-->

Category Archives: Other Celebs

singers

Husna, Mobeto Ndani ya Bifu Zito

Post Image

Husna Maulid.   DAR ES SALAAM: Bifu la chinichini linaendelea kuwatafuna warembo wawili ambao wote waliwahi kunyakua taji la urembo wa Miss Kinondoni kwa nyakati tofauti, Husna Maulid (pichani)na Hamisa Mobetto baada ya kudaiwa kumgombea bwana, ambaye ni raia wa DRC, aitwaye Mwami Rajabu. Chanzo chetu makini kilisema kuwa Husna ndio wa kwanza kuanza kumtuhumu […]

Read More..

Picha: Lady Jaydee Arudisha ‘Ubinti’ na...

Post Image

Lady Jaydee ameamua kuvua gamba na kurudi upya kama binti wa miaka 10 iliyopita na kurejesha ladha aliyoanza nayo na iliyompa umalkia, R&B. Lady Jaydee akisaini mkataba na Mkito ambako wimbo wake utapatikana. Kushoto ni mwakilishi wa kampuni hiyo, Aishi Muimbaji huyo mkongwe amefanya uzinduzi wa single yake mpya aliyoipa jina ‘Ndindindi’ Jumamosi hii pale […]

Read More..

Ray C Hatumii Madawa ya Kulevya- Rash Don

Post Image

Muandaaji wa muziki (Producer) Rash Don amesema msanii wa siku nyingi Rehema Chalamila RC anakuja na ngoma kali ambayo yeye ndo anaitengeneza kwa sasa. Don ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na EATV katika kipindi cha E News ambapo amesema kwamba msanii huyo ana nafasi kubwa ya kufanya vizuri kutokana na mabadiliko chanya ambayo yanaonekana kwa hivi […]

Read More..

Juma Nature Yupo Tayari Kumkabili Diamond P...

Post Image

Mwanamuziki mkongwe kwenye game la Bongo Fleva, Juma Nature, amesema yupo tayari kupambana na Diamond Platnumz kwenye game la muziki ‘live bila chenga’ kwenye uwanja wa mpira ili ajulikane nani anaweza zaidi. Ameyazungumza hayo alipokuwa kwenye show ya ‘Friday Night Live’ usiku wa kuamkia leo ambapo amefunguka kwa kusema kuwa Diamond ndiye anakalia game ya […]

Read More..

Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kus...

Post Image

Rapper Chidi Benz amedai kuwa anahitaji kusaidia kwakuwa hayuko sawa hata kidogo. Akiongea kwa uchungu kwenye kipindi cha Da Weekend Chat Show cha Clouds TV jana, Chidi ambaye mwili wake umepungua kwa kiasi kikubwa, amesema bado uwezo kimuziki anao lakini wale aliowaita wadau walioushikilia muziki wamemtupa. Amesema wakati wa kilele chake, alikuwa akifanya show kila […]

Read More..

Diamond Afungukia Mimba Nyingine ya Zari

Post Image

STAA wa Bongo Fleva asiyechuja kwa takriban miaka 7 mfululizo, Nasibu Abdul ‘Diamond’ ameeleza mikakati yake kuwa ana mpango wa kumpa mimba nyingine malkia wake wa nguvu, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’, Risasi Jumamosi linakuhabarisha. Diamond ambaye tayari amejaaliwa mtoto mmoja (Tiffah) na mrembo huyo raia wa Uganda, amefunguka jambo hilo hivi karibuni alipokuwa […]

Read More..

Watoto wa Mastaa wa Bongo Wanaotabiriwa Kuj...

Post Image

Kila mtoto anapozaliwa huanza kumuangalia mzazi wake kama ni role model wake, lakini baadaye wengi huanza kubadili mawazo yao. Mastaa wa Bongo wameanza kuwatengenezea mazingira watoto wao ya kutembelea nyota za wazazi wao ili watengeneze hela kuanzia sasa mpaka hapo baadaye. Hawa ni baadhi ya watoto wa mastaa wanaotabiriwa kuja kuwa mastaa baadaye, wengine wanaweza […]

Read More..

Jux Asema Hataki Maswali ya Vanessa na Jack

Post Image

Jux ameweka wazi hisia zake hizo baada ya kufanyiwa mahojiano na eNewz ambapo alisema kuwa yeye pia ni mwanamuziki kama ilivyo kwa Vanessa Mdee na kusema kuwa imejengeka kuwa kila interview anayoifanya ni lazima watu wamuulize kuhusu uhusiano wake na Vanessa na kwasasa imeibuka ya kumuuliza juu ya Jack Cliff. Jux alishawahi kuwa kwenye mahusiano […]

Read More..

Diamond Akanusha Kumpima Tiffah DNA

Post Image

Mkali wa muziki wa Bongo fleva hapa nchini, Nasib Abdul aka Diamond Platnumz, amekanusha tetesi zakwenda kumpima mtoto wake Latiffah ‘Tiffah’ vinasaba ‘DNA’ ili kupata uthibitisho wa kuwa ni mwanawe au sio mwanae. Diamond amezungumza hayo baada ya kufanyiwa mahojiano na eNewz kuhusiana na tetesi hizo ambapo alikanusha suala hilo, Diamond Anasema kumpima mtoto wako […]

Read More..

Mali za Jide Zazua Kizaazaa!

Post Image

Jambo limezua jambo! Siku chache baada ya kukabidhiwa talaka na aliyekuwa mumewe, Gardner G. Habash ‘Captain’, mali za mrembo wa nguvu, Judith Wambura Mbibo ‘Jide’ zinadaiwa kuzua kizaazaa baada ya kusemekana kutokea mvutano wa baadhi ya ndugu wa mwanamuziki huyo kutaka amgawie mtalaka wake  huyo, Amani lina ubuyu kamili. TUANZE NA TALAKA Baada ya Jide […]

Read More..

Baraka Afunguka Kuhusu Naj

Post Image

Siku chache baada ya Enewz kuzinyaka tetesi zinazomuhusisha msanii wa bongo fleva Baraka da Prince kuwa na mahusiano na wasanii wa kike tofauti tofauti, mapya yameibuka kuhusiana na sakata hilo. Hivi sasa E-News yapata fununu za Baraka kuhusishwa kimapenzi na msanii Naj. Hili limekuwa jipya kwa E-newz na kutaka kufahamu juu ya msanii huyo kuonekana […]

Read More..

Kanye West Aliomba Kupiga Picha Viatu Vyang...

Post Image

“Nilikutana na Kanye West Airport Los Angeles wakati nikisubiri mabegi yangu pale, kuna sehemu nilikuwa nimekaa namsubiri Mose Iyobo na Babu Tale sasa ghafla akaja mtu na kuniuliza naweza kupiga picha viatu vyako? nikamwambia haina tatizo sasa nilipomuangalia vizuri ndiyo nikagundua kuwa ni Kanye West, hapo sasa ndipo nikashtuka nikawa siamini amini hivi lakini jamaa […]

Read More..

Idris: Uhusiano Wangu na Wema ni ‘Privat...

Post Image

Hutoona tena Idris Sultan na Wema Sepetu wakionesha upendo hadharani kama zamani kwakuwa wameamua kuuweka ‘private’ kwa sasa. Mshindi huyo wa BBA 2014, ameiambia Bongo5 kuwa angependa zaidi kwa sasa kujikita kwenye kazi zake kuliko kuufanya uhusiano wao uwe mjadala mkubwa. “Sipendi uhusiano wangu uwe kitu kikubwa kuliko kazi yangu kwa sasa,” alisema. Hata hivyo […]

Read More..

Mama Diamond Atoa Siri ya Zari

Post Image

Mama mzazi wa staa wa Afro-Pop, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Sanura Kassim ‘Sandra’ ametoboa siri ya mkaza mwanaye, Zarinah Hassan ‘Zari The Boss Lady’ kushindwa kuishi Bongo na badala yake kukimbilia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Sandra au Mama D aliyasema hayo katika mahojiano maalum na Ijumaa Wikienda juu ya uhusiano wake na Zari kufuatia tetesi […]

Read More..

Kayumba Ataja Matumizi ya Milioni 50

Post Image

Baada ya mshindi wa Bongo Star Search, Kayumba Juma kushinda kiasi cha pesa za kitanzania Milioni 50 bado ameonekana kukaa kwenye kambi ya Mkubwa na Wanawe. Stori zinazo endelea mtaani juu ya mshindi wa Bongo Star Search Kayumba Juma ni kuwa toka ashinde shindano hilo na kukabidhiwa milioni 50, bado anaishi kwa kufadhiliwa katika kituo […]

Read More..

Msaga Sumu: Sikunufaika na Wimbo Wangu wa K...

Post Image

MSANII wa nyimbo za Uswahilini ‘Kigodoro’, Seleman Jabir ‘Msaga Sumu’, ameweka wazi kwamba licha ya kupata jina kubwa katika kampeni za urais na wabunge mwaka 2015, lakini hakunufaika na wimbo aliowatungia wagombea hao. Msaga Sumu aliweka wazi hayo jana alipotembelea ofisi za Kampuni ya New Habari (2006) Ltd inayochapisha magazeti ya Mtanzania, Rai, Bingwa, Dimba na The African zilizopo Sinza Kijiweni jijini Dar es Salaam. Msanii huyo […]

Read More..

Samatta Azidi Kutikisa Nyavu Ulaya

Post Image

Mshambuliaji wa Tanzania Mbwana Ally Samatta nyota yake imezidi kung’ara baada ya kuifungia klabu yake ya KRC Genk bao dhidi ya Club ya KV Oostende katika ligi kuu ya Belgium Pro League. Samatta alifunga goli hilo dakika ya 24 ambapo ni mara yake ya kwanza kuingizwa katika kikosi cha kwanza (first eleven) katika timu hiyo. […]

Read More..

Kayumba: Sikujua Kama Fella na Tale Watamsi...

Post Image

From zero to hero. Kwa sasa huo ndio msemo ambao Kayumba atakuwa anautaja kila siku.   Baada ya kuachia wimbo ‘Katoto’ na kuzidi kufanya vizuri kwenye media na video yake kuwa na ubora, mshindi wa BSS season 5, Kayumba Juma amesema hakujua kama Fella na Tale watakuwa wasimamizi wakuu wa mshindi wa BSS. Akiongea na […]

Read More..