Husna, Mobeto Ndani ya Bifu Zito
Husna Maulid. DAR ES SALAAM: Bifu la chinichini linaendelea kuwatafuna warembo wawili ambao wote waliwahi kunyakua taji la urembo wa Miss Kinondoni kwa nyakati tofauti, Husna Maulid (pichani)na Hamisa Mobetto baada ya kudaiwa kumgombea bwana, ambaye ni raia wa DRC, aitwaye Mwami Rajabu. Chanzo chetu makini kilisema kuwa Husna ndio wa kwanza kuanza kumtuhumu […]
Read More..





