-->

Author Archives: editor

Ndanda Kosovo Afariki Dunia

Post Image

Msanii wa muziki wa dansi Ndanda Kosovo amefariki dunia asubuhi ya leo katika hosptali ya taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanamuziki mwenzake Kardinal Gento, Ndanda alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya vidonda vya tumbo, maradhi yaliyopelekea kulazwa katika hospitali ya Mwananyamala Dar es salaam. Kardinali ambaye pia ni mjomba […]

Read More..

Shamsa Amsweka Lupango Mzazi Mwenziye

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati amemsweka lupango mzazi mwenziye Dick Matoke, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay kwa kile kinachodaiwa kuwa mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kumtukana mara kwa mara akishirikiana na mpenzi wake wa sasa ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja. Kwa mujibu wa chanzo makini, Dick na mwanamke […]

Read More..

Najuta Kuachana na Mke Wangu wa kwanza – ...

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Gardiner G Habash amesema miongoni mwa vitu anavyojutia katika maisha yake ni kuachana na mke wa kwanza aliyezaa naye mtoto wa kike, Karen, ambaye kwa sasa yupo mwaka wa pili chuoni.   Akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gardiner alisema kutokana na kubadilisha kazi ya awali na kuwa […]

Read More..

Kipini Puani kwa Diamond Chazua Gumzo Mtand...

Post Image

MFALME wa Bongo Fleva nchini anayekimbiza na ngoma yake ya Make Me Sing, Diamond Platnumz amejikuta kwenye wakati mgumu huku akishambuliwa kwa maneno kwenye mtandao wa Instagram baada ya jana Jumatano kuweka picha iliyomwonesha akiwa amevaa hereni. Picha hiyo ilizua sintofahamu kwa mashabiki zake huku wengi wao wakihoji imekuwaje na nini kimemsibu staa huyo kutoboa […]

Read More..

Wanawake Hatupendani Kabisa -Khadija Kopa

Post Image

Msanii maarufu wa taarabu nchini Khadija Kopa amewaasa wanawake nchini kupendana na kusaidiana ili kuweza kupiga hatua za kimaendeleo. Kopa ameyasema hayo aliposhiriki katika kipindi cha wanawake live kinachorushwa na EATV ili kuwajengea wanawake ujasiri wa kutafuta na kuepuka utegemezi hapa nchini. ”Wanawake hatupendani mimi ni mwana siasa nikiwa kwenye kura hatua za kupigiwa kura […]

Read More..

Alikiba Kugeukia Soka..! Je, Vipi Kuhusu Mu...

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka kuhusu suala la yeye kuingia kwenye soka na kulisakata kabumbu, na kusema kuwa suala kama hilo linawezekana kwake.   Alikiba ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa radio, na kusema kuwa hivi karibuni kuna timu ya mpira imemfuata kumtaka kujiunga na timu hiyo, lakini atakuwa na […]

Read More..

Shamsa Ford: Mungu Niepushe Nisiingie Kweny...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford hivi karibuni alifunguka kupitia mtandao wa Instagram kuwa mahusiano na mastaa wa Bongo hayadumu kwa miezi mitatu na amemuomba Mungu amuepushe mbali nayo.   Akiweka picha ya Beyonce na Jay Z, Shamsa alidai ni uhusiano wao tu ndiyo anaouelewa miongoni mwa mastaa. Aliandika: Haya ndio mahusiano ninayoyakubali dunia nzima.unaweza […]

Read More..

Cloud afunga ndoa tena Ulaya kwa siri

Post Image

NYOTA wa sinema za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud’ amefunga ndoa  tena, lakini safari hii ni kwa siri huko nchini Sweden na mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mina ambaye amekuwa akimposti kila kukicha mitandaoni kwa kumuita pacha. Chanzo kilicho karibu na staa huyo kililiambia gazeti hili kuwa, Cloud amemfanyia mbaya mkewe, Cynthia kwa kuamua kuoa […]

Read More..

Zijue Hapa Baadhi ya Kazi Alizofanya za Mar...

Post Image

Aliyekuwa mwigizaji wa filamu za Kibongo,marehemu Steven Kanumba leo ametimiza miaka minne tangu alipofariki dunia April 7 mwaka 2012. Historia ya Hayati Steven Kanumba. Amezaliwa: Januari 8 1984 Shinyanga,Tanzania Amekufa: Aprili 7, 2012 Dar es Salaam,Tanzania Kazi yakeMuigizaji,Mtunzi,Mtayarishaji,Muongozaji Steven Charles Kanumba(8 Januari1984,Shinyanga-7 Aprili2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchiniTanzania. Katika historia ya tasnia […]

Read More..

Picha: Mastaa Wajitokeza Kumuenzi Steven Ka...

Post Image

NA DENIS MTIMA/GPL

Read More..

Kanumba Kafa na Sanaa Imekufa – Steve...

Post Image

Muigizaji wa Filamu Steve Nyerere amefunguka ya moyoni kuhusu kifo cha marehemu Steven Kanumba na kufa kwa tasnia ya filamu nchini, ambayo wasanii wengi wamekuwa wakipinga kauli hiyo. Katika ukurasa wake wa instagram Steve Nyerere amepost picha ya marehemu Steven Kanumba akikumbuka kifo chake na kuandika ujumbe akisema kuwa muigizaji huyo nguli, ameondoka na sanaa […]

Read More..

Juma Nature Amuonya KR Kuhusu Kubwia ‘Unga’

Post Image

Kwenye mahojiano ya mwisho kati ya KR Mulla na eNewz, KR alijitambulisha kama Raisi wa Radar Entertainment, ambayo inamilikiwa na TID, na siku za karibuni TID na KR wameonekana kuwa marafiki ukiachilia mbali kufanya kazi pamoja ndani ya Radar Entertainment. Juma Nature ambaye aliwahi kufanya muziki ndani ya kundi la Wanaume Family pamoja na KR […]

Read More..

Riyama Awapa Makavu Wanaoponda Mahusianio Y...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Riyama Ally ambaye siku za karibuni ametolewa mahali na msanii wa muziki wa kizazi kipya Leo Mysterio amevunja ukimya kwa watu ambao wamekuwa wakisema kuwa anatoka na dogodogo huyo. Riyama amesema kuwa wanataka atoke na mzee ndiyo wamuone kuwa ana heshima. Kupitia kipindi cha eNEWS kinachorushwa na EATV Riyama amesema kuwa […]

Read More..

Miaka 4 ya Kifo cha Kanumba, Hii Ndiyo Hali...

Post Image

Hii ndiyo hali halisi! Ikiwa leo ni siku ya kumbukumbu ya kifo cha aliyekuwa staa wa filamu Bongo, Steven Charles Kanumba ambapo ametimiza miaka minne kaburini, mambo mbalimbali yametokea tangu alipofariki dunia huku magari na kampuni aliyokuwa akimiliki vikiwa vimepukutika kama majani. Kanumba alifariki dunia Aprili 7, 2012 maeneo ya Vatcan-Sinza jijini Dar nyumbani kwake […]

Read More..

Wastara, Hili la Ndoa Inabidi Ujifunze!

Post Image

KWAKO mwigizaji wa kitambo Bongo Muvi, Wastara Juma. Habari za kazi? Unaendeleaje na shughuli zako za kila siku? Binafsi namshukuru Mungu. Sijambo. Naendelea kupambana. Nimekukumbuka leo kwa barua, maana kitambo kidogo hatujaonana laivu. Nakumbuka mara ya mwisho tulikutana nyumbani kwako, Tabata. Tukazungumza mengi, lakini hiyo ilikuwa yapata zaidi ya miaka minne iliyopita. Dhumuni la barua […]

Read More..

Filamu ya Tanzania Kuonyeshwa Tamasha la Ma...

Post Image

BAADA ya mafanikio makubwa iliyopata filamu ya ‘Aisha’ ilipoonyeshwa kumbi mbalimbali ikiwemo Nafasi Artspace na Pangani, filamu hiyo imechaguliwa kwa ajili ya kuonyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu la New African Films litakalofanyika Washington D.C. nchini Marekani, mwaka huu. Pia filamu hiyo imechaguliwa kuonyeshwa katika tamasha la kimataifa la filamu duniani katika maeneo manne mashuhuri […]

Read More..

Rais wa Shirikisho la Filamu Asema Haya Kuh...

Post Image

Baada miaka ya hivi karibuni kuibuka kwa wasanii wengi wa muziki kuhusishwa na matumizi ya Madawa ya kulevya, Rais wa Shirikisho la Filamu ‘TAFF’ Simon Mwakifwamba wamewapongeza wasanii wa filamu kwa kutokujihusisha na matumizi ya Madawa ya kulevya. Akizungumza na Clouds FM Jumanne hii, Mwakifwamba amesema kuwa hakuna msanii wa tasnia hiyo anajihusisha na utumiaji […]

Read More..

Hivi Ndivyo Irene Uwoya Alivyojifungua Kwa ...

Post Image

Msanii wa filamu Irene Uwoya amesema hakupenda kabisa kujifungua kwa upasuaji lakini ilimbidi afanye hivyo ili kuokoa maisha yake pamoja naya mwanaye.   Muigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja aitwae Krish, amekiambia kipindi cha Uhondo cha EFM kuwa wakati anaelekea hospitali kucheki afya yake na maendeleo ya mimba yake, hakujua kama ndio siku […]

Read More..