Pombe Ilivyoharibu Muziki wa Nuruel
Msanii wa bongo fleva Nuruel amesema ajali ya mguu aliyoipata miaka kumi iliyopita akiwa amelewa imekuwa ikimpa maumivu makali sana hali ya kumfanya kushindwa kufanya muziki vizuri kwa sasa. Akiongea kupitia eNewz ya EATV, amesema “Mguu wangu wa kushoto ulivunjika hali iliyonipelekea kupata mawazo sana na nikaachana na maswala ya muziki hali iliyonifanya nipotee kimuziki hata hivyo […]
Read More..





