-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Sina Hata Bajaji – Riyama

Post Image

Msanii wa bongo movie Riyama Ally amefunguka na kusema licha ya kufanya kazi ya filamu kwa miaka zaidi ya 15 lakini hajapata mafanikio yale ambayo watu wanategemea angekuwa nayo kutokana na uwezo wake wa kuigiza. Rihaya Ally alisema hayo jana alipokuwa kwenye kipindi cha Friday Night Live na kusema hakuna kitu kinaumiza kama unapofanya biashara […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Funzo kwa Mastaa wa Kike

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Shamsa Ford amefunguka kwa kuwaonya Mastaa wa Wanawake waache tabia za kuchagua wanaume wa kuwaoa, kwani leo wana majina makubwa na wanaonekana warembo lakini ipo siku itafika hata hao wanaume wanaowatongoza leo watapotea kabisa. Shamsa Ford amesema kwa sasa Wanawake wenye majina makubwa wanajiona warembo kiasi kwamba hufikia hatua hata […]

Read More..

Mwanaume Mfupi Kwangu Hapana – Shilole

Post Image

Msanii Shilole amefunguka na kuweka wazi kigezo kimoja wapo anachoangalia katika kumkubali mtu au kumtokea kuwa kuwa naye katika mahusiano na kusema kimo cha mtu kwake ni kigezo moja wapo. Shilole alisema hayo alipokuwa kwenye kipindi cha KIKAANGONI kinachofanyika kupitia ukurasa wa facebook wa EATV, wiki mbili zilizopita na kudai saizi yeye kutoka kimapenzi na […]

Read More..

VIDEO : Mboto Afunguka Mastaa Kubadili Wape...

Post Image

Msanii Mboto amefunguka sababu inayopelekea watu wengi wenye majina makubwa kubadili wapenzi mara kwa mara na kusema wengi wao wanakuwa na hofu juu ya wapenzi wanaowafuata na kutaka kuwa nao maana wanakuwa hawajui kama wanamapenzi ya dhati au wizi. Msanii Mboto amefunguka sababu inayopelekea watu wengi wenye majina makubwa kubadili wapenzi mara kwa mara na […]

Read More..

Wasanii Wakongwe Wametuharibia- Shifah

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi kutoka tamthilia ya Siri za familia Sharifa Mansoor ‘Shiffer’ amesema kuwa uigizaji ni kazi sawa na kazi nyingine lakini walioanza walitumia fursa yao vibaya kwa kufanya mambo yasiyofaa kujikita katika masuala ya kashifa kitu kilichopelekea jamii kudharau fani hiyo. “Haikuwa rahisi nilipoomba familia yangu kujiunga na Siri za familia kila mtu alisema kuwa […]

Read More..

Nora Afungukia Wasanii Kujiuza

Post Image

MKONGWE katika fi lamu Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ ambaye kwa sasa anajishughulisha na ujasiriamali baada ya soko kwenda halijojo, amedai biashara ya kujiuza inayofanywa na baadhi ya mastaa wa tasnia hiyo hailipi na itawaathiri zaidi baadaye.   Akipiga stori na Za Motomoto News, Nora alisema ni vyema wakatafuta shughuli halali ya kufanya ili kujipa heshima […]

Read More..

Niombeeni Nipate Mwanaume wa Namna Hii-Wema...

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Wema Issac Sepetu amefunguka na kuwataka mashabiki wamuombee apate mume bora atakayekuwa na heshima na wala asiwe mtu maarufu na siyo kumhusisha kila mara na uhusiano wa kimapenzi na msanii Diamond Platnumz. Wema amefunguka hayo wakati akimjibu Shabiki katika kurasa wake wa Instagram, na kumtaka atambue Diamond ni baba wa watoto […]

Read More..

Shamsa Ford Amkana Nay wa Mitego

Post Image

Malkia wa filamu Shamsa Ford amekanusha kuwepo katika show ya ‘Wapo Tour’ ya rapa Nay wa Mitego itayofanyika katika ukumbi wa Dar Live Mbagala, May 20 mwaka huu. Muigizaji Shamsa Ford Rapa huyo hivi karibuni aliimbia Bongo5 kuwa muigizaji huyo ambaye kwa sasa ameolewa na mfanyabiashara Chidi Mapenzi, atakuwepo kwenye show hiyo. Akiongea na Bongo5 Jumanne […]

Read More..

Mc Pilipili, Rose Ndauka Muwaache!

Post Image

TASNIA ya uchekeshaji imeendelea kupiga hatua na kuonyeha tofauti ya wazi baina ya wachekeshaji wa zamani na wa kizazi hiki. Wachekeshaji wa zamani walishindwa kunufaika na sanaa yao kutokana na ukosefu wa uwekekezaji katika vipaji vyao lakini kwa sasa wachekeshaji wanakula bata kutokana na fedha wanazoingiza kupitia sanaa yao. Miongoni mwa wachekeshaji wanaotengeneza pesaa ndefu […]

Read More..

Faiza Akumbushia Enzi za Penzi Lake na Sugu

Post Image

Mwigizaji Faiza Ally ameleza jinsi mahusaino ya kimapenzi yalivyokuwa yanamsumbua katika kipindi cha miaka mitatu iliyopita hali iliyopelekea yeye kuugua mara kwa mara. Kupitia instagram Faiza amepost picha akiwa kitandani na kuandika, ‘‘Kuna mambo sasa hivi nikiangalia nacheka sana … haya mapenzi jamani, hapo ni miaka mitatu iliyopita nilikuaga namlilia Baba Sasha mpaka natundikiwa drip […]

Read More..

Hawaitakii Mema Ndoa Yangu – Shamsa Ford

Post Image

Mwigizaji Shamsa Ford amefunguka na kusema kuna watu wengi wamekuwa si watu wema katika ndoa yake, na wamekuwa wakihangaika kuona ndoa yake hiyo inapotea au hata kuvunjika kabisa. Shamsa Ford amesema kutokana na vitendo mbalimbali ambavyo amekuwa akivishuhudia ni wazi kuwa watu wanampiga vita na kutaka kuisambaratisha ndoa yake hiyo, jambo ambalo anasema Mungu hawezi […]

Read More..

Antu Mandoza Msomi Mwenye Bahati Kuigiza Fi...

Post Image

Apania kutwaa Tuzo za Oscar kama Lupita BONGO movie huwezi kupata bahati ya kuingia moja kwa moja na kupewa thamana kuingiza kama mwigizaji kinara, ni mamisi tu ndio wenye bahati hiyo lakini mwingine lazima asote, kwa Antu Mandoza ‘Miss Mandoza’ mwigizaji kinara katika filamu ya Kiumeni ni tofauti, yeye sinema yake ya kwanza anapewa nafasi […]

Read More..

Jokate: Sasa Nawaza Noti Tu

Post Image

MWANAMITINDO Jokate Urban Mwegelo ‘Kidoti’ amefunguka kuwa, misukosuko aliyokumbana nayo kwenye maisha ya kimapenzi imetosha kwani kama ni maumivu ameshayaonja na sasa hakuna anachowaza zaidi ya kujirundikia noti kwa kufanya kazi kwa nguvu. Akizungumza na Akizungumza Ijumaa, Jokate ambaye pia ni Kaimu Katibu wa Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa Umoja wa Vijana wa Chama […]

Read More..

Mambo 9 Kurudisha Soko la ya Kuzingatia Fil...

Post Image

KUTOKANA na wasanii wa fi lamu za Kibongo kuwa kwenye mikakati mizito ya kuhakikisha soko la kazi zao linarejea kwenye ubora wake kwa madai kuwa filamu za nje zimeua soko la ndani, kuna haja ya kuyazingatia haya yanayochangia kufeli kwao ili kupaa na kufi kia levo ya kimataifa. UBORA WA STORI Ninapozungumzia ubora wa stori […]

Read More..

Shilole Ashindwa Kufika Mahakamani Kutoa Us...

Post Image

Dar es Salaam. Msanii wa muziki wa kizazi wa Bongo Fleva na filamu, nchini Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameshindwa kufika mahakamani kutoa ushahidi katika kesi ya matumizi mabaya ya mtandao kwa kuwa anaumwa. Leo (Jumatano) Shilole alipaswa kutoa ushahidi katika kesi hiyo inayomkabili mwanafunzi wa Chuo cha Bandari, Thomas Lucas (20) inayosikilizwa mbele ya […]

Read More..

Prof. Jay Ameanza Kunielewa- Steve Nyerere

Post Image

Mchekeshaji na muigizaji wa bongo ‘movie’ Steve Nyerere amefunguka mengine mapya kwa kudai hana haja tena ya kuendelea kutukanana na watu wasiojielewa kwa kuwa ameshajitokeza mkombozi wake mwenye akili na kutambua kilio chake kinamaana gani. Steve amesema hayo baada ya kile kinachoaminika kuwa Mbunge wa Mikumi, Mhe. Joseph Haule kusimama mbele ya Bunge la Jamhuri […]

Read More..

Si Mchina ni Umbo Langu – Sasha

Post Image

MWIGIZAJI chipukizi katika tasnia ya filamu Bongo Sophia Salim ‘Sasha’ mwenye umbo la Kibantu amesema kuwa ni umbile lake na hajui wala hajawahi kutumia dawa za Kichina kama vile ambavyo wengine wanadaiwa kufanya kitu hicho yeye amezaliwa hivyo na anajivunia kuwa hivyo. “Jamani hili ni umbo langu halisi nimeumbwa hivi na sijawahi wala sijui hizo […]

Read More..

Flora, Ha-Baba Warudiana

Post Image

DAR ES SALAAM: Mastaa wawili Bongo ambao walikuwa wanandoa kisha wakatengana kwa muda, Hamis Ramadhan ‘H.Baba’ na Flora Mvungi, hatimaye wamerudiana na sasa ni mwendo wa mahaba niue. Chanzo makini kililieleza Wikienda kuwa, wawili hao wamerudiana hivi karibuni ambapo hivi sasa ni mahaba niue kwani hata kwenye mitandao ya kijamii wamekuwa wakiweka picha wakiwa kimahaba, […]

Read More..