-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Masanja:Nimeoa Kuhamasisha Vijana Wasiogope

Post Image

Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ aliyefunga ndoa hivi karibuni na kuzua tafrani kwa wasanii wenzake kutiwa hatiani kwa kutumia sare za askari siku ya harusi yake na mkewe Monica Masatu amefunguka kwa kusema kuwa amefungua njia kwa vijana wengi wenye uwezo kimaisha lakini hawataki kuoa. “Unakuta kijana yupo safi kimaisha lakini hataki kuoa hela anayo kila […]

Read More..

Wema Sepetu: Sirudi Tena Dar

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu amelikimbia jiji la Dar es salaam na kuamua kuanzisha makazi mapya mkoani Arusha kama alivyodai mwenyewe. Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo mkoani Arusha ameonyeshwa kuvutiwa na jiji la Arusha na kuamua kuwarusha roho mashabiki wake kwa kuwaambia kwamba hatarudi tena Dar es salaam. “My shouger nikimpenda hovyooo, kweli watu […]

Read More..

Nisha Afunguka Kuacha Skendo za Aina Hii

Post Image

Muigizaji wa vichekesho kwenye tasnia ya filamu nchini, Salma Jabu a.k.a Nisha Bebee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa tarehe 28 kwa kuamua kutembelea Hospital ya Ocean Road kuwaona wagonjwa waliolazwa katika hospital hiyo. eNewz ambayo ilifanikiwa kufika eneo la tukio ilimkuta Nisha ambaye alisema maisha yake kwa sasa ameamu kuyaelekeza kwa kusaidia watu na siyo […]

Read More..

Shamsa Ford Kufunga Ndoa Ijumaa Hii

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford anatarajia kufunga ndoa Ijumaa hii na mfanyabiashara wa nguo aitwae ‘Chidi Mapenzi’. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa ndoa hiyo itafanyika nyumbani kwa wazazi wake Sinza Africana jijini Dar es Salaam. “Kweli bhana Ijumaa hii Mungu akipenda nafunga ndoa,” alisema Shamsa Ford. Miezi mitatu iliyopita mfanyabiashara huyo alikiri kuwa kwenye mahusiano […]

Read More..

Sababu za Mastaa wa Bongo Movie Kugeuza Usi...

Post Image

STAILI ya maisha ya mastaa wengi ulimwenguni inafanana lakini zaidi ni ile tabia yao ya kubadilisha usiku kuwa mchana kwa sababu mbalimbali, Juma3tata linakuondolea utata. Siyo jambo la ajabu kwa mastaa kufanya kazi zao mpaka usiku mwingi kisha alfajiri kulala hadi mchana wa jua kali, muda ambao watu wengine huwa makazini wakitafuta riziki zao. Ukiacha […]

Read More..

Lulu Diva Alilia Uolewa

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Kibongo ambaye pia ni muigizaji, Lulu Abbasi ‘Lulu Diva’ amenyetisha kuwa kutokana na changamoto za kimaisha anazokutana nazo anatamani kuwekwa ndani muda wowote kama mke jambo ambalo anafikiria linaweza kumsaidia kwa kiasi fulani kimaisha kwa sababu atakuwa anaambulia angalau hata pesa ya meza. AKipiga stori na BBM, Lulu ambaye hivi […]

Read More..

Kuna Kitu Ninacho Moyoni Mwangu – Wema S...

Post Image

Tangu malkia wa filamu nchini, Wema Sepetu aachane na mpenzi wake Idris Sutlan kuna mengi yamekuwa yakizungumzwa katika mitandao ya kijamii. Muigizaji huyo hakuwahi kuzungumza sababu ya kuachana na mshindi huyo wa shindano la Big Brother Africa Hotshots 2014 hali ambayo imekuwa ikiibua maswali mengi kwa mashabiki wake. Alhamisi hii Wema amewataka mashabiki wake katika […]

Read More..

‘Mchongo Sio’ ya Duma,Riyama, Mboto na ...

Post Image

Kila mtu anpenda kile anachokifanya katika maisha yake kifaniwe,na kila mtu atavuna alichokipanda,kwa hiyo kama jambo lako lisipofanikiwa basi huna budi kusema Mchongo sio. Daudi Michael ‘Duma’ na wakali wengine wa bongo movie kama Riyama Ally, Kulwa Kikumba ‘Dude’ na wengine amehusika kwenye filamu hii. Usikose filamu hii kutoka Steps Entertainment 12.09.2016 nchi nzima

Read More..

Shilole; Kilichokupata Feri ni Sawa Tu, Kwa...

Post Image

ZUWENA Mohammed ndilo jina alilopewa na wazazi wake alipozaliwa nyumbani kwao Igunga, mji mdogo, lakini maarufu mkoani Tabora. Lakini katika harakati za maisha, amejikuta akipata umaarufu mkubwa nchi nzima na jirani, kwa jina lake la kisanii la Shilole. Wengine wanamuita Shishi Baby. Huyu anathibitisha kuwa mwanamke akiamua, inawezekana. Kwa sababu historia yake inaonesha kuwa ni […]

Read More..

Da Zitta Anapenda Story Halisi Katika Filam...

Post Image

MKURUGENZI wa kampuni ya Zitta Production Zitta Matembo ‘Da Zitta’ amefunguka kwa kusema kuwa siku zote anapenda kutengeneza filamu ambazo zinagusa jamii na ni hadithi halisi ambazo zinaizunguka jamii yetu kila siku na anafurahia sana kuigiza maisha halisi. “Nilipanga kuwa ni msemaji wa wanyonge ambao hawana pa kuongelea mimi nachukua nafasi kuwakilisha mawazo yao ambayo […]

Read More..

Faida za Urasimishaji Tasnia ya Filamu 2015...

Post Image

Na Ignas Mkindi Kabla mnaonishutumu inbox hamjanihukumu niwaeleze nnachoelewa mimi…. Kwa makadirio ya filamu 1329 zilizokaguliwa na kupewa madaraja: 1.Kwa wastani wa filamu moja kuwa na masaa mawili yaani part 1&2, Bodi ya Filamu imeingiza shilingi 159,480,000 kwa ukaguzi na kama walahu robo zilipewa vibali vya kushuti, bodi ilipata tena 165,000,000. Jumla ya shilingi 324,480,000 […]

Read More..

Vita Hivi ni Vya Kwangu Pekee Yangu- Rado

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu wa kiume  Simon Mwapagata ‘Rado’ ametamba kwa kusema kuwa yeye ndio mpiganaji pekee ambaye anaamini kuwa ataiokoa tasnia ya filamu na kuwa huru kutoka kwa wezi wa kazi zao bila kutegemea msaada kutoka kwa wasanii wenzake wala Serikali kwani vita hiyo ni ngumu na inahitaji uzalendo siyo njaa. “Filamu ni maisha yetu […]

Read More..

Masanja Asimulia Alivyochezea Kifinyo

Post Image

NYOTA wa  vichekesho nchini Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ ambaye wiki iliyopita alitawala kwenye vyombo mbalimbali vya habari baada ya kuvuta jiko, mtoto mrembo Monica, amesema kati ya vitu ambavyo hawezi kuvisahau maishani mwake ni pamoja na adhabu ya kufinywa aliyokuwa akipewa na mama yake. Akizungumza na Mtanzania, Masanja alisema kuwa nidhamu aliyonayo hivi sasa imetokana […]

Read More..

Kajala: Nataka Kuzaa Mtoto wa Kiume

Post Image

“Nahitaji kuzaa mtoto wa kiume ili Pamela naye ajivunie kuwa na kaka, siku zote nilitamani nipate watoto wenye jinsia tofauti, tayari ninaye wa kike sasa ni zamu ya kumpata mwingine wa kiume.” Ni kauli ya Kajala Masanja mwanadada anayefanya vyema kwenye soko la filamu nchini. Kauli hiyo ya Kajala imekuja siku chache baada ya kuulizwa […]

Read More..

Wema Akanusha Kurudiana na Diamond, Amwaga ...

Post Image

Mambo mengi yametokea wiki hii kuanzia Wema Sepetu kuachana na mpenzi wake Idris Sultan hadi Miss Tanzania huyo wa mwaka 2016 kuhudhuria birthday party ya binamu wa Diamond, Romeo na kukutana na vijana wa WCB. Kutokana na Wema kujumuika na vijana wa himaya ya WCB, kumezuka tetesi kuwa huenda ukaribu kati ya muigizaji huyo na […]

Read More..

Masanja Awaangukia Polisi, Wamaliza Msala w...

Post Image

Katika harusi ya Masanja Mkandamizaji iliyofanyika Agosti 14, wachekeshaji wenzake wa kundi la Orijino Komedi, walikuja wamevalia nguo zilizofanana na sare za jeshi la Polisi hali iliyowapelekea kukamatwa. Walifikishwa kituo cha Polisi kwa mahojiano na pia wakakaguliwa sehemu wanazoishi ili kuweza kufahamika kama kuna kitu kingine wanachomiliki tofauti na sare za Polisi. Kufuatia hatua hiyo, […]

Read More..

Masanja Asakwa na Polisi Akiwa ‘HoneyMoon...

Post Image

WAKATI dhamana ya waigizaji wa kundi la Orijino Komedi ikiwa wazi, Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam limeanza kumsaka bwana harusi, Emmanuel Mgaya, kwa mahojiano kama walivyofanya kwa wenzake. Hayo yameelezwa na Kaimu Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Hezron Gyimbi, jana baada ya kuwahoji waigizaji hao waliokuwa wakishikiliwa […]

Read More..

Wema Sepetu na Petit Man Wapatana

Post Image

Kwa miezi kadhaa sasa Wema Sepetu na Petit Man walikuwa wakichuniana hadi kuwafanya mashabiki waanze kuuliza maswali kupitia mitandao ya kijamii kutaka kujua kunani! Lakini usiku wa August 16, wawili hao walionekana wakijirekodi video fupi na Wema akaiweka katika account yake ya SnapChat. Baadaye kulivyokucha Wema alionekana kupost video clip ile ile ya SnapChat kwenye […]

Read More..