-->

Category Archives: BongoFleva

Ally Star: Taarabu Itakufa Tusipoisaidia

Post Image

MWANAMUZIKI mkongwe wa muziki wa taarabu nchini, Ally Star, ameweka wazi kwamba muziki huo upo hatarini kutoweka endapo juhudi za kuunasua hazitachukuliwa. Ally ambaye ni msanii wa kundi la sanaa la Tanzania One Theatre (TOT), alisema kiwango cha muziki kimeshuka ikilinganishwa na miaka ya 1980. Alisema muziki wa taarabu hivi sasa umekutana na changamoto nyingi […]

Read More..

Kalapina Atoboa Aliyemuharibu Chid Benz

Post Image

Kalapina ambaye ni mwanaharakati wa kuwasaidia watu ambao wameingia kwenye matumzi ya dawa za kulevya amefunguka na kumtaja mama yake mzazi Chid Benz kama mtu anayemuendekeza Chid na kumfanya asitoke kwenye matumizi ya dawa za kulevya. Kalapina amesema mama huyo anampenda sana mtoto wake kiasi cha mtoto kujua na kuona kwamba hata akifanya jambo fulani yupo […]

Read More..

Ferooz: Inamuwia Vigumu Kuachana na Madawa ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki Ferooz Mrisho ambaye katika miaka ya 2000 alitamba na wimbo wa Starehe ambaye kwa sasa ameathirika na dawa na matumizi ya Madawa ya kulevya, amedai inamuwia vigumu kuachana na matumizi ya dawa hizo. Muimbaji huyo amedai amejikuta akitenga bajeti kubwa ya fedha kwa matumizi ya kutumia dawa. “Ninawaomba wasanii wenzangu wasitumie […]

Read More..

Sitaki ‘Collabo’ na Wasanii wa ...

Post Image

Msanii wa bongo fleva Q Chila amesema hakufanya kolabo na wasanii waliosainiwa kwenye lebo moja ya QS kwa sababu hakwenda pale kwa sababu ya kufanya kolabo na wasanii hao. Miongoni mwa wasanii hao ni pamoja na Nay, H_Baba na wengine. Akiongea kupitia eNewz Q Chila amesema kwa sasa anafanya kolabo na wasanii wa nje zaidi ili kuweza kutambulika kimataifa […]

Read More..

Diamond Hapaswi Kujiita Simba – Darassa

Post Image

Msanii wa bongo fleva Darasa ameweka wazi ule mstari wake wa “sio simba, sio chui, sio mamba” kwa kusema Diamond hakupaswa kujiita simba kwani simba ni mnyama ambaye anaweza kuuliwa anapozidiwa nguvu. Akipiga story kupitia eNewz Darasa amesema Diamond ni msanii ambaye amehangaika sana kutoka kimuziki hivyo mafanikio yake na uwezo wake wa muziki alitakiwa ajiite jina lingine kwa […]

Read More..

Young Dee Afungukia Tetesi za Kurudia Unga

Post Image

Young Dee amejibu kwa ufupi kuhusiana na tetesi kuwa amerudi tena kwenye matumizi ya dawa za kulevya. kiandika maneno mafupi sana kwenye post yake mpya ya Instagram, Young Dee amedai kuwa ‘muda utaongea.’ “Time will Tell… Mi sina tatizo na mtu… Tuombeane kheri tu… Siwezi shindana na maneno,” ameandika rapper huyo. Wiki hii tetesi za […]

Read More..

Darassa Afunga Mwaka Kwa Kishindo,Diamond B...

Post Image

TUMEZOEA kusikia nyimbo za mapenzi zikipendwa zaidi kuliko zile zenye ujumbe wa masuala mengine muhimu kwa jamii. Mara nyingi ngoma zenye meseji ni zile zinazohusisha mtindo wa kofokafoka yaani Rap. Kwenye historia ya Bongo Fleva, nyimbo za Rap hazikuwahi kuzizidi zile za mapenzi. Ngoma zenye jumbe za mapenzi zinapendwa zaidi sokoni na ndiyo  zinazochezwa zaidi. […]

Read More..

Nay Ataja Tofauti ya Diamond na Alikiba

Post Image

Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa katika wanamuziki watatu wakubwa Tanzania wazuri kwake yeye Alikiba atakuwa namba moja ila katika wanamuziki wakubwa watatu wafanyabiashara basi Diamond Platnumz atakuwa namba moja. Nay ambaye sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Sijiwezi’, amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo cha EATV na kusema siku zote yeye amekuwa […]

Read More..

Kinachokwamisha ‘Collabo’ ya Ji...

Post Image

Msanii mkongwe katika anga la bongo fleva, mwanadada Judith Wambura a.k.a Lady Jay Dee amesema yuko tayari kufanya kazi na staa wa muziki huo Diamond Platnumz, endapo atahitaji lakini kinachoweza kukwamisha ni ratiba yake ya kazi. Jay Dee amelazimika kutoa kauli hiyo kutokana na kuongezeka kwa minong’ono kuwa wawili hao wanakwepana, na hawataki kufanya kazi […]

Read More..

Raymond Afunguka Kuhusu Yeye na Alikiba Wak...

Post Image

Msanii wa muziki kutoka label ya WCB, Rayvanny amefunguka na kuzungumzia mahusiano yake na Alikiba ambaye ni mpinzani mkubwa wa boss wake Diamond Platnumz. Muimbaji huyo ambaye bado anafanya vizuri na wimbo Salome alioshirikishwa na Diamond, amedai yeye hana tatizo na Alikiba na hata ikitokea nafasi ya kolabo atafanya naye. “Alikiba huwa nikikutana naye huwa […]

Read More..

Man Fongo: Bila Mimi Hakuna Kisingeli

Post Image

Msanii wa Singeli Man Fongo ambaye aliibuka mshindi katika tuzo za EATV Awards kama msanii bora anayechipukia amefunguka na kusema kuwa hakuna muziki wa kisingeli bila yeye. Man Fongo alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ na kusema kutokana na mapenzi aliyopata kutoka kwa mashabiki na kumuwezesha kupata tuzo ya #EATVAwards ameamua kuwashukuru mashabiki kwa kufanya […]

Read More..

Kiba na Diamond Kupatana Sasa Haiwezekani-D...

Post Image

Msanii mkongwe katika muziki wa Bongo fleva Dully Skyes ambaye kwa sasa anafanya vyema na wimbo wake ‘Inde’ amefunguka na kusema anauwezo wa kuwapatanisha wasanii Alikiba na Diamond na kumaliza tofauti zao Japo anakiri wazi kuwa ugomvi wa wasanii hao kwa sasa ni mkubwa kwani umeshatoka mpka kwa watu wa nje. Dully Skyes akiongea kwenye […]

Read More..

Jennifer Mgendi Kuja na albamu Mpya Pamoja ...

Post Image

Msanii mkongwe wa nyimbo za Injili nchini, Jennifer Mgendi baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu anajipanga kuachia albamu yake mpya iitwayo,’Nyuma ya Mlima’. Muimbaji huyo ambaye amewahi kutamba na wimbo Mchimba Mashimo, Nalia na nyingine nyingi, amesema kuwa ameamua kuachia albamu hiyo kama zawadi ya kuwatia moyo mashabiki wake wanaopita katika magumu mbalimbali. “Nina […]

Read More..

Saida Karoli Anavyoibadili Bongo Fleva

Post Image

KWA miaka kadhaa sasa, maoni ya mashabiki wengi wa Muziki wa Kizazi Kipya ilikuwa ni kuingiza aina ya staili ya nyimbo za Afrika Magharibi, hususan Nigeria. Baadhi yao, wakatabiri mwanzo wa mwisho wa Bongo Fleva. Wengi waliona Bongo Fleva ya zamani ni nzuri kuliko ya sasa. Ya sasa ikionekana nyimbo zao hazidumu, yaani nyepesi, pili […]

Read More..

Nuh Mziwanda Kuja na Khadja Kopa

Post Image

Msani Nuh Mziwanda amefunguka na kuweka wazi mipango yake ya mwakani 2017 na kusema kuwa tayari mpaka sasa amejipanga na ngoma kibao kali. Nuh Mziwanda akiongea kwenye kipindi cha Planet bongo alisema kuwa anatambua kuwa mashabiki zake wanasubiri ngoma mpya lakini kwa mwaka huu hataweza kuachia kazi mpka mwezi wa kwanza ambapo ataachia kazi yake […]

Read More..

Christian Bella Awachambua Diamond na Aliki...

Post Image

Msanii wa Band maarufu kama mkali wa masauti Bongo Christian Bella amezungumzia timu ambazo ziko mitandaoni kati ya Alikba na Diamond kusema kuwa Alikiba ana uzuri wake na Diamond ana uzuri wake kwa kuwa kila mtu anafanya vizuri kwa upande wake. “Diamond ana uzuri wake na Alikiba ana uzuri wake wote na mimi siko kwenye label […]

Read More..

Madee Aumizwa na Picha za Chid Benz Mtandao...

Post Image

Madee ameonyesha kukerwa na kitendo cha baadhi ya watu kumpiga picha Chid Benz na kuzisambaza mtandaoni. kupitia mtandao wa Twitter ametoa yake ya moyoni kwa kusema kuwa kitendo cha kumpiga picha rapper huyo na kumuanika mitandani ni kumdhalilisha. “Hawa wanaompigapiga picha @ChidiBeenz na kupost kwenye mitandao yao lengo lao kubwa ni nini?mbona tunazid kumdhalilisha?au mnataka […]

Read More..

Mastaa Hawa Wataoana 2017?

Post Image

WAKATI wakielekea kumaliza mwaka 2016 bila ndoa, wasanii hawa wamekuwa mvuto mkubwa kwa mashabiki wao huku wengi wao wakiwatarajia ndoa kwa mwaka ujao wa 2017. Diamond na Zari Mapenzi ya msanii Nassibu Abdul (Diamond) na mwanadada kutoka Uganda, Zarinah Hassan (The Boss lady), yameboreshwa zaidi baada ya kuishi zaidi ya miaka mitatu na kupata watoto […]

Read More..