-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wauzaji wa Filamu za Nje Wapewa Siku 10 Kua...

Post Image

WAUZAJI wa filamu za nje wamepewa siku kumi wawe wameachana na biashara hiyo kwani haifuati utaratibu kisheria na kuwaacha wasanii ambao ndio wanaofuata vigezo vya uuzaji wa filamu kuwa maskini pamoja na kufanya kazi kubwa hayo oda hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Akiongea mbele ya Kamanda Simon Siro […]

Read More..

Pombe Imemniletea Wolper Ubonge

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Jackline Wolper, ameweka wazi kwamba pombe ndiyo inayomsababishia unene anaopigania sasa kuupunguza. Wolper alisema watu wengi wanadhani ulaji wa chakula zaidi ndiyo unaosababisha mwili wake kuwa mnene kiasi cha kutowavutia baadhi ya mashabiki wake lakini ukweli ni kwamba unene huo unasababishwa na unywaji zaidi wa pombe. “Unajua sikuwa mnywaji na […]

Read More..

Wema Sepetu Ampa Makavu Harmorapa

Post Image

MSANII wa filamu nchini Wema Sepetu, ‘Madam’ amemfungukia  Msanii wa Bongo Fleva, Harmorapa baada ya hivi karibuni kujinadi mtandaoni kuwa yupo tayari kumuoa Wema. Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, Wema ameandika kuwa anamheshimu Harmorapa kama msanii mwenzie hivyo kitendo cha kujinadi mtandaoni kuwa yupo tayari kuwa na Wema katika mahusiano si sawa ajaribu […]

Read More..

Uwoya: Nasaka Pesa Kwa Sababu ya Mtoto Wang...

Post Image

STAA wa filamu za Bongo Movie, Irene Uwoya, ameweka wazi kwamba bidii yake na ubunifu aliouongeza katika kazi zake anazofanya kwa sasa zinatokana na nia yake ya kutaka kumwandalia mazingira bora mtoto wake, Krish. Uwoya alisema kwa sasa anaweza kukidhi mahitaji yote ya mwanae lakini hatayamudu kama hataendeleza ubunifu katika sanaa ya uigizaji na shughuli […]

Read More..

Wema Sepetu: Sitoi Umaarufu Tena

Post Image

MISS Tanzania mwaka 2006 na mwigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu, amesema atamshtaki yeyote atakayetaka kupata jina kubwa kwa jamii kupitia mgongo wa jina lake kama baadhi ya wasanii waliotambulika kwa jamii kupitia jina lake. Wema alisema baadhi ya wasanii waliopata majina makubwa kutokana na kuwa karibu naye hawana heshima wala fadhila kwake, hivyo hataki […]

Read More..

Wema Sepetu Alipamba Jarida la Kenya ‘Tru...

Post Image

Malkia wa filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu amekava jarida kubwa la True Love Magazine East Africa la nchini Kenya. Kwa sasa jarida hilo linaingia mtaani katika msimu huu wa pasaka. Kupitia Instagram, True Love Magazine East Africa, wameshare cover lake ambalo limepokelewa na maoni tofauti. Katika jarida hilo Wema amezungumzia hela, wanaume pamoja na maisha […]

Read More..

Steve Nyerere Afungukia Nyumba Ndogo

Post Image

Komediani wa Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ amefungukia tetesi za kuwa na nyumba ndogo akidai kuwa hayo ni maneno ya watu kwani ana mkewe mmoja tu. Akizungumza na Wikienda , Steve alisema kuwa, watu wanaosema yeye ana nyumba ndogo wanamzushia kwani katika maisha yake hajawahi kuwa na nyumba ndogo. “Unajua watu wakitaka kukuzushia jambo huwezi […]

Read More..

Harmonaze Hana Jeuri ya Kuniacha- Wolper

Post Image

JACK Wolper amefunguka kuwa mpenzi wake wa sasa mwanamuziki wa kizazi kipya Harmonaze hana uwezo wa kumuacha kimapenzi pamoja na tetesi ambazo usikika kama mwanamuziki huyo kuwa na warembo wengine anaotoka nao kimapenzi. “Wengi wanaongea sana kuhusu mpenzi wangu kama anatoka na wanawake wengi pengine inaweza kuwa ndio sababu ya kuniacha mimi hicho hakiwezekana wanaongea […]

Read More..

Gabo, Miaka 12 Kwenye Ndoa

Post Image

MASTAA wengi ulimwenguni wamekuwa wakishindwa kudumu kwa muda mrefu kwenye ndoa zao. Ni wachache walioweza kukaa na wenzi wao kwa zaidi ya miaka mitano kabla ya kuvunjika. Hapa Bongo, miongoni mwa mastaa walio kwenye ndoa kwa zaidi ya miaka kumi ni Salim Ahmed ‘Gabo’ ambaye amefanya vizuri kwenye sinema nyingi zikiwemo Bado Natafuta, Safari ya […]

Read More..

Wolper Amchana Harmorapa!

Post Image

JACQUELINE Wolper amefunguka kuwa mwanamuziki chipukizi ambaye hivi sasa amekuwa gumzo mjini, Athuman Omary ‘Harmorapa’ anatia hasira kutokana na kauli zake. Wolper ambaye ana jina kubwa Bongo Muvi, alisema kinachomuudhi kwa Harmorapa ni kitendo cha mpenzi wake, memba wa Wasafi Classic Baby (WCB), Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumuongelea vizuri lakini yeye anapohojiwa na vyombo vya habari […]

Read More..

Wolper: Aika na Nareel Ndiyo ‘Couple’ I...

Post Image

STAA wa Bongo Movie, Jackline Wolper, amesema uhusiano wa wasanii wenzake, Aika na Nahreel, wanaounda kundi la muziki la Navy Kenzo, ndiyo ‘couple’ imara zaidi kwa wasanii kwa sasa. Wolper alisema anafurahishwa na wanavyoweza kukabiliana na changamoto wanazokumbana nazo katika uhusiano wao na hawayumbishwi licha ya kuwa mastaa wakubwa kwa sasa katika muziki. “Wamejitahidi sana […]

Read More..

VIDEO: Wasanii ‘Bongo Movie’ Wa...

Post Image

Mkongwe wa filamu Jacob Stephen ‘JB’ amefunguka kwamba wasanii wa filamu wapo hatarini kupotea ikiwa hawataweza kwenda sawa na kipindi ambacho tasnia hiyo inapitia kwa sasa. JB ametoa tahadhari hiyo huku akikanusha hofu iliyopo kwamba tasnia ya movie imekufa ambapo amedai kuwa kuna wasanii wanaoweza kupotea kwenye ramani na kuja wasanii wapya lakini tasnia itaendelea kubaki palepale hivyo […]

Read More..

Rose Ndauka: Wanaume Wakware Bado Wananisum...

Post Image

STAA wa filamu nchini, Rose Ndauka, ameweka wazi kwamba licha ya kujibidisha kwenye ubunifu wa kazi mbalimbali za kumwingizia kipato anazozifanya, hujikuta akikutana na idadi kubwa ya wanaume wakware wanaomtaka kimapenzi badala ya kufanya naye biashara. Ndauka ambaye kwa sasa anajishughulisha na ujasiriamali, alisema amekua akibuni njia mbalimbali za kumwingizia kipato ili aendane na hali […]

Read More..

Koletha: Kulea ni Kazi Ngumu

Post Image

SIKU chache baada ya kujifungua mtoto wa kike, msanii mkongwe kwenye gemu la filamu Bongo, Koletha Raymond amefunguka kuwa tofauti na alivyowahi kufi kiri, kulea ni kazi ngumu, hivyo kila mtu anapaswa kumheshimu mama aliyemlea. Akistorisha na Za Motomoto News, Koletha alisema kulea siyo rahisi kama watu wengi wanavyodhani au kama yeye alivyokuwa akifi kiri […]

Read More..

VIDEO: JB afungukia Ishu ya Kukosa Mtoto Kw...

Post Image

Muigizaji maarufu wa filamu Bongo, Jacob Stephen  Bonge la bwana maarufu kama  JB amefunguka na kuweka wazi kwamba maisha yake ya kutopata mtoto mpaka sasa kwenye ndoa yake hayajawahi kumkosesha furaha wala kuacha kumpenda mke wake. Kwenye kipindi cha Kikaangoni kupitia Facebook ya EATV wakati akijibu maswali ya mashabiki wake JB amesema kuwa hajabahatika kupata mtoto kwenye […]

Read More..

Davina Atoa Ombi Hili kwa Waziri Mwakyembe

Post Image

NYOTA wa filamu nchini, Halima Yahaya ‘Davina’ amemtaka Waziri Mpya wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dk. Harrison Mwakyembe kuendeleza mambo mazuri yaliyoanzishwa na mtangulizi wake, Nape Moses Nnauye ili kuwasaidia wasanii. “Tunamuombea Mungu Waziri Mwakyembe awe nasi karibu kama alivyokuwa Nape,  kwani tulikuwa tukimpigia simu na kumweleza shida zetu za sanaa, muda wote anapokea […]

Read More..

Uzazi Unampenda Monalisa

Post Image

KATI ya wasanii ambao kila ukutanapo uvutia kwa muonekano wake si mwingine bali ni mwigizaji nyota isiyochuja miaka na miaka Monalisa ni msanii ambaye amekuwepo katika tasnia kwa miaka mingi lakini bado yupo katika muonekano huku mabinti wakija na kuchuja kimuonekano na sanaa yenyewe pia. Nendeni Duniani mkajaze Ulimwengu ni maneno yaliypo katika maandiko matakatifu […]

Read More..

Bi Mwenda Aukubali Uzee

Post Image

DAR ES SALAAM: Mwigizaji mkongwe wa sinema za Kibongo, Fatuma Makongoro  ‘Bi Mwenda’ sasa ameukubali uzee baada ya kusumbuliwa na miguu ambayo imempunguzia kasi ya kufanya kazi zake za sanaa. Akizungumza na Wikienda , Bi Mwenda alisema kuwa, sasa uzee ndiyo umekamilika kwani anasumbuliwa na miguu lakini anashukuru Mungu mambo yanakwenda vizuri. “Nilipenda kutania uzee […]

Read More..