Shilole Ataja Tarehe ya Ndoa Yake
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Zuwena Mohammed ‘Shilole’, amesema mipango ya ndoa yake sasa imeiva, anatarajia kufunga Oktoba, mwaka huu, jijini Dar es Salaam. Akizungumza na MTANZANIA jana, Shilole alisema maandalizi yanaendelea na sasa zoezi lililobaki ni kutoa kadi za mwaliko kwa ndugu, jamaa na marafiki. “Mipango ya ndoa inakwenda vizuri, hivyo Oktoba mwaka […]
Read More..





