-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Alikiba Si Mtu Mzuri- Hakeem 5

Post Image

Msanii Hakeem 5 ambaye alitambulika katika muziki baada ya kufanya Collabo na msani Ali Kiba kwenye wimbo wa ‘Nakshi Mrembo’ amefunguka na kusema kuwa msanii Ali Kiba si mtu mzuri na wala hana muda nae kwa sasa. Akipiga stori kwenye kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio ambapo leo alipewa heshima ya Bongo fleva, […]

Read More..

Zari Adaiwa Kumpa Makavu Kajala

Post Image

Kufuatia madai kuwa msanii wa filamu Bongo, Kajala Masanja amekuwa na katabia ka’ kujiweka kimahaba kwa Nasibu Abdul ‘Diamond’ wakati Zarinah Hassan ‘Zari’ akiwa Sauzi, madai yametua mezani mwa gazeti hili kuwa, kimenuka kati ya Zari na Kajala. Chanzo chetu makini ambacho kimeomba jina lake lisitajwe gazetini kimedai kuwa, hivi karibuni baada ya Zari kupata […]

Read More..

Picha: Diamond Akiwa na Familia Yake Nchini...

Post Image

Hizi ni baadhi ya picha za staa wa bongo fleva, Diamond Platnumz akiwa pamoja na familia yake,mama yake, mtoto wake (Tiffah) pamoja na mzazi mwenzie (Zari) wakiwa nchini Sweden.   Diamond yupo barani ulaya kwa akifanya show kwenye nchi mbali mbali. #FromTandaleToTheWorldTour  

Read More..

Linah Sanga Afungukia Rushwa ya Ngono Kweny...

Post Image

Tetesi zimezidi kuvuma na zimekwenda mbali zaidi kwa kusema kuwa wasanii wa kike wale wakali bongo ili waweze kufanya video nzuri na waongozaji wakubwa zaidi pia wanatoa rushwa hiyo ya ngono. Kipindi cha Enews kinachorushwa na East Africa Television kilitaka kufahamu kama kuna ukweli wasanii hao wa kike huhonga ngono ili wafanyiwe kazi nzuri kwenye […]

Read More..

Hivi Ndivyo Diamond Alivyomsaidia Chid Benz

Post Image

Meneja wa wanamuziki wa bongo fleva Babu Tale ameweka wazi kitu ambacho watu wengi walikuwa hawakijui kuhusu Diamond na Chid Benz. Akiongea kwenye kipindi cha eNews kinachorushwa na East Africa Television, Babu Tale ameweka wazi kuwa Diamond Platnums ambaye anamsimamia, alishawahi kumsaidia Chidi Benzi kuacha madawa, kwa kwenda kumtoa damu na kumuwekea damu safi, lakini […]

Read More..

Profesa Jay Afunguka Kuhusu Chid Benz

Post Image

Mbunge wa Mikumi kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Joseph Haule ‘Profesa Jay’ (pichani) amesema hali ya Mbongo Fleva, Rashid Abdallah Makwiro (31) ‘Chid Benz’ ni matokeo ya matumizi yaliyobebea ya madawa ya kulevya ‘unga’, Amani lina mchirizi wake. Hivi karibuni, Chid Benz aliripotiwa na baadhi ya mitandao ya kijamii akionekana na […]

Read More..

Niliamua Kukaa Kimya kwa Malengo- Lady Jayd...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva nchini Judith Wambura a.k.a Lady Jay dee amesema yeye kukaa kimya kwa muda mrefu bila kutoa wimbo siyo kwamba alifulia bali aliamua kutotoa wimbo kwa malengo. Jaydee ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na EATV kuhusiana na yeye kukaa muda mrefu kabla ya juzi kuachia ngoma mpya aliyoipa jina la ‘Ndi Ndi Ndi’ […]

Read More..

Ningemtaja Anayeniuzia Madawa ya Kulevya â€...

Post Image

Msanii wa muziki wa kizazi Kipya Madee amesema wao kama wasanii wamekuwa wakijitahidi kufanya harakati za kupambana na madawa ya kulevya, lakini serikali imekuwa haiwaungi mkono kwa kiasi kikubwa na kuwapelekea kukwama Madee ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Television, na kusema kuwa wao kama wasanii pekee hawana uwezo wa kupambana moja kwa moja, […]

Read More..

Rapper Chidi Benz akisamehewa na akipata ms...

Post Image

Hakuna mtu aliyemkamilifu chini ya jua au Dunia hii tunayoishi. Chidi Benz naye ni binadamu, anamakosa yake kama mtu mwingine yeyote yule. Kwa wale aliowakosea basi hana budi kuwaomba msamaha wa dhati na najua wakijua kuna Mungu wataweza kumsamehe. Kitendo alichofanya Meneja wa wasanii wa muziki kutoka Tip Top connection ndugu Hamisi Tale Tale maarufu […]

Read More..

Wasanii Wengi Bongo Wanatumia Unga – ...

Post Image

Meneja wa wasanii wa muziki kutoka Tip Top connection Hamisi Tale Tale maarufu kwa Babu Tale, amesema kuwa wasanii wengi kwa sasa wanatumia madawa ya kulevya, na hii ni kutokana na kuiga mambo ya Marekani. Babu Tale ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye Planet Bongo inayorushwa na East Africa Radio, na kueleza kuwa alipokuwa akimpeleka rehab […]

Read More..

Lady Jaydee Afunguka Kuhusu Mahusiano Yake

Post Image

Msanii wa siku nyingi wa Bongo Fleva hapa nchini Judith Wambura a.k.a Lady Jaydee amewaomba watanzania wampende yeye kama yeye na si kumfuatilia kuhusu mahusiano yake kimapenzi. Jaydee ameyasema hayo katika kipindi cha E News kinachorushwa na kituo cha EATV kila siku ya Jumatatu hadi Ijumaa baada ya mtangazaji Sam Misago kumuuliza swali kwamba kuna […]

Read More..

Natamani kuwa na Mahusiano na Wizkid-Linah ...

Post Image

Msanii wa bongo fleva nchini Linah Sanga amefunguka na kusema kuwa alikuwa anatamani na bado anatamani sana kuwa na mahusiano ya kimapenzi na msanii Wizkid kutoka nchini Nigeria. Akipiga stori kwenye kipindi cha eNEWS kinachorushwa na ting’a namba moja kwa vijana (EATV) Linah Sanga alisema kuwa toka kipindi cha nyuma alikuwa anatamani kuwa na msanii […]

Read More..

Diamond Ateketeza Sh.Mil 100 Ulaya

Post Image

DAR ES SALAAM: Kufuru! Ndilo neno pekee linaloweza kuakisi takriban Sh. milioni 100 ambazo Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameziteketeza akiwa na msururu mrefu wa wanafamilia wa Wasafi Classic Baby (WCB) barani Ulaya, akianzia nchini Ujerumani kufanya shoo sambamba na kula bata, Wikienda linakupa habari kamili. Diamond aliyeambatana na wanafamilia kama 14 wakiwemo Zarinah Hassan ‘Zari […]

Read More..

Msanii Huwezi Kufanya Kazi Peke Yako- Lady ...

Post Image

Msanii mkongwe katika muziki wa bongo fleva , Lady jaydee maarufu kama Komando ambaye sasa anatamba na wimbo wake mpya wa ‘Ndi Ndi ndi’ amefunguna na kuweka wazi sababu zilizomfanya kuwa chini ya uongozi na kudai kama msanii huwezi kufanya kazi kazi peke yako. Lady Jaydee alipokuwa akizungumza kwenye kipindi cha Planet bongo alidai kuwa aliamua […]

Read More..

Nipo Kwenye Mahusiano Salama -Mwasiti

Post Image

Msanii wa bongo fleva hapa nchini Mwasiti Almasi amesema kwamba muonekano wake kwa sasa ni kutokana na kwamba yupo kwenye mahusiano ambayo ni salama. Mwasiti ametoa ya moyoni alipokuwa akizungumza na EATV kuhusiana na mwonekano wake kwa sasa kuonekana anavutia zaidi tofauti na siku za nyuma. ”Muonekano wangu kwa sasa nina mapenzi ambayo ni salama […]

Read More..

Khadija Kopa Adai Umri Unamtupa Mkono, Ajip...

Post Image

p>Malkia wa muziki wa taarab nchini, Khadija Kopa amesema kwa sasa anajipanga kuwekeza zaidi kwenye biashara kwa kuwa umri wa kuimba unamtupa mkono. Akizungumza katika kipindi cha Uhondo cha EFM Ijumaa iliyopita, Khadija amesema moja ya biashara kati ya zile ambazo anatarajia kuzifungua ni mgahawa. “Hivi sasa nampango wa kufungua mgahawa mkubwa, nataka nifungue na […]

Read More..

Afya ya Chid Benz Yawashtua Wengi

Post Image

Kuna picha siku ya jana zilikuwa zikisambaa kwenye mitandao ya kijamii zikimuonyesha Chid Benz akiwa amepungua mwili na kuonekana ni dhaifu, jambo ambalo limewahuzunisha mashabiki wengi na wadau mbali mbali, huku wengine wakisema kuwa Chid Benz anahitaji msaada kwani hali yake ni mbaya. Kwa upande wake msanii Afande Sele alipost picha hiyo ya Chid Benz […]

Read More..

Lady JayDee: Nililala, Nimeamka Tena!

Post Image

Unapozungumzia wakongwe wa Muziki wa Bongo Fleva kwa upande wa wanawake, jina la Judith Wambura ‘Lady Jaydee’ hutaacha kulitaja miongoni mwao. Kwa zaidi ya miaka 15, mkongwe huyu ameweza kukaa kwenye muziki pasipo kutete-reka huku kila baada ya kipindi akiibuka na nyimbo ambazo zinakuwa gumzo. Tangu mwaka 2000 hadi sasa ameshanyakua tuzo zaidi ya 25 […]

Read More..