Wauzaji wa Filamu za Nje Wapewa Siku 10 Kua...
WAUZAJI wa filamu za nje wamepewa siku kumi wawe wameachana na biashara hiyo kwani haifuati utaratibu kisheria na kuwaacha wasanii ambao ndio wanaofuata vigezo vya uuzaji wa filamu kuwa maskini pamoja na kufanya kazi kubwa hayo oda hiyo imetolewa na mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda. Akiongea mbele ya Kamanda Simon Siro […]
Read More..





