-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Sifanyi Muziki kwa Ajili ya Tuzo-Nay wa Mit...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Nay wa Mitego ambaye alisumbua sana na wimbo wake ‘Shika adabu yako’ ambao ulifungiwa na Baraza la Sanaa (BASATA) na sasa ameachia wimbo wake mpya ‘Saka hela’ amefunguka na kusema kuwa yeye hafanyi muziki ili kupata au kushinda tuzo. Nay wa Mitego aliyasema haya alipokuwa akihojiwa kwenye kipindi cha eNEWS […]

Read More..

Jux Asimulia Alivyomnasa Vanessa Mdee

Post Image

Msanii Jux amefunguka na kusimulia namna alivyoweza kumnasa na kumuweka kwenye imaya yake ya mapenzi Vanessa Mdee na kusema kuwa kwa mara ya kwanza aliweza kuonana kwa mara ya kwanza na Vanessa Mdee studio na hapo ndipo walipoanza kujenga taratibu mahusiano yao. Kupitia kipindi cha Mkasi Jux amesema kuwa yeye lengo lake kubwa lilikuwa ni kufanya […]

Read More..

Sijamvisha Mtu Pete- Harmonize

Post Image

Msanii kutoka katika label WCB Wasafi Harmonize ambaye kwa sasa anafanya poa na wimbo wake mpya wa ‘Bado’ amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake ya hajawahi kuvalishwa pete ya uchumba na wala yeye hajawahi kumvalisha mtu pete ya uchumba na kudai mpenzi wake mpya Jackline Wolper amemkuta akiwa hana mtu na ndiyo maana wakaweza kuanzisha […]

Read More..

Ommy Dimpoz Afunguka Kuhusu Uchawi Kwenye M...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amesema yeye haamini kama kuna ushirikina, hususani kwa wanamuziki wa bongo fleva. Ommy Dimpoz ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye stori 3 za Planet Bongo East Africa Radio, na kusema kuwa hawezi kumtuhumu mtu mshirikina kwani hajawahi kumuona mtu akifanya ushirikina. “Kwenye bongo fleva siwezi kusema kuna ushirikina, au hakuna, mi siamini mambo […]

Read More..

Gardner Agoma Kumuomba Radhi Lady JayDee

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Gardner G. Habash kupitia wakili wake, amemjibu aliyekuwa mkewe, Lady Jay Dee, aliyemtaka aombe radhi ndani ya siku saba kwa kauli aliyoitoa iliyodaiwa kuwa imelenga kumdhalilisha. Katika majibu yake amekana madai hayo. Siku chache zilizopita, Gardner alionekana katika kipande cha Video akisherehesha tukio la kumsaka mrimbwende wa chuo cha Tanzania Institute […]

Read More..

Fid Q Afunguka Haya Kuhusu Kuchanwa na Rad...

Post Image

Baada ya lile bifu la siku nyingi kati ya rapa kutoka mwanza Fareed kubanda a.k.a Fid Q na msanii mwenzake kutoka lebel ya Kiraka Rado,hatimaye Fid Q amekiri kuwa Rado ni msanii pekee aliyemdiss kwa mistari mikali kuliko wasanii wote waliowahi kumdis. Akizungumza na Enewz Fid Q alisema kuwa Rado ni rafiki aliyemfunza kitu katika […]

Read More..

Diamond Platnumz Atajwa Kuwania Tuzo za BET

Post Image

Mwananmuziki Diamond Platnumz ametajwa kwa mara ya pili kuwania tuzo za BET katika kipengele cha Best International Act: Africa, mwaka huu 2016. Wakali wengine wanaowania tuzo hiyo ni pamoja na Wizkid, Yemi, AKA na wengineo.Tuzo hizo zitatolewa mwishoni mwa mwezi Juni nchini Marekani.

Read More..

Pasha Amuumbua Snura, Afunguka Haya

Post Image

Baada ya msanii wa Bongo fleva Snura Mushi kufunguka kuwa hajawahi na hafikirii kutoka na msanii wa Bongo Fleva Pasha amuumbua. Akizungumza na Enewz Pasha alisema kuwa yeye alishawahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Snura ila kipindi hiko Snura alikuwa hajaanza kufahamika na yeye alikuwa akitamba na nyimbo ya ni soo. “Kusema hajawahi kutoka […]

Read More..

Sitaki Tena Kuitwa Binti Machozi – La...

Post Image

Queen wa bongo fleva Lady Jay Dee Baada ya kuamka tena na Ndi Ndi Ndi, ameendela kulikataa wazi jina lake alilokuwa akilitumia hapo awali la binti machozi. Akizungumza na Enewz Jay Dee alisema kuwa kwasasa hataki tena kusikia watu wakilitumia jina hilo kwake wala kwa bendi yake kwani bendi hiyo sasa inajina jipya la ”The […]

Read More..

Zari, Mama Diamond Watifuana Mbele ya Wazun...

Post Image

Inadaiwa ilitokea lakini haikuandikwa! Kuna habari kuwa, ile safari ya familia ya nyota wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kula bata kwenye nchi za Ulaya, ilikuwa na mambo mengi lakini kubwa ni madai ya kuwepo kwa mtifuano kati ya mama Diamond, Sanura Kasim na Zarinah Hassan ‘Zari’ ambaye ni mzazi mwenzake, Diamond. Kwa mujibu […]

Read More..

Ali Kiba Asaini Mkataba na Sony Music, Sout...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Ali kiba amesaini mkataba leo na kampuni ya Sony Music jijini Johannesburg,South Africa, moja ya vitu vilivyomo kwenye mkataba huu ni kampuni hii kubwa ya muziki duniani kusimamia pia video zake na audio kwa kuzilipia na kuzifikisha kwenye masoko makubwa ya muziki duniani. Ali Kiba ameungana na mastaa wengine duniani waliosign […]

Read More..

Feza na Lulu Wajitosa Kwenye Bifu la Vaness...

Post Image

Msanii wa filamu Elizabeth Michael ‘Lulu’ na Feza Kessy wamejitosa kwenye bifu la Shilole na Vanessa Mdee ambalo linaendelea katika mitandao ya kijamii. Chanzo cha bifu ya Shilole na Vanessa hakijatambulika, lakini wawili hao toka jana wamekuwa wakirushiana maneno makali na vitisho katika mitandao ya kijamii hali ambayo imewafanya baadhi ya wasanii kuingilia kati sakata […]

Read More..

Matonya Atua kwa Gigy

Post Image

Baada ya fununu kuzagaa kuwa kwa sasa Giggy Money ameiparamia ndoa ya Matonya na imekua ni mwendo wa kunyweshana supu tu, wawili hao wamefunguka juu ya ishu hiyo. Akizungumza na eNewz Matonya hakutaka kufunguka wazi kuwa ameshaonja supu ya Gigy,na huku Gigy akisema wazi kuwa mpaka sasa msanii huyo kashakunywa kabisa supu yake ingawa inafahamika […]

Read More..

Bifu la Shilole na Vanessa, Shilole Atangaz...

Post Image

Msanii Shilole ametangaza vita na msanii mwenzake Vanessa mdee, na kusema kuwa asiombe kukutana naye popote. Akiongea na East Africa TV baada ya kupigiwa smu kujibu tuhuma hizo, Shilole amesema amechukizwa na kitendo cha Vanessa kuandika mambo mabaya juu yake na kupost istagram, hivyo ajiandae kwa lolote. “Ukiona hivyo ujue kimenuka, kaniongelea shit mi sijapenda, […]

Read More..

Akili the Brain Afunguka Kinacho Mkosesha R...

Post Image

Msanii ambaye pia ni prodyuza Akili the Brain amesema anatamani apate mtu wa kufanya muziki anaoufanya wa Bongo Bangra, ili apate changamoto ya kuwa na mshindani. Akili ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, na kusema kuwa anajisikia vibaya pale anapoona hakuna msanii mwengine anayefanya muziki huo. “Kuna wakati nasikitika sana kwamba nakosa […]

Read More..

Milioni 50 za Kayumba Zimeisha, Kanunua Gar...

Post Image

Meneja wa kundi la Yamoto Band na diwani wa kata ya Kirungule amefunguka na kusema kuwa Kayumba Juma mshindi wa shindano la kusaka vipaji vya muziki la Bongo Star Search (BSS) amemaliza pesa yake milioni 50 na kusema katika vitu alivyofanyia pesa hiyo ni pamoja na kununua gari. Akizungumza kwenye eNEWS Said Fella amedai kuwa walimnunulia […]

Read More..

Aika: Nina Wivu Kabambe na Nahreel Acha Tu

Post Image

Memba wa Kundi la Navy Kenzo, Aika Mareale amefunguka kuwa ana wivu wa kupindukia kwa memba mwenzake ambaye ni mpenzi wake, Emmanuel Mkono ‘Nahreel’ wanaotamba na wimbo wao wa Kamatia Chini kwani kuna kipindi huwa anapata wakati mgumu hasa warembo wanapokatiza mbele ya jamaa huyo. Aika aliliambia Wikienda kuwa kila mwanadamu ana moyo na kuna watu wengine wanaweza kuwaona kuwa wapo tu wala hawaoneani wivu lakini ukweli ni kwamba ana wivu na mpenzi […]

Read More..

Hii ‘Aje’ ya Alikiba ni Kiboko- Mwana FA

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Mwanafalsafa A.K.A Mwana FA amefunguka na kuonyesha hisia zake kuikubali kazi mpya ya msanii Alikiba ambayo inafahamika kwa jina la ‘Aje’ Mwana FA kupitia account yake ya twitter aliandika ujumbe wenye kuonyesha kuwa kazi hiyo ya msanii huyo ni kiboko na kusema amesikiliza mara nyingi sana lakini hajaweza kugundua […]

Read More..