Sakata la ‘Unga’: Makonda Ametoa Siku 1...
LEO Jumatatu, Februari 6, 2016, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda akiwa na Kamanda Sirro katika Kituo Kikuu cha Polisi Dar es Salaam amezungumza na wanahabari kuhusu oparesheni ya kusaka wauzaji na watumiaji wa dawa za kulevya kwa mkoa wake. Mambo aliyoyasema Paul Makonda leo ni kutoa siku kumi kuanzia kesho February […]
Read More..






