanaharakati anaetetea haki na amani katika taifa lake, maendeleo bora na hicho ndicho kitu kikubwa anachojaribu kukipigania. “Natamani nipate […]

Read More..

Alikiba Kuachia Wimbo Huu Mpya

Post Image

Alikiba anatarajia kuachia wimbo wake mpya alioupa jina ‘Aje. Hajasema wimbo huo utatoka lini lakini dalili zinaonesha kuwa unaweza ukaachiwa mwezi huu. Huo unakuwa wimbo wake mpya mwenyewe tangu aachie Lupela. Kwa sasa Kiba anafanya vizuri na wimbo aliofanya na Sauti Sol, Unconditionally Bae. Bongo5

Read More..

Snura Aomba Radhi, Awasilisha Video Safi ya...

Post Image

Snura amewaomba radhi watanzania kwa video ya wimbo wake ‘Chura’ inayowadhalilisha wanawake na iliyo kinyume na maadili. Muimbaji huyo amekutana na waandishi wa habari Alhamis hii kwenye ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar es Salaam. Jana video na wimbo huo vilifungiwa na wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo kwa madai kuwa inakiuka maadili ya […]

Read More..

Snura Akanusha Kufungiwa Yeye na Wimbo Wake

Post Image

Baada ya taarifa kuenea kuwa Snura amefungiwa kujihusisha na kazi ya sanii nchini pamoja na wimbo wake na video msanii huyo amepaza sauti yake na kusema kuwa yeye hajafungiwa kufanya sanaa wala wimbo wake haujafungiwa na serikali. Akiongea na Planet Bongo ya East Africa Radio, Snura amesema kuwa katika barua ambayo alipewa imeeleza wazi kuwa […]

Read More..

Nashindwa Kununua Vitumbua-Dudubaya

Post Image

Msanii Dudubaya amefunguka na kusema kuwa maisha ya kuwa maarufu ni magumu sana kwani kuna wakati unashindwa kufanya vitu ambavyo wewe unapenda kutokana na kuwa na umaarufu. Dudubaya kupitia kipindi cha Planetbongo amekiri kuwa kuna wakati anajutia maamuzi yake ya kutaka kuwa maarufu na kuwa maarufu kwani yanamfanya aishi maisha ambayo si yake kwani akifanya […]

Read More..

Ving’amuzi Vinaua Bongo Movie – Chekibudi

Post Image

Star wa Bongo movi Chekibudi anaumizwa moyo na ving’amuzi kutokana na kwamba ni moja kati ya vitu vinavyoua kwa kasi soko lao la filamu. Akizunguma na Enewz Chekibudi alisema kuwa ving’amuzi vingi vimetoka kwa sasa na vinaonesha filamu mbalimbali kitu kilichopelekea mauzo ya kazi zao kushuka. “Sisi tulipotea pale tulipouza kazi zetu badala ya kuuza […]

Read More..

Hii Ndiyo Idadi ya Filamu Zilizokamatwa na ...

Post Image

Katika hatua za kupamba na kazi za filamu ambazo zinaingizwa nchini kinyume na sheria na kuikosesha serikali mapato, Bodi ya Filamu tayari imekamata zaidi ya kazi za filamu 656,000 ambazo zimeingizwa nchini kinyume na sheria. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini, Joyce Fisoo alisema wao kama bodi ya filamu […]

Read More..

Snura Afungiwa Kufanya Kazi za Sanaa

Post Image

Serikali imezuia wimbo na video ya ‘Chura’ ya msanii kupigwa kwenye chombo chochote cha habari maeneo ya wazi na kwenye kumbi mbali mbali na Snura amefungiwa kufanya maonyesho yoyote ya wazi. Tamko hilo limekuja mara baada ya TCRA, BASATA na Wizara ya habari, Bodi ya filamu kukaa na Bi Snura kwa kubaini kuwa wimbo una […]

Read More..

“Mimi Ndio Mwanamke Mzuri Bongofleva&...

Post Image

Shilole ameyasema hayo leo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha 5SELEKT kinachorushwa na EATV. “Mimi ni mwanamke mzuri without make up (bila vipodozi), unaweza ukaniamsha usingizini na nikaenda popote bila makeup, katika Bongofleva mimi ni mwanamke mzuri sana hamna anayebisha,” alisema Shilole. Pamoja na hayo Shilole amezungumzia suala la kuwa na ukaribu na msanii Nedy Music, […]

Read More..

Mwanaher: Nipo Vizuri Kila Idara Mwanaher, ...

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa kike Mwanaher Afcely anayefanishwa na mwigizaji wa kike Swahilihood Riyama ametamba kwa kusema kuwa hajivunii kufanana na Riyama bali ni uwezo wake katika uigizaji kwani anafanya vizuri na hata wengine wanashindwa kumtofautisha na Riyama kwa kuigiza kwa ufasaha. “Nipo kikazi zaidi na unajua kama unafananishwa na msanii mwenye uwezo mkubwa ni […]

Read More..

Master Jay Atoboa Sababu za Yeye Kuoa Mapem...

Post Image

Mtayarishaji wa muziki mkongwe na mmiliki wa Studio ya Mj Records, Master Jay amefunguka na kusema kuwa yeye aliwahi kuoa mapema kutokana na ‘presha’ (shinikizo) la wazazi wake na jamii kiujumla. Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi kinachorushwa na EATV, Master Jay amesema aliweza kumuoa mke wake wa kwanza akiwa mdogo kutokana na wazazi wake na […]

Read More..

AT Awapa ‘Makavu Live’ Mapromot...

Post Image

Game ya Bongo imekuwa ikishikiliwa na wasanii wa kutoka Tanzania bara na kwa sasa wasanii wengi wa kutoka Zanzibar wamekuwa wakifeli. Akizungumzia sababu kubwa ya kufeli kwa wasanii hao Star wa mduara AT alisema kuwa mapromota ndo wanaoua vipaji vya wasanii hao. “Wao wanapromote sana wahuni kuliko wastaarabu wanaojua kufanya kazi na ndomana muda mwingine […]

Read More..

WCB Wadaiwa Kupora Wimbo wa ‘Bado’

Post Image

Producer Frag kutoka Uptown Music ametumbua jipu baada ya kuibuka na kusema kuwa yeye ndiye aliyetengeneza wimbo wa Bado wa Harmonize na Diamond. Frag aliiambia Enewz kuwa pamoja na kazi kubwa aliyoifanya kuhakikisha ngoma hiyo inakuwa poa lakini bado WCB wakamzima na hawakumlipa hata senti tano na kuambulia elfu thelathini pekee ya nauli. “Kawaida nikifanya […]

Read More..

Nape Kutumbua Majibu 4 Ambayo Yataibadili B...

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisitiza kwamba Serikali itatunga sera ya sekta hiyo katika mwaka wa fedha 2016/17. Nape aliyataja mambo hayo na kuyafananisha na majipu kuwa ni uporaji wa kazi […]

Read More..

Maneno Haya ya Christian Bella Yawashangaza...

Post Image

Kama wewe ulikuwa ukiamini msanii Christian Bella kwenye ‘playlist’ zake lazima awasikilize wasanii wa Kongo inabidi uifute,’isue’ ni kwamba Bella sio mpenzi kabisa wa ngoma za dansi. Christian Bella amefunguka haya kupitia choudsfm. ‘’Kwasababu mimi napenda sana kusikiliza za wazungu ningependa kurudia wimbo wa ‘With U’ wa Chriss Brown mimi nina ngoma zangu kama hizo, […]

Read More..

Tamthilia ya’ The Favoured one’ Kuoneka...

Post Image

Ni tamthiliya inayohusu simulizi na visa vya kweli katika maisha ya watu. Itaonekana katika chaneli ya StarTimes Swahili, mahususi kwa vipindi vinavyotumia lugha ya Kiswahili inayoonekana pia nchini Kenya. StarTimes yahamasisha watanzania kuchangamkia fursa kwa kutengeneza filamu na tamthiliya ili ziweze kuonekana kupitia chaneli hiyo ili kupanua wigo wa mashabiki wao. Katika kuboresha maudhui yanayotumia […]

Read More..

Shaa Aeleza Anavyomchukulia Master J

Post Image

Master J na Shaa wamekuwa kwenye uhusiano kwa miaka mingi sasa na wameendelea kuwa imara. akini pamoja na kuwa hivyo, bado uhusiano wao wa kikazi una nafasi kubwa zaidi. Hali hiyo ndiyo imemfanya Shaa kujitahidi kutofautisha uhusiano wao na kazi kwakuwa kwake Master J ni bosi wake. “Bosi wangu meaning ni CEO wa MJ Records, […]

Read More..