Baada ya Miaka Sita Lady Jaydee Akutana na ...
Msanii wa bongo fleva ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Ndi Ndi Ndi’ Lady Jaydee amekutana na msanii Ray C baada ya miaka sita. Baada ya kuonana Lady Jaydee alisema kila mtu anapitia magumu katika maisha kwa njia tofauti. “Kila mtu anapitia magumu katika maisha kwa njia tofauti hakuna jaribu lisilo na mlango […]
Read More..





