-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Muigizaji wa Kike Aelezea Maisha Yalivyomf...

Post Image

Kuna wimbi kubwa la wasichana wanaojihusisha na vitendo vya usagaji. Malkiz aka Kizz Kiduku ni msanii chipukizi wa filamu Tanzania anayefahamika wazi kujihusisha na vitendo vya kisagaji. Hivi karibuni alikaa na kuzungumza na Global TV na kusimulia jinsi alivyoanza mambo hayo. Alidai kuwa yote yalianza akiwa shuleni Mwanza ambako kama msichana aliyebalehe alikuwa akipata hamu […]

Read More..

Diamond Akiri Kupenda Bifu

Post Image

Msanii Diamond Plutnuz amewashangaza watu baada ya kauli yake kwamba anaona bifu kwenye muziki na kitu kizuri, tofauti na wasanii wenzake wengi ambao hupinga suala la bifu. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Diamond amesema kwake yeye anaona ni sawa tu iwapo wasanii wanakuwa na bifu, kwani inasaidia kwa kiasi kikubwa kuinua muziki […]

Read More..

Wastara Afunguka Kuhusu Kuwa na Ujauzito

Post Image

Msanii wa bongo movie Wastara Juma apinga mawazo ambayo watu wamekua wanamfikiria kwamba ni mjamzito. Akiongea kwenye kipindi cha eNewz kinacho onyeshwa katika runinga ya EATV kila siku saa kumi na mbili, Wastara amewaambia wananchi kwamba tumbo la mimba hukua na halirudi ndani kwa hiyo waendelee kusubiri miezi tisa mpaka itimie kwani kwanzia waanze kusema […]

Read More..

Jimmy Mafufu Apanga Kukimbia Dar

Post Image

Mwigizaji wa Bongo Muvi, Jimmy Mafufu ameibuka na kusema kutokana na gharama ya maisha kuzidi kuwa juu, amepanga kulikimbia Jiji la Dar na kurudi mkoani kwao, Mbeya. Akizungumza na Wikienda, Mafufu alisema kuwa, amegundua jijini Dar kuna kujuana kwingi hivyo ni vigumu kuchomoka kimaisha lakini akirudi kwao kuna fursa nyingi za kimaisha. “Ukweli Dar imenishinda, […]

Read More..

Nisingefunga Ndoa na Chuzi Zaidi ya Kuzaa N...

Post Image

MIRIAM Jolwa ‘Jini Kabula’ amefunguka sababu iliyomfanya ashindwe kufunga ndoa na mzazi mwenzake Tuesday Kihangala ‘Mr. Chuzi’ ni wosia kutoka kwa wazazi wake ambao walimwamru kutobadili dini yake ya Kikristu. “Nilishaapa siwezi kubadili dini kwa ajili ya Ndoa hata nilipozaa na Mr. Chuzi kikwazo ilikuwa dini siwezi kupingana na wosia wa marehemu Baba yangu,”anasema Kabula. […]

Read More..

Inside Story: Zimebaki Siku Chache Kuingia ...

Post Image

Fiamu ya kubwa ya Inside Story itaonyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye ukumbi wa  CINEPLEX CINEMA, QUALITY CENTER siku ya ijumaa tarehe 19 mwezi huu. Fiamu ya INSIDE STORY imechezwa na mastaa wakubwa wa kimaifa kama Hakeem Kae-Kazim  na Fana Mokoena waliocheza kwenye filamu ya  Hotel Rwanda. Inside Story itasambazwa na Steps Entertainment, Kaa mkao […]

Read More..

Shilole Adaiwa ‘Kumpoteza’ Nuh!

Post Image

KUNA tetesi kuwa mwanadada asiyekauka kwenye ‘media’ ambaye pia anafanya Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amemuundia jeshi aliyekuwa mwandani wake Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ kuhakikisha linamfanyia fujo mara kwa mara ili asiishi kwa amani wala kufanya vizuri kimuziki. Baada ya tetesi hizo kuenea, Burudani Mwanzo Mwisho (BMM), lilimvutia waya Shilole ili kufungukia madai […]

Read More..

Thea Kuja na Tamthilia 3 Mpya Kwenye Runing...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu, Salome Urassa ‘Thea’ amesema anajipanga kuachia tamthilia 3 mpya baada ya soko la filamu kudai kubadilika. Akiongea na Bongo5 Jumapili hii, Thea amesema kuongezeka kwa runinga kumewafanya wasanii wa filamu kufikiria nje ya box kwa kutengeza tamthilia. “Kusema kweli sasa hivi tamthilia za kwenye runinga ndo zimekuwa issue, runinga nyingi zinahitaji […]

Read More..

Gabo Awapa Neno Waliomzushia Kifo Baada ya ...

Post Image

Hivi karibuni msanii wa filamu za Kibongo Gabo Zigamba alipata ajali akielekea kutembelea kwenye hifadhi ya Ruaha ikiwa ni muda mfupi tu toka alipotembelea kituo cha Watoto yatima na kutoa misaada Iringa na baadhi ya watu walizusha kuwa amefariki dunia mwenyewe amefunguka kupitia akaunti yake ya Instagram. “Uwongo unaoishi ndio Ukweli Mpaka Ukanushwe,nami naanzia hapa […]

Read More..

Mzee Chilo Awashukia Wasanii Kuhusu Kunyony...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Mzee Chilo amesema siyo kweli kwamba wasambazaji Wakiindi wanawanyonya wasanii wa filamu. Akiongea na Bongo5 Jumapili hii, Mzee Chilo amesema kuwa wasanii wengi kwa sasa wanafanya filamu mbovu ndio maana filamu zao zinakosa soko kwa Waindi. “Wanaosema kwamba bongo movie imeshuka sijui hizi taarifa wanazipata wapi, mimi nipo kwa miaka […]

Read More..

Mashabiki Wamchana Raymond

Post Image

Msanii Raymond ambaye kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wake ‘Natafuta kiki’ amewachefua baadhi ya mashabiki zake kwa kubadili muonekano wake baada ya kusuka rasta katika kichwa chake kitu ambacho kinaonesha kuwakera baadhi ya mashabiki wake. Raymond alipotupia picha ya muonekano wake mpya kwenye kurasa zake za mitandao ya jamii, mashabiki zake wakaanza kumshauri kuwa […]

Read More..

Kujiamini Ndio Kila Kitu –Kitale

Post Image

MCHEKESHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Yussuf Mussa Kitale ‘Rais wa Mateja’ anasema kuwa ili kufanikiwa kwa kila jambo ni kujiamini na kuacha uoga hiyo ndio imemfanya hadi leo kushindwa kuuza kazi zake na haki zake kwa wasambazaji. “Wasanii wengi waoga kusambaza kazi zao, mimi nimesambaza kazi nyingi lakini Shobo dundo na Nikabu zinafanya vizuri […]

Read More..

Miyeyusho Imenihamishia Kenya- Mlela

Post Image

YUSUF Mlela mwigizaji wa filamu Bongo amefunguka kwa kusema kuwa amepata mkataba wa kufanya kazi na Wakenya baada ya ubabaishaji kuingia katika soko la filamu Tanzania kwani bila hivyo hali ingekuwa mbaya sana hivyo alipopata mkataba kuigiza nchini Kenya hakusita. mzalendo kwa nchi yake lakini hapa kwetu miyeyusho imezidi unaingia location kwa shida na kuuza […]

Read More..

Shamsa Ford: Baada ya Posa Muda Wowote Naol...

Post Image

BAADA ya kutolewa barua ya uchumba na mpenzi wake mpya, Chidi Mapenzi, mwigizaji, Shamsa Ford, amefunguka kwamba wakati wowote atafunga ndoa na mwanaume huyo kwa kuwa mipango yao imeshakamilika. Shamsa aliliambia MTANZANIA kwamba licha ya kupitia katika changamoto za wapenzi wengi, mpenzi wake huyo wa sasa ndiye aliyeonyesha ushawishi hadi kutaka kumuoa. “Kwa hatua hii […]

Read More..

Mwana FA Awataja Hawa Ndiyo Wasanii Wake Bo...

Post Image

Mwanamuziki Mwana FA amefunguka na kuwataja wasanii wawili ambao yeye siku zote amekuwa akiwakubali kutokana na uwezo wao na kazi kubwa waliyoifanya katika muziki wa Hip Hop Tanzania kiasi cha kuwafanya watu waamini muziki huo siyo uhuni bali ni kazi. Mwana FA kupitia kipindi cha Friday Night Live (FNL) kinachorushwa na EATV alisema Professor Jay pamoja […]

Read More..

Picha: Wema Sepetu, Idris Wanaswa ‘Wakiro...

Post Image
Read More..

Shamsa Ford Amuweka Wazi Mpenzi wake Mpya

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa baada ya kuachana na mpenzi wake wa zamani Nay wa Mitego ambaye alimuweka wazi kwa jamii na kuja kuachana baada ya muda mfupi alikuwa mwoga tena kumuweka wazi mpenzi wake mpya. Shamsa Ford alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWZ na kusema kuwa alikuwa mwoga kumuweka […]

Read More..

Gabo Ashushiwa Kipigo, Apoozwa kwa Msosi

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ ametoboa kuwa, baba yake mzazi, mzee Ahmed alikuwa mkali sana, lakini kamwe hawezi kusahau siku alipochezea bakora za kutosha na mama yake akamtuliza kwa msosi.   Akisimulia kisa hicho, Gabo ambaye amenyakua Tuzo ya Msanii Bora wa Kiume kwa mwaka huu iliyotolewa na ZIFF, alisema kwa […]

Read More..