Masanja:Nimeoa Kuhamasisha Vijana Wasiogope
Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ aliyefunga ndoa hivi karibuni na kuzua tafrani kwa wasanii wenzake kutiwa hatiani kwa kutumia sare za askari siku ya harusi yake na mkewe Monica Masatu amefunguka kwa kusema kuwa amefungua njia kwa vijana wengi wenye uwezo kimaisha lakini hawataki kuoa. “Unakuta kijana yupo safi kimaisha lakini hataki kuoa hela anayo kila […]
Read More..





