-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Nimejifunza,Nimekoma kwa Wasanii Wenzangu-S...

Post Image

TENDA wema uende zako ni msemo ambao utumika sana kwa waungwana hili linamshinda mwigizaji na mchekeshaji mahiri Bongo Steven Mengele almaarufu Steve Nyerere baada ya kuonekana kuwa mstari wa mbele katika kujitoa katika matatizo ya wasanii wenzake lakini yeye anapopata matatizo anajikuta akiwa pekee yake na baadhi ya wasanii wachache wakishirikiana. “Nimejifunza mengi naweza sema […]

Read More..

Wema Sepetu Ampongeza Rais Magufuli Kwa Hil...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Wema Sepetu amefunguka na kumpa hongera Rais Magufuli kwa kuwakuza vijana wengi kiakili na ufahamu kutokana na namna alivyoongoza nchi na kuleta tija kwa watanzania. Pongezi hizo zinakuja Ikiwa ni takribanmiezi tisa sasa toka Rais Magufuli kutangazwa na kuapishwa kuiongoza Tanzania, msanii wa filamu nchini Wema. Wema Sepetu kupitia ukurasa wake […]

Read More..

Wema Sepetu na Idris Sultan Watibuana Tena

Post Image

Idris Sultan na Wema Sepetu wamezinguana kwa mara nyingine tena. Kisa na mkasa na Wema kuisusia show ya Idris, Funny Fellas kwa mara nyingine tena huku mshindi huyo wa Big Brother akihudhuria za mpenziwe, ikiwemo Black and Tie iliyofanyika mwezi uliopita. Baada ya kuchoshwa na tabia ya mpenzi wake kutompa support kwenye show zake, Idris […]

Read More..

Orijino Komedi Kuchukuliwa Hatua kwa Kuvaa ...

Post Image

TAARIFA YA JESHI LA POLISI KWA VYOMBO VYA HABARI Katika siku za hivi karibuni, kumejitokeza tabia kwa baadhi ya watu wakiwemo wasanii watu wengine mmoja mmoja kutumia mavazi yanayofanana na sare za Majeshi ya Ulinzi na usalama hapa nchini likiwemo Jeshi la Polisi katika shughuli zao za kisanii au katika kazi mbalimbali, Jambo ambalo ni […]

Read More..

Exclusive Teaser: Filamu Mpya ya “The...

Post Image

Watakushangaa sana pale utakapo zungumzia Tasnia ya filamu za Action Tanzania bila kumtaja Mwasisi wa Filamu hizo Jimmy Mponda maarufu kama J.Plus ambaye ndiye miliki wa ‘Mzimuni Theatre Arts’ aliyewahi kushikiria ubora wake miaka 5 kwa filamu yake ya “Misukosuko” yaani 2005-2010. Kwa madai yake J.Plus, amesema kuwa baada ya kufanya vizuri kwa muda mrefu […]

Read More..

Sipendi Watu Wanaotembelea Nyota za Watu- E...

Post Image

ESHE Buheti mwigizaji bora wa kike wa filamu Swahilihood amefunguka kwa kusema kuwa kuna baadhi ya watu upenda kutembelea nyota za wengine kwa kujitengenezea sifa bila kuwatambulisha wale waliofanya kazi hiyo bila kujua kuwa kufanya hivyo ni wizi au uharibifu kwa mhusika aliyetengeneza kitu hicho. “Kuna watu wanakera sana katika dunia hii unakuta mtu umetengeneza […]

Read More..

Ndoa za Mastaa Zilizoota Mbawa

Post Image

MAISHA ya kiuhusiano kwa mastaa ulimwenguni kote ni ya tofauti sana na watu wengine wa kawaida ambao hawana majina katika jamii zao. Mara nyingi maisha yao yanakuwa ya kuangaliwa sana na watu, hasa juu ya namna gani watakuwa wamefanya vitu vipya kila siku. Jambo la kushangaza, ukiwafuatilia baadhi ya mastaa, maisha yao kabla ya kuwa […]

Read More..

Skaina: Sitaki Kuolewa Tena

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Skyner Ally ‘Skaina’ amefunguka kuwa hahitaji kuolewa tena wala kusikia kitu kinachoitwa ndoa katika maisha yake na kwamba anachoshukuru ni Mungu kumjalia mtoto. Akizungumza na Amani Skaina alisema kuwa, alipata kovu kubwa sana la ndoa kipindi cha nyuma alipofunga ndoa yake ya kwanza hivyo hapendi kusikia tena kitu hicho kwa kuwa […]

Read More..

Kama Unataka Kumuoa Johari, Hii Inakuhusu!

Post Image

STAA wa kitambo kwenye filamu za Kibongo, Blandina Chagula ‘Johari’ amesema baada ya kukaa singo kwa muda mrefu, sasa yupo tayari kuingia kwenye ndoa wakati wowote. Akizungumza na Swaggaz, Johari amesema anatamani sasa naye aingie kwenye ndoa kwa kuwa umri wake unamruhusu kufanya hivyo. “Mimi ni mwanamke kamili, ni mtu mzima. Nimeshakuwa sasa, kwahiyo kiukweli […]

Read More..

Filamu ya ‘Kesho Yangu’ Kutoka Mwezi Hu...

Post Image

Laiti kama mwenyezi mungu angetupa uwezo wa kujua kesho yetu,nafikili duniani,kusingekuwa na majuto,lakini je umeshawai kuonja ladha ya kuku uliemfuga mwenyewe. Usikose filamu hii inapatikana madukani kuanzia tarehe 29 mwezi huu nchi nzima.  

Read More..

Nisha: Mastaa Wasahau Penzi Langu

Post Image

SALMA Jabu maarufu kwa jina la ‘Nisha’, siyo geni masikioni mwa wapenzi wa filamu za Kitanzania ambapo watu wengi walianza kumfahamu kupitia kipaji chake cha uchekeshaji. Nisha amewahi kufanya vizuri kwenye baadhi ya filamu kama  Simu Sikioni, Because of Facebook, Chumba cha Siri,  Mchana wa Kiza, Bado Niko Hai, Pusi na Paku na nyingine nyingi. […]

Read More..

Mzee Yusuph Ameacha Muziki na Kumrudia Mung...

Post Image

Mfalme wa muziki wa taarabu mzee Yusuph maarufu kama “mfalme wa taarabu” amefunguka na kusema kuwa sasa ameamua kuachana na muziki huo na kumrudia Mungu huku akiwataka watanzania pia kumrudia Mungu. Akiongea na eNewz baada ya kutoka msikitini Mzee Yusuph amesema kwa taarifa za awali watanzania wanatakiwa kutambua kuwa yeye ameachana na muziki na sasa […]

Read More..

Shilole Afungukia Tatuu Zake za Kichina

Post Image

MWANADADA anayefanya poa kwenye game la muziki Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amefungukia maana halisi ya tatuu zake mpya alizojichora baada ya kufuta zile za awali ikiwemo ile ya X- wake, Nuh Mziwanda.   Shilole aliiambia safu hii kuwa, mbali na zile zinazosomeka kama jina lake la Shishi, zile za Kichina ni alama za kimuziki ambazo zinaonesha […]

Read More..

Kajala Afunguka Kupagwa Baada ya Kuhongwa G...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Kajala Masanja ambaye kwa sasa yupo karibu sana na msanii Quick Racka amefunguka na kusema kuwa alikurupuka kukubaliana na mwanaume ambaye hakuweza kumfahamu vizuri tabia zake baada ya yeye kuhongwa gari aina ya Harrier. Kajala alitoa ushuhuda huo kwenye kipindi cha Friday Night Live ya (EATV) alipokuwa akiwapa hamasa mabinti na […]

Read More..

Tamthilia ya Siri za Familia Kuingia Sokoni...

Post Image

Familia nyingi zina siri ingawa zinatofautina, Siri zinaweza kuhusiana na miiko, ukatili, mahusiano, magonjwa, uhalifu,mauaji, ubakaji. Jambo lolote ambalo mtu au famila inadhani linaweza kuleta tafarani,linafanywa siri. Hata hivyo hakuna siri ya watu wengi au ya muda mrefu kwani hatimaye hufichuka je nini hutokea pale? Tamthiliya Ya ” Siri za Familiya ” Inakuja katika mfumo […]

Read More..

Wastara Amnasa Kigogo Morogoro

Post Image

IMEVUJA! Safari za mara kwa mara mkoani Morogoro, zinazofanywa na staa wa filamu za Kibongo, Wastara Juma zinadaiwa kuchangizwa baada ya kumnasa kigogo mmoja mkoani humo. Chanzo makini kililiambia Risasi Mchanganyiko kuwa muigizaji huyo amempata mfanyabiashara na kiongozi wa serikali mkoani humo, kitu kinachomfanya afanye safari zaidi ya mara nne kwa mwezi. “Yaani siku hizi […]

Read More..

Kajala Afunguka Sababu ya Kwenda Gym

Post Image

Msanii wa filamu na Mama wa mtoto mmoja, Kajala Masanja amesema haendi gym ili kutafuta ‘shape’ ya mwili wake kama baadhi ya watu wanavyodhani. Mwigizaji huyo ambaye ameachia filamu mpya ‘Sikitu’ hivi karibuni, amesema anaingia gym kufanya mazoezi ili kukabiliana na tatizo la moyo. “Hapana shape tayari ninayo alinipa Mungu, labda naiongezea kidogo tu, nafanya […]

Read More..

Mwanaheri Akataa Posa

Post Image

Mwigizaji anayekuja juu kwa kasi kwenye tasnia ya sinema za Kibongo, Mwahaheri Ahmed ‘Mwana’ amefunguka kuwa kufuatia kutokuwa tayari kuolewa, alishatolewa posa mara nane lakini akazikataa zote. Akizungumza na Wikienda, Mwana alisema kuwa hayuko tayari kuolewa kwa sasa hadi akamilishe mipango yake aliyojipangia ndiyo maana hata posa zilivyokuwa zikiletwa kwao hakuwa tayari. “Nilikuwa bado niko […]

Read More..