-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wolper Anusurika Kupigwa Risasi Kituo cha M...

Post Image

Chupuchupu! Mwanadada anayeng’ara kunako tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper, juzikati almanusra apigwe risasi kwenye kituo kimoja cha mafuta kilichopo Tegeta (jina linahifadhiwa) jijini Dar es Salaam, baada ya kuibuka kwa timbwili zito eneo hilo, Risasi Mchanganyiko linakupa mkasa mzima. Tukio hilo la aina yake, lilijiri mishale ya saa tano usiku wa Juni 12, […]

Read More..

Rammy Apata ‘Shavu’ Hili Ghana

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rammy Galis ‘Pacha wa Kanumba’ amezidi kula mashavu katika Tasnia ya Filamu Ghana na hivi karibuni anatarajiwa kudandia pipa kuelekea nchini humo kwa ajili ya kugonga filamu nyingine na dairekta maarufu nchini humo anayejulikana Afrika nzima. Akichonga na gazeti hili Rammy Galis alisema filamu alizofanya na wasanii kutoka Ghana na Nigeria […]

Read More..

Steve Nyerere Awapongeza Harmonize na Iyobo...

Post Image

Kiongozi wa zamani wa Bongo Movie Unit,  Steve Nyerere amempongeza msanii wa muziki, Harmonize pamoja na dancer wa Diamond, Mosei Iyobo kwa kuwapa utulivu wasanii wenzake wa filamu Aunt Ezekiel na Jacqueline wolper. Muigizaji huyo ambaye alikuwa MC katika iftar ya GSM iliyofanyika Kigamboni weekend hii na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali, alisema anawashukuru wasanii hao […]

Read More..

Nisha Amjibu Wolper

Post Image

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kumjibu mwigizaji mwenzake, Jacqueline Wolper Massawe kuwa hajawahi kutaka ‘kiki’ za kijinga wala ugomvi na anachoangalia yeye ni biashara na maisha yanaenda. Nisha aliliambia Wikienda kuwa ameshangazwa na habari zinazozagaa mitandaoni baada ya yeye kuweka picha za wasanii wanne kisha msanii mwenzake, Wolper kuanza […]

Read More..

Muhogo Mchungu Alia na Mitandao

Post Image

Msanii mkongwe wa maigizo nchini Muhogo Mchungu amelalamikia watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa vijana kwa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Muhogo Mchungu ameyasema hayo katika mahojiano na Enews na amewataka wazazi wajiunge na mitandao hiyo ya kijamii ili waweze kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao hiyo kwa kufuatilia matumizi ya watoto wao. Muhogo alisema kuwa […]

Read More..

Jb Awashukia Wasanii Wenzake Kuhusu Hili!

Post Image

JACOB Stephen ‘JB’ msanii mahiri katika tasnia ya filamu Bongo amewashukia wasanii wenzake kwa kusema kuwa wengi hawapo makini na tasnia jambo ambalo linawafanya kupoteza mapato mengi kutokana na tasnia hiyo bila sababu. Ukweli ni kwamba wasanii wengi hawapo serious na kazi kitu kinachofanya tukose pesa kwenye filamu, na ukitaka kutambua hilo angalia page zao […]

Read More..

Wastara Adaiwa Kunasa Ujauzito

Post Image

Exclusive! Habari mpya ya motomoto ni kwamba, staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma amenasa ujauzito, Risasi Jumamosi linakuwa la kwanza kukupa mchapo huu! Ujauzito huo ni wa aliyekuwa mumewe, Sadifa Juma, mbunge wa Jimbo la Donge, Visiwani Zanzibar ambapo kitendo cha mimba hiyo kuwa ya mbunge, kimemsumbua Wastara hadi kuamua kuondoka ili akapate muda […]

Read More..

Nisha na Wolper Wavutana, Kisa Hiki Hapa

Post Image

Mastaa wa bongo muvi, Salma Jabu ‘Nisha’ na Jacqueline  Wolper wamejikuta wakivutana mtandaoni baada ya Nisha kuandijka kitu ambacho Wolper alijibu na kusababisha Nisha kuibuka tena na kutoa ufafanuzi. Nisha aliandika haya; kwenye hicha hii “Mmoja kati ya hawa amejaa kwenye galary ya simu yangu na moyoni mwangu,otea A B C AU D? enhe.  he???sa […]

Read More..

Cathy Awaka Kukimbiwa na Mume

Post Image

MWANAMAMA kutoka katika kiwanda cha filamu Bongo, Sabrina Rupia ‘Cathy’ amewatemea cheche wanaomsengenya kuwa amekimbiwa na mumewe hivyo kuwataka wamuache kwani hawezi kuachwa kamwe. Akizungumza na GPL, Cathy alisema tangu mumewe ahamie kikazi Zanzibar maneno yamekuwa mengi sana kutoka kwa watu wake wa karibu kwamba ameachwa kitu ambacho siyo kweli kwani wako vizuri na mambo […]

Read More..

Dude Ajuta Kutofunga Ndoa

Post Image

MSANII wa filamu Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefunguka kuwa anajuta kutofunga ndoa na mkewe, Eva kwani anateseka sana kipindi hiki cha mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Akistorisha na gazeti hili, Dude alisema kutokana na sheria za dini ya Kiislamu kwamba hairuhusiwi mwanaume kupikiwa futari na mwanamke anayeishi naye tu bila kufunga ndoa, amekuwa akiteseka […]

Read More..

Yusuph Mlela Apata Dili Hili Kenya

Post Image

Msanii wa Bongo Movie,Yusuph Mlela amefunguka juu ya dili lake la nchini kenya. Akizungumza na Enewz Mlela amesema kuwa anashukuru Mungu kwakuwa hiyo ndiyo nafasi kwake katika kuiwakilisha nchi yetu. “Project yangu ya Kenya imenipa Exposure kubwa sana kiasi kwamba imenitanua katika kila kitu na watu wategemee kitu kikubwa zaidi”, amesema Mlela huku akiongezea kuwa […]

Read More..

Mama Wema Afunguka Kupigana na Watu Kumtete...

Post Image

Mama yake Wema Sepetu, Mariam Sepetu amefunguka na kueleza jinsi anavyoumizwa na stori za uongo kuhusu mwanae ambazo zimekuwa zikiandikwa katika magazeti ya udaku. Akizungumza katika kipindi cha Clouds E cha Clouds TV Alhamisi hii, Bi Mariam amesema amekuwa akigombana mara kadhaa na baadhi na viongozi wa magazeti ya udaku kuhusu stori za uongo. “Naumia […]

Read More..

Baada ya Miaka Miwili, Rose Anarudi na ‘A...

Post Image

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Rose Ndauka baada ya kuacha kushiriki kazi za watayarishaji wengine amesema kuwa amerudi katika fani hiyo na kazi yake ya Angela ambayo ni kazi yake mwenyewe kwani alisema kuwa hawezi kushiriki filamu za wengine na amefanikiwa. “Nimeweza kukaa zaidi ya miaka miwili bila kushiriki kazi ya mtayarishaji mwingine […]

Read More..

Baby Madaha Awashangaa Waigizaji wanaotona ...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’, ameibuka na kudai kwamba anashangazwa na waigizaji wa kike waliopo katika mapenzi na wanaume wa umri mdogo. Baby Madaha ambaye ameolewa na Mwarabu wa Dubai, amesema tabia ya wasanii wenzake kuwa na wanaume wenye umri mdogo maarufu ‘Serengeti Boys’ unafedhehesha na haiwasaidii chochote zaidi ya […]

Read More..

Nisha Awahofia Wakware kwa Mtoto Wake

Post Image

MSANII anayefanya vizuri katika filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefungukia hofu aliyonayo kwa mwanaye, Ipsium kutokana na wanaume wakware kuzidi kuongezeka kila siku. Akichonga na Risasi Vibes, Nisha alisema hata akiwa na ‘boyfriend’ wake, huwa hapendi amzoee mwanaye huyo, kwani anamlea katika maadili ya kidini zaidi na anamshukuru Mungu anazingatia vile anavyotaka. “Mwanangu yuko darasa […]

Read More..

Mose Iyobo Atangaza Ndoa

Post Image

Mchezaji maarufu wa muziki wa Bongo Fleva Moses Peter anaetambulika kwa jina la Mose Iyobo anefanya kazi na Staa Diamond Platnumz amefunguka na kudai kuwa ndoa yake na staa wa Bongo muvi Aunt Ezekiel inanukia. kizungumza na eNewz Mose alisema kuwa kuna kitu ambacho watu hawafahamu ambacho ni kuwa, yeye anakaribia kuwa bwana harusi wa […]

Read More..

Mike: Nitakodi Ndege Kupeleka Mahari ya Mri...

Post Image

Mwigizaji wa kiume Bongo, Michael Sangu ‘Mike’ amesema kuwa anatarajia kukodi ndege kwa ajili ya kwenda mkoani Mbeya kupeleka mahari ya mchumba’ke wa sasa aliyemtaja kwa jina moja la Eliza ambaye ndiye mrithi wa aliyekuwa mkewe, Salome Urassa ‘Thea’. Akizungumza na Wikienda, Mike alisema kuwa amekuwa akichafuliwa kwa mchumba’ke huyo na watu wanaomwambia maneno lakini […]

Read More..

Hamisa Amlipua Lulu

Post Image

Mwanamitindo ambaye pia ni video queen maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto, amemlipua laivu staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kisa kikidaiwa ni lile saga la kugombea penzi la kigogo (jina tunalo) ambapo kwa sasa hali ni tete baina ya wawili hao. Hivi karibuni kuliibuka vita kali ya matusi mitandaoni kati ya kundi la […]

Read More..