-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Hawa Wamebambwa Utamu!

Post Image

WAUMINI wa dini ya Kiislam duniani wapo katika mfungo wa Mwezi wa Ramadhani. Mfungo huo ni moja kati ya nguzo tano za dini ya Kiislam, ikiwa ni nguzo ya nne. Katika nguzo hii, waumini hujizuia kula na kunywa mchana kutwa, sambamba na kujipinda katika kutenda mambo mema na kuepuka maovu, huku pia wakiomba msamaha kwa […]

Read More..

Wema Afunguka Kuhusu Kurudiana na Diamond

Post Image

Vunja ukimya! Tetesi zinazogonga vichwa vya mashabiki wa mastaa wawili Bongo, Wema Isaac Sepetu ‘Madam’ na Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ zimepata ufumbuzi baada ya mlimbwende huyo kuanika ukweli wa ‘ubuyu’ huo, Wikienda limefanya naye mahojiano maalum (exclusive interview) yaliyochukua dakika 45. KABLA YA MAHOJIANO Kabla ya Wema kufunguka mambo mazito juu ya Diamond, uchunguzi wa […]

Read More..

Lulu Ajikita Chuo, Anasomea Kozi Hii

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Elizabeth Micheal ‘Lulu’ amerudi chuoni na kuamua kuchukua kozi ya Human Resource. Muigizaji huyo ameweka wazi anachosomea baada ya mashabiki katika mtandao wa Periscope, kutaka kujua anasomea nini baada ya kupost video mbalimbali katika mtandao huyo huku akizungumzia maswala ya chuo. “Jamani nimechoka kuulizwa nasomea nini, nasomea nini, nachukua Human Resource,” […]

Read More..

Neema Ndepanya Ametoa Zawadi kwa Watoto Yat...

Post Image

Mcheza filamu za kitanzania Neema Ndepanya ametembelea kituo cha watoto yatima Hiyali orphan center kilichopo changombe Sigara Dar es salaam na kuwapa zawadi ya vitu mbalimbali ikiwemo unga wa ngano pamoja na mafuta. Neema amefanya hayo kama shukrani ya filamu yake ya Kobe la mchana kuingia sokoni ikisambazwa na kampuni ya steps entertainment iko nchi […]

Read More..

Hemed Adai ‘Kuwachapa’ Mastaa Wengi

Post Image

Msanii wa filamu Hemed Suleiman amefunguka kwa kusema kuwa hajawahi kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu lakini wengi amewachapa. Mwigizaji huyo ni miongoni mwa wasanii wa filamu mwenye mvuto kutoka na kujiremba kwake pamoja uvaaji. Akiongea na Times Fm hivi karibuni, Hemed aliulizwa kuhusu kutoka kimapenzi na wasanii wa filamu. “Ngoja niseme hili sijawahi kuwa […]

Read More..

Uwoya, Kajala Waingia Vitani

Post Image

Ubuyu mzito! Mastaa wakubwa kunako Bongo Muvi, Irene Pancras Uwoya ‘mama Krish’ na Kajala Masanja ‘Kay’ wanadaiwa kuingia vitani, kisa mapenzi ya wasanii wa Bongo Fleva, Msami Giovani na Abbott Charles ‘Quick Racka’ Wikienda limeng’atwa sikio. Chanzo kilicho karibu na wawili hao kilipenyeza ishu kuwa aliyeanza yote ni Uwoya baada ya kumchukua mpenzi wa Kajala […]

Read More..

Sitoacha Kuigiza Sababu ya Gospel – Senat...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu kutoka Swahilihood Stanley Msungu ‘Senator Msungu’ amefunguka kwa kusema kuwa kufuatia yeye kuimba na kuokoka hawezi kuacha uigizaji bali kila jambo atalipa nafasi yake kwa wakati. “Nafanya Gospel kama sehemu ya aina yake ya uhubiri, nimetoa wimbo unaitwa Nimerudi na nitaendelea na uigizaji pia kwani ni vipawa vyote kutoka kwa Mungu,”anasema Msungu. […]

Read More..

Mpira Dakika 90 Unachosha- Wema Sepetu

Post Image

Mrembo na staa wa filamu za Kitanzania, Wema Sepetu, amefunguka kuwa mchezo  wa soka unamchosha kuangalia kwa kuwa unatumia muda mrefu wa dakika 90 huku wachezaji wake wakihangaika mno kutafuta bao tofauti na mpira wa kikapu. Wema Sepetu, alilidokeza Swaggaz, kuwa mara nyingi akiwa nyumbani kwake huwa anaangalia mpira wa kikapu kwani hauchoshi na wachezaji […]

Read More..

Uwoya na Skendo ya Kubakwa!

Post Image

Untold story! Skendo ambayo haijawahi kuandikwa wala kusimuliwa popote inayomhusu mwigizaji ‘hot’ wa sinema za Kibongo, Irene Pancras Uwoya ‘Mama Krish’ ni juu ya madai ya kubakwa na mfanyabiashara maarufu wa Kihindi jijini Dar (jina linahifadhiwa kwa sasa), alipokuwa na umri wa miaka 18 ambapo kwa sasa ana umri wa miaka 28, Ijumaa limefukunyua na […]

Read More..

Riyama Kuja na ‘Matala’!

Post Image

Kila unapokuta na filamu ambayo amecheza mwigizaji mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Riyama Ali lazima ukutane na kichambo, lakini mwenye anasema kuwa amebadilika na amerudi kama zamani Riyama wa ujumbe na huzuni. “Kuna wakati msanii unaigiza kulingana na uhusika wengi walinizoea kucheza sinema za kuhuzunisha lakini hapa kati nilibadilika lakini kuna filamu ya Matala […]

Read More..

Uwoya Azipa Kisogo Filamu

Post Image

MREMBO aliyejulikana zaidi kwenye Tasnia ya Filamu Bongo kupitia Filamu ya Oprah aliyofanya na marehemu Steven Kanumba ‘The Great’ pamoja na Vincent Kigosi ‘Ray’, Irene Uwoya amefunguka kuwa kwa sasa ameamua kujikita zaidi kwenye ishu za ujasiriamali kuliko kazi yake ya filamu maana anadhani zitamtoa kimaisha. Akichonga kwa kujiachia na mwandishi wetu, Uwoya alisema tofauti […]

Read More..

Faiza Ally Afunguka Kutamani Kuzaa Tena na ...

Post Image

AMEJIZOLEA umaarufu mkubwa kwenye tasnia ya mitindo na filamu hapa nchini, mwingi wa matukio na vituko vyake ambavyo vinashangaza na kuaacha watu wakiwa midomo wazi, huyu ndiyo Faiza Ally, mrembo ambaye itakubidi utenge muda wa ziada ili upate kumuelewa. Huwenda ulikuwa humfahamu lakini habari za kutoka kimapenzi na hatimaye kuzaa mtoto anayeitwa Sasha na mkongwe […]

Read More..

Shilole Alia Wasanii Wenzake Kumdhalilisha

Post Image

Msanii wa filamu na muziki Bongo, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ ameonesha masikitiko yake kufuatia madai ya kudhalilishwa na baadhi ya wasanii wenzake kwa kuipa promo video ya wimbo mpya wa zilipendwa wake, Naftal Mlawa ‘Nuh Mziwanda’ wa Jike Shupa. Kwa mujibu wa Shilole, video ya wimbo huo inaonesha matukio ya kumdhalilisha ambayo inaonekana yeye alikuwa akimfanyia […]

Read More..

Picha: Riyama Afunga Ndoa na Leo Mysterio

Post Image

Msanii wa filamu Riyama Ally Alhamisi hii amefunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Leo Mysterio. Muigizaji huyo mahiri wa filamu ambaye ni mama wa mtoto mmoja aliyezaa mume ambaye aliaacha naye, ameingia katika list ya wasanii wachache wa filamu waliofunga ndoa. Leo Mysterio ambaye ni msanii chipukizi wa muziki, aliwahi kusema kuwa mahusiano […]

Read More..

Bongo Movies Wafungua Tawi la Yanga

Post Image

MASTAA wa Bongo Movies wanaoshabikia Timu ya Yanga wamefungua tawi rasmi kwa ajili ya kuisapoti hiyo ya Jangwani. Yanga imekuwa na mashabiki wengi kila kona hapa nchini na Bongo Movies wameanzisha tawi hilo ili kuwa karibu zaidi na timu hiyo. Kwa mujibu wa mwenyekiti wa tawi hilo, Mike Sangu, baada ya kuona wanajitosheleza kufungua tawi […]

Read More..

Filamu za Nje Zinatutia Njaa Jamani- Tino

Post Image

NYOTA wa filamu Hisany Muya ‘Tino’ anasema kuwa sinema kutoka nje zimeua soko la ndani na kuwafanya wasanii waishi kwa shida kwani hata watengeneze kazi zenye ubora wa namna gani bado wanashindwa kuuza kwa bei ya kimaslahi. “Serikali tunaomba itusaidie kwa hili sinema kutoka nje ni tatizo ndio zimeua soko letu, hazilipi ushuru zimezagaa kila […]

Read More..

NI NOMA : Lulu Anafikiria Kimataifa Zaidi

Post Image

ELIZABETH Michael ‘Lulu’ mwigizaji wa kike mwenye nyota kali anasema kuwa hawezi kwa sasa kuonekana kwa kila filamu bila sababu kwani amejipanga kutafuta tuzo kubwa za kimataifa hivyo lazima ashiriki sinema bora ili kufikia malengo yake.   “Kuwa bora si kucheza sinema nyingi bali kuwa na sinema za maana, nimejipanga na nakuja na filamu yangu […]

Read More..

Swala la Mimba Lamuweka Kitimoto Wastara

Post Image

Mashabiki katika mitandao ya kijamii wanamshinikiza staa wa filamu, Wastara Juma kuwapa ukweli kama ana mimba ya Mbunge wa Jimbo la Donge Zanzibar, Sadifa Khamis ambaye ameachana naye miezi kadhaa iliyopita. Muigizaji huyo ambaye ni mama wa watoto watutu, ameona asikae kimya kushuhu swala hilo na kuamua kuwajibu mashabiki hao akiwataka kutulia kama ana mimba […]

Read More..