-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Mastaa wa Kike Kutoka Familia za Mboga Saba

Post Image

NAIJUA familia ya mboga saba? Wengine wanapenda kuwaita watoto wa kishua ama familia bora. Hii ikiwawakilisha watoto wanaozaliwa kwenye familia yenye uwezo mkubwa wa kiuchumi, kiasi cha kutumia mlo mmoja ukiwa na mboga tofauti na zinazobadilishwa kila uchao. Ndio, kuna familia nyingine bhana mlo unakuwa na mboga moja na huwa ni hiyo hiyo deile mpaka […]

Read More..

Rose Ndauka: Filamu Bongo Hazijashuka

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rose Ndauka amedai kuwa ni upepo mchafu umepitia soko la filamu nchini na si kama ni kweli filamu zimeshuka thamani kama watu wanavyodai. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa baadhi ya wasanii wanazidi kujitahidi kufanya vizuri lakini kilichopo kwa sasa ni upepo mchafu umepitia tu. “Huu ni upepo mchafu umepita lakini wasanii […]

Read More..

Simjui Baba Yangu – Rammy Galis

Post Image

Msanii wa filamu nchini Rammy Galis amefunguka na kusema kuwa historia ya wazazi wake kidogo ni changamoto na kudai kuwa katika kipindi chote cha maisha yake hajawahi kumuona wala kuonana na baba yake mzazi.   Rammy Galis alisema hayo kupitia kipindi cha KIKAANGONI kinachuruka LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV kila siku ya Jumatano kuanzia […]

Read More..

Rose Ndauka Azindua Lebo Ya ‘Ndauka Music...

Post Image

STAA wa filamu Bongo,  Rose Ndauka, kupitia kampuni yake ya Ndauka Adverts Ltd, leo amezindua  lebo ya muziki iitwayo Ndauka Music ambayo itatoa fursa kwa wanamuziki nchini, hususan wanaochipukia,  ili kujitangaza. Uzinduzi huo ulifanyika ofisini kwake Sinza, jijini Dar es Salaam, maeneo ya Sinza-Afrika Sana karibu na ofisi za Mamlaka ya Kodi (TRA) Mwenge, ambapo […]

Read More..

Rammy Galis:Nilikaribishwa Freemason Nikaka...

Post Image

Star wa Bongo Movie Rammy Galis amefunguka na kukiri kuwa kuna watu hususani wasanii wanaojihusisha na kundi la Freemason na kwamba yeye mwenyewe aliwahi kualikwa kwa njia ya simu yake ya mkononi ajiunge na kundi hilo lakini alikataa. Akizungumza katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa LIVE kupitia ukurasa wa Facebook wa EATV, Galis amesema yeye hajajiunga […]

Read More..

Irene Uwoya atoa Fursa ya Kuigiza Kwenye Ta...

Post Image

Msanii wa filamu, Irene Uwoya ametoa nafasi kwa vijana wawili kuigiza katika tamthilia yake mpya ya ‘Drama Queen’ Mwigizaji huyo ambaye ni mama wa mtoto mmoja, aliamua kuandaa tamthilia kutokana na runinga nyingi nchini kuhitaji tamthilia. Jumanne hii mwigizaji huyo ametoa deal kwa vijana wapya wawili kushiriki katika tamthilia hiyo. “Drama Queen tunatafuta wa baba […]

Read More..

Lulu Awataja Wasanii wa Tatu (3) Anaowakuba...

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth Michael aka Lulu amewataja wasanii watatu anaowakubali kwenye muziki wa Bongo Fleva. Muigizaji huyo alikuwa akijibu swali la mmoja wa mashabiki wake kwenye mtandao wa Twitter, lililokuwa linauliza “wasanii gani watatu anaowakubali kwenye Bongo Fleva?” Lulu alijibu swali hilo kwa kuandika, “Beka, Maua Sama na Alikiba.” Lulu aliongeza kwa […]

Read More..

Mastaa Wasusia Harusi ya Beka

Post Image

Jana ilikuwa ni siku ya sherehe ya ndoa ya msanii wa filamu Bongo, Bakari Makuka ‘Beka’ ambapo ilifana vilivyo huku waalikwa wakila, kunywa na kuserebuka vilivyo. Sherehe hiyo ilifanyika katika Ukumbi wa Prime Rose uliopo Mbezi Beach, Dar ikiwa ni baada ya kufunga ndoa na mkewe Nasra, Ijumaa iliyopita katika msikiti wa Ununio, Jumamosi ikafuatiwa […]

Read More..

Nataka Kuwa Mcha Mungu-Shamsa Ford

Post Image

Staa wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Shamsa Ford amefunguka kwa kusema kuwa kwa sasa anataka kujikita zaidi kwenye ibada ya kufanya mambo ambayo yanampendeza mwenyezi Mungu. Mwigizaji huyo ametangaza uwamuzi huyo ikiwa ni miezi michache toka afunge ndoa na mfanyabishara wa maduka ya nguo, Chidi Mapenzi. Kupitia instagram, Shamsa Ford ameandika Maisha ya […]

Read More..

NORA: Niliingia Vitani na Johari, Kisa Mape...

Post Image

KUTOKA moyoni! Bila kumtaja mwanaume husika, mwigizaji wa kitambo Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’amekiri kuwahi kuingia vitani na staa mwenzake, Blandina Chagula ‘Johari’ kisa kikiwa ni kugombeapenzi la mwanaume mmoja maarufu jijini Dar (jina ni siri yake). Katika mahojiano maalum na gazeti hili, Nora alifunguka kuwa hali hiyo ilitokana na maisha ya usichana yaliyochangiwa na umaarufu na umri. […]

Read More..

Mkono Awaponda Watayarishaji wa Filamu Nchi...

Post Image

Mchekeshaji na muigizaji maarufu nchini Mkono Mkonole amefunguka na kusema kuwa tasnia ya filamu nchini inashuka sana kwa sababu watayarishaji wengi wa filamu nchini kwa sasa hawatumii ubunifu mkubwa katika kutayarisha kazi hizo. eNewz ilipiga story na mchekeshaji huyo na alisema kuwa tasnia ya filamu nchini inazidi kudidimia kwa sababu watayarishaji wenyewe hawatumii ubunifu na […]

Read More..

Dokii Afunguka Kukosa Madili, Atoa Wito Huu

Post Image

Muigizaji wa filamu na mwanamuziki nchini maarufu kwa jina la Dokii, amefunguka na kusema kuwa tangu alipo tangaza kuokoka amekuwa akikosa madili mengi sana kwenye tasnia ya filamu nchini. eNewz ilipiga story na Dokii na alisema amekuwa akikosa kazi za u ‘MC’ na sanaa aliyokuwa akiifanya kutokana na watu wengi waliokuwa wakivutiwa na ukataji wake […]

Read More..

Wema Awavaa Wanaomsema Vibaya Aunt Ezekiel

Post Image

SUPA-STAA Wema Isaac Sepetu ‘Madam’, amefunguka kuwa anachukizwa na watu wanaomtolea matusi muigizaji mwenzake, Aunt Ezekiel, baada ya kuhudhuria sherehe ya kuzaliwa ya mzazi mwenza wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’. Akizungumza na Za Motomoto News, Wema alisema unatakiwa ufike wakati watu waelewe na waongozwe kwa akili zao za kuzaliwa […]

Read More..

Faiza Ally: Wasanii wa Filamu Tanzania Wata...

Post Image

Msanii wa filamu Tanzania, Faiza Ally amefunguka kuhusiana na mwenendo wa tasnia ya Bongo Movie inayoendelea kwa sasa. Kupitia mtandao wa Instagram, muigizaji huyo amedai kuwa kwa sasa uigizaji si kazi ya kuichagua kuifanya labda uwe na njia mbadala tofauti na iliyopo sasa. Katika wasanii ambao wengi watakufa maskini Tanzania ni wasanii wa filamu… Na […]

Read More..

Tausi Mdegela: Sina Mahusiano ya Kimapenzi ...

Post Image

Muigizaji na mchekeshaji kwenye tasnia ya Bongo Movie, Tausi, amesema hana mahusiano yeyote nje ya kazi na Hemed PHD huku akisema huwa wanakutana kambini na hana hata namba ya simu ya msanii huyo. Tausi ameibuka na kusema hivyo baada ya kuwepo uvumi wa kujimwaga na staa huyo ambapo aliiambia eNewz “Hemedy ni msanii mwenzangu tu […]

Read More..

Lulu:Nimekataa Dili Kadhaa Kutoka Nigeria

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Bongo, Elizabeth ‘Lulu ‘ Michael amefunguka kwa kudai kuwa tangu alipopata tuzo ya AMVCA 2016 amekataa dili kadhaa kutoka kwa wasanii wa muziki wa Nigeria. Muigizaji huyo ameitaja sababu ya kukataa dili hizo imetokana na yeye si mwanamuziki wala video vixen. “Nimepata dili kama mbili tatu kutoka Nigeria za kuigiza filamu […]

Read More..

Filamu ya ‘Afande Chacha’ Kuonyeshwa Si...

Post Image

Afande Chacha ni moja kati ya filamu bora zaidi kutoka Step Entertainment iliyojumuisha mastaa wakali wa bongo movie wakiweno Riyama Ally, Hemmed  PHD na Mzee Majuto. Kwa mara ya kwanza itaonyeshwa ijumaa tarehe 14 mwezi  kupitia Sibuka maisha channel 111 kwenye startimes kuanzia saa 3 usiku ni bongo movie bandika bandua.  

Read More..

Riyama, Mumewe Wadaiwa Kutengana!

Post Image

Kama kawaida, tunakuletea ubuyu wa motomoto kuwa mkali wa sinema za Kibongo, Riyama Ally na mumewe ambaye ni msanii wa Bongo Fleva, Haji Mwalimu Mzee ‘Leo Mysterio’, wanadaiwa kutibuana na kufikia hatua ya kutengana kimakazi. Kisa cha yote hayo inasemekana kwamba, jamaa huyo hampendi mtoto wa Riyama aliyezaa na mwanaume mwingine, ishu ambayo mwanamama huyo […]

Read More..