-->

Category Archives: BongoFleva

VIDEO: Ben Pol Ataja Sababu za Ebitoke kuwa...

Post Image

WAKATI picha zikiendelea kutapakaa katika mitandao ya kijamii kuhusu mkali wa RnB nchini, Bernard  Paul ‘Ben Pol’ kuwa na msanii wa vichekesho Ebitoke, hatimaye mwanamuziki huyo ameamua kufunguka kuhusu jinsi alivyokutana na kuzungumza pamoja na kutaja sifa za msichana huyo kuwa mke wa ndoa .

Read More..

Nay wa Mitego Akomaa na Young Killer Msodok...

Post Image

Baada ya Young Killer kutoa ‘dis track’ aliyoipa jina ‘True Boya’ kumhusu Nay wa Mitego ambaye alimchana kupitia ngoma yake mpya ‘Moto’ Nay ameijibu kwa kukazia alichokiimba kwenye ngoma yake ni ukweli uliopo mtaani kwa mashabiki na wadau wa muziki. Nay amefunguka na kusema kwamba hata diss track aliyoitoa Young Killer ni jingle kwani wimbo […]

Read More..

Dada Hood; Ilikuwa Bonge la Chemistry Aisee...

Post Image

MOJA ya mradi uliopokelewa vizuri na mashabiki kwenye tasnia ya Bongo Fleva ni ule wa Dada Hood uliotayarishwa na mtangazaji wa XXL ya Clouds FM, Mamy Baby kwa ushirikiano na studio za The Industry. Dada Hood ni project iliyowakutanisha marapa sita wa kike wanaofanya vizuri kwenye muziki wa Bongo Fleva kama vile Cindy Rulz, Pink, […]

Read More..

Rayvanny Ameshinda Tuzo ya BET 2017

Post Image

Staa wa Bongo Flava, Rayvanny kutoka WCB ameshinda tuzo ya BET kipengele cha Viewers Choice Best New International Act Artist. Alichokiandika Diamond Platnumz baada ya Rayvanny kushinda tuzo ya BET 2017 kama ‘Hatimaye leo Unakuja nayo Tanzania Dah! ?….Zaidi ya miaka mi 3 tunaenda na kurudi Patupu….Hakika Maisha Uvumilivu na kutokata tamaa…. BRING IT HOME […]

Read More..

Diamond Akana Kumuandikia Wema Sepetu Wimbo...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz amesema si kweli wimbo wake mpya ‘I Miss You’ aliuandika maalumu kwa ajili ya aliyekuwa mpenzi wake wa zamani Wema Sepetu. Akizungumza na kipindi cha The Playlist cha Times FM, Diamond ameeleza yeye kuandika nyimbo kutokana na hisia alizonazo kwa wakati huo na huangali soko lipo vipi. “Hapana, sio […]

Read More..

Victor Wanyama Apewa Mtaa Ubungo – Dar

Post Image

Meya wa Manispaa ya Ubongo Boniface Jacob, amemtunuku mtaa, Kiungo wa Tottenham ya England Victor Wanyama raia wa Kenya. Jacob ambaye ni Meya akitokea Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), ameonekana kufurahishwa na mchezaji huyo kufika katika eneo lake na kuunga mkono michezo. Hivyo kwa kufurahishwa na namna alichofanya kiungo huyo Mkenya ambaye ni nahodha […]

Read More..

Young Killer Amjibu Nay wa Mitego

Post Image

Baada ya rapa Nay wa Mitego kumchana Young Killer kwenye ngoma yake mpya ‘Moto’ kuwa dogo sasa chali na safari yake kurudi Mwanza inanukia kutokana na msanii huyo kuonekana kupotea kwenye muziki kwa kile anachodai kuwa aliwadharau waliomtoa. Kufuatia diss hiyo Young Killer ameamua kujibu mapigo kwa Nay wa Mitego na kusema kuwa mara kadhaa […]

Read More..

Nilifanya muziki nipate mademu – Dull...

Post Image

Msanii Dully Skyes ambaye sasa anafanya vyema na ngoma yake ‘Yono’ amefunguka na kusema kuwa yeye alianza kufanya muziki wa bongo fleva ili awe mtu maarufu na kuanza kupata wanawake. Dully Skyes alisema hayo leo alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha Planet bongo ya East Africa Radio kwenye Heshima ya bongo fleva na kusema miaka kumi […]

Read More..

Ben Pol Avunja Ukimya kwa Ebitoke

Post Image

Msanii Ben Pol amefunguka ya moyoni baada ya kukutana kwa mara ya kwanza na mchekeshaji Ebitoke kwa kusema anaamini watu wengi wameoa ama kuolewa na watu wasiowapenda kwa sababu ya kushindwa kuelezea hisia zao. Ben amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya mchekeshaji Ebitoke kuonesha hisia za mapenzi katika mitandao ya kijamii kwa […]

Read More..

Mkishindana na Mimi Nitawaacha – Alikiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema kuwa yeye katika muziki wake hakuna mtu anayeshindana naye na kudai ila kama kuna watu wanataka kushindana na yeye basi atawaacha na kuendelea na mambo yake. Alikiba anasema katika maisha yake ya muziki hataki kuona mtu yoyote anamtoa katika njia yake, ndiyo maana watu ambao wanakuwa wakiongea ongea sana juu […]

Read More..

Nikki : Wasomi Acheni Kulia Kulia

Post Image

Rapa msomi kutoka Weusi Kampuni, Nikki wa Pili amewataka wahitimu waache kulia na kulalamikia serikali kwa kukosa ajira na badala yake wanapaswa watumie uthubutu wao katika yale waliyojifunza darasani. Nikki amefunguka hayo leo kupitia kipindi cha Supamix cha East Africa Radio baada ya wanafunzi wengi kutoka maeneno mbalimbali ya nchi wakionekena kukata tamaa ya maisha […]

Read More..

Nay wa Mitego Aachia Dude ‘Moto’, Wamo ...

Post Image

Msanii wa muziki wa hip hop, Nay wa Mitego ameachia wimbo wake mpya unaokwenda kwa jina la ‘Moto’. Rapa huyo ameendelea na nyimbo zake za kuwachana baadhi ya wasanii ambapo ndani ya wimbo huu uliotayarishwa na producer Awasome ametajwa, Alikiba, Baraka The Prince, Nandy, Ruby pamoja na wengine.

Read More..

Joketi Mwegelo Anavyotamani Watoto Mapacha

Post Image

MWANAMITINDO na msanii maarufu nchini, Joketi Mwegelo, ameweka wazi kuwa anatamani kuwa na watoto mapacha katika maisha yake. Joketi aliweka wazi hayo alipotembelea Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, inayochapisha magazeti ya MTANZANIA, BINGWA, DIMBA na Rai, zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Joketi ameweka wazi kwamba mwanamume atakayekuwa mume wake atamuweka wazi hivi […]

Read More..

Dogo Janja Aruka kwa Muna Love

Post Image

Msanii wa hip hop Dogo Janja amekanusha tetesi za kujihusisha kimapenzi na muigizaji wa zamani na mfanyabiashara Muna Love kwa kusema hajawahi kuwa na mahusiano na habari hizo zinamuweka sehemu mbaya katika mahusiano lakini pia kifamilia. Janjaro amelazimika kufunguka hayo baada ya tetesi kuenea muda mrefu kujihusisha na Mwanadada huyo huku wengine wakienda mbali zaidi […]

Read More..

Baada ya Harmonize, Rayvanny kufanya yake

Post Image

Baada ya Harmonize na Rayvanny kusainiwa lebo ya WCB na kutumia studio ya Wasafi, kurekodia nyimbo zao sasa tutegemee kusikia sauti hizo katika studio zingine. Kwa mujibu wa Diamond Platanumz akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds FM, amesema kuwa Rayvanny, naye anatarajia kufungua studio yake ya muziki itakayo weza kutengeneza midundo chini ya mtaarishaji Rash […]

Read More..

Vanessa Atoa Povu Jux Kumaliza Chuo

Post Image

Msanii Vanessa Mdee amempongeza mpenzi wake Juma Jux kwa kuhitimu elimu yake ya juu nchini China huku akiwapiga vijembe wale waliokuwa wanamsema msanii huyo kuwa hasomi bali anakwenda kukunua nguo, na kwamba picha alizoweka leo ni jibu tosha. Vanessa Mdee  ametoa pongezi hizo ikiwa ni siku moja baada ya Msanii huyo kuhitimu, na kutupia kijembe […]

Read More..

G Nako Afunguka Ishu ya Kulala Kwenye Jenez...

Post Image

Rapa G Nako amefunguka na kusema kwamba ujumbe na lengo lake limefanikiwa baada ya watu kushtuka walipomuona  ndani ya jeneza kwenye video ya wimbo wake mpya ‘Luck Me’ huku akikumbusha kwamba kila mtu lazima aingie kaburini na kusisitiza ibada. G Nako amefunguka hayo mbele ya kamera za eNewz ya EATV baada ya kuzua gumzo mtandaoni ikiwa […]

Read More..

Diamond Amkana Hamisa Mobeto

Post Image

Msanii wa muziki Diamond Platnumz amekanusha taarifa ambazo zimekuwa zikizagaa katika mitandao ya kijamii kuwa Hamisa Mobeto ana mimba yake. Aidha muimbaji huyo amekanusha pia kuwahi kutoka kimapenzi na video queen huyo ambaye anatikisa katika tasnia ya urembo. Akiongea katika kipindi cha XXL cha Clouds Fm Jumatano hii wakati akiutambulisha wimbo wake mpya ‘I Miss […]

Read More..