Tetemeko la ardhi lazua hofu kwa wananchi w...
Bukoba. Tetemeko la ardhi limetokea tena mkoani Kagera na kusababisha hofu kwa wananchi. Hofu hiyo inatokana na tetemeko la ukubwa wa 5.7 kwa vipimo vya Richter lililotokea mkoani hapa Septemba mwaka jana na kusababisha vifo vya zaidi ya watu 10 majeruhi takriban 200 na mamia wengine kukosa makazi. Wananchi waliozungumza na gazeti hili, katika Manispaa […]
Read More..





