-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Filamu ya ‘Ndugu wa Mume’ Iliti...

Post Image

Filamu ya ‘Ndugu wa Mume’ iliyotoka mwaka jana miezi ya katikati ni moja kati ya filamu bora zililizotoka kwa mwaka huo. Ubora wa filamu hiyo sio tu kwenye ‘quality’ ya picha na sauti, bali ni stori na uwezo mkubwa wa waigizaji wakali waliocheza kwenye filamu hiyo. Filamu imeandaliwa Ommy Clayton ‘Dogo Masai’ ambaye ni muigizaji […]

Read More..

Video: Mtanzania wa Kwanza Kupata Shavu la ...

Post Image

Muigizaji na mtayarishaji wa filamu kutoka Tanzania, anayefahamika zaidi kupitia filamu ya Going Bongo, Ernest Napoleon, amechukuliwa kusimamia kampuni ya kimataifa ya utengenezaji na usambazaji filamu, D Street Media Group, kama Rais. Bongo5

Read More..

Wema Sepetu, TID na Wenzao Waendelea Kushik...

Post Image

Wakati macho na masikio ya Watanzania wakisubiri kusikia hatma ya wasanii wanaodaiwa kujihusisha na dawa za kulevya, wasanii wanne waliofika Kituo Kikuu cha Polisi bado wanashikiliwa na jeshi hilo kwa mahojiano zaidi. Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro amesema kuwa bado wasanii hao Wema Sepetu, Dogo Hamidu, Khalid Mohamed (TID), […]

Read More..

Wema Sepetu: Situmii Madawa ya Kulevya

Post Image

Wema Sepetu anataka kuweka jambo moja ‘very clear’ kuwa yeye si mtumiaji wa madawa ya kulevya. Staa huyo ametoa kauli hiyo baada ya kuwepo kwenye orodha ya mastaa wanaotuhumiwa kubwia unga na walioamriwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kujisalimisha kituo cha polisi central jijini Dar, Ijumaa hii kwa mahojiano zaidi. […]

Read More..

Pichaz: Wema Sepetu na Wenzake Waitikia Wit...

Post Image

Kufuatia agizo la mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda kuwataka baadhi ya mastaa wanaoshukiwa kujihusisha na matumizi na biashara ya madawa ya kulevya kuwasili kituo cha polisi cha kati siku ya leo baadhi ya mastaa wametii agizo hilo na kuwasili. Malkia huyo wa filamu ambaye alikuwa mmoja kati ya wasanii waliotuhumiwa na […]

Read More..

Asha Boko Awalilia ‘Comedians’ wa Kike

Post Image

Msanii wa vichekesho Asha Boko amewasihi wachekeshaji wa kike kujitokeza kwa wingi ili kuweza kuchangamsha sekta ya uchekeshaji kwa wasanii wa kike nchini Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Asha amesema anashangazwa na uchache wa wasanii wa kike kwenye upande wa Comedian na kuwataka wasiogope kwakuwa hakuna wasanii wa vichekesho Bongo wengi kwa upande wa wanawake. […]

Read More..

Movie Trailer: Tino Kuja na ‘Singo Zero’

Post Image

Staa mkongwe wa filamu hapa bongo, Tino anafungua mwaka kwa kuachia bonge moja la filamu lenye kila aina ya vitu, kuanzia mapigo na kisa kizito cha kusismua, ni filamu ya SINGO ZERO Kutoka Tino Muya Film, Steps Entertainment imeshasambaza filamu hii kwenye maduka yote nchi nzima. Tazama Trailer ya filamu hiyo

Read More..

Yusuph Mlela na Chuchu Hans Ndani ya ‘...

Post Image

Wasanii wa Boongo Movies, Yusuph Mlela ‘Yusuph Mlela ‘Mlelandro’ na mrembo Chuchu Hans wakatikunikisha ndani ya Filamu ya Mr BodaBoba Msomi. Filamu ya Mr. Bodaboda Msomi ni filamu ya aida yake inayazungumzia maisha halisi ya biashara nzima ya boda boda yakiwepo matukioa ya uhalifu na mapenzi ndani. Kutoka Steps Entertainment, Filamu hii itaingia sokoni muda si […]

Read More..

Chidi Mapenzi Aeleza Ilipo Gari Alilomnunu...

Post Image

Mume wa msanii wa bongo movie Shamsa Ford anayejulikana kwa jina la Chidi Mapenzi amesema gari alilomuahidi  mke wake  limeshafika likimiwa limeingilia badari ya  Zanzibar na kichafanyika sasa niki Akiongea kupitia eNewz ya EATV, Chidi amesema “lile ni gari ambalo alijisikia na alilipenda akaamua kumnunulia mke wake, pesa ya kulilipia anayo lakini kinachoshindikana ni namna ya kulitoa bandarini […]

Read More..

Iyobo Anaogopa Kumnunulia Gari Aunt, Kisa M...

Post Image

DANSA maarufu wa Kundi la Wasafi  Classic Baby (WCB), Moses Iyobo amefunguka kuwa kamwe hawezi kumnunulia gari mzazi mwenziye, Aunt Ezekiel kwa kuwa anaogopa atapandisha michepuko yake. Iyobo alifunguka hayo juzikati alipokuwa akipiga stori mbili tatu na Global Publishers ambapo alisema kwa sasa anajipanga kumnunulia nyumba mpenzi wake huyo lakini siyo gari maana anaweza kuwapandisha […]

Read More..

Shamsa Ford Atoa Ushauri Huu kwa Vijana

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini Shamsa Ford ametoa ushauri kwa Watanzania hususani vijana ambao hupata kidogo na kushindwa kujipanga na maisha ya kile kidogo wakipatacho na kusema siku zote unapaswa kuthamini kile ulichonacho leo ili kuwa na kesho nzuri. Shamsa Ford ametumia ukurasa wake wa Instagram kutoa ujumbe huo kwa vijana na kuwaasa kutodharau kabisaa kidogo […]

Read More..

Aunt Ezekiel Afungukia Matendo Machafu ya W...

Post Image

Msanii wa filamu na mama wa mtoto mmoja Aunt Ezekel amedai matendo machafu ya wasanii wa filamu ni moja kati ya vitu ambavyo zimechangia kushuka kwa soko la filamu nchini. Muigizaji huyo ambaye kwa sasa yuko kwenye mahusiano ya kudumu na dansa wa WCB, Mose Iyobo amedai wasanii wengi wa filamu wameendekeza starehe kuliko kasi. […]

Read More..

Mambo Matano (5) Ambayo Wastara Hatayasahau...

Post Image

Staa wa bongo movie ambaye maisha yake halisi yamekuwa yaki ‘make headlines’ kwa kiasi kikubwa, Wastara, ametaja mambo matano ambayo yamemuumiza zaidi maishani, na hatayasahau katika kipindi chote cha maisha yake Wastara akiwa kwenye kipindi cha Friday Night Live cha EATV, amesema jambo la kwanza kubwa ambalo hataweza kulisahau ni kuondokewa na wazazi wake wote […]

Read More..

Ushindani Wanaoukataa ‘Bongo Movie’ Ume...

Post Image

KADRI siku zinavyokwenda ndivyo tasnia ya filamu inaonekana kudumaa huku muziki wa Bongo Fleva ukionekana kuzidi kukata anga. Achana na Diamond, Ali kiba na Vanessa Mdee, Bongo Fleva ina vichwa vingi vinavyoweza kuwa kielelezo cha ubora wa muziki wao. Ndani ya Bongo Fleva kuna Jux, Mr Blue, Barakah Da Prince, Kasim Mganga, Ney wa Mitego, […]

Read More..

Pichaz: Ujio wa Mpya wa Wema Sepetu Instagr...

Post Image

Staa mwenye jina kubwa hapa bongo,Wema Sepetu kwa mara ya kwanza mkwa huu, ameweka post yake ya kwanza kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram, baada kufuta post zote kwenye ukurasa wake huo wenye followers zaidi ya  milioni mbili na nusu hapo mwezi desemba mwaka jana. Wema amewaahidi mambo mazuri mashabiki wake ndani ya mwaka […]

Read More..

Aunt Ezekiel Ahaha Kuzima Skendo Mbele ya M...

Post Image

UKIGUSA ‘Top 5’ ya wasanii wakike wanaofanya vyema kwenye tasnia ya filamu nchini, jina la Aunt Ezekiel ni lazima liwemo ndani yake. Hii imekuja baada ya kuweza kuhimili mabadiliko makubwa yaliyotokea na kuwapoteza wasanii wengi wenye haiba kama yake. Tulianza kumfahamu pale alipolitwaa taji la urembo jijini Mwanza na kufanikiwa kuliwakilisha Jiji hilo kwenye mashindano […]

Read More..

Chuchu: Mtoto Ameongeza Mahaba kwa ‘Baby...

Post Image

MUIGIZAJI wa sinema za Kibongo, Chuchu Hans ambaye hivi karibuni alijifungua mtoto wa kiume (Jayden), amesema mtoto huyo ameboresha mahaba niue kwa mpenzi wake, Vincent Kigosi ‘Ray’. Akizungumza na Mikito Nusunusu, Chuchu alisema mtoto huyo amekuwa ni faraja kwao wote na mapenzi yameongezeka baina yake na mpenzi wake huyo kitu ambacho anamshukuru Mungu. “Jamani mwacheni […]

Read More..

Wastara Atoboa Sababu ya Kuacha Wanaume

Post Image

Msanii wa filamu, Wastara Juma ameweka wazi sababu kubwa ambayo ilimpelekea kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Bondi Bin Salim na kwenda kuolewa na Mbunge wa jimbo la Donge, Sadifa Khamis Juma kisha kuachana naye na kurudiana tena na mpenzi wake Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live cha (EATV) Wastara anasema aliamua kuachana na Bond kutokana […]

Read More..