-->

Amanda Awafungukia Mastaa Wabwia Unga

Post Image

AMANDA Poshi, staa wa sinema za Kibongo, amewabwatukia baadhi ya mastaa wanaojitangaza kuwa wanatumia madawa ya kulevya baada ya kuathirika kuwa ni wanafiki. Alisema angewaona wana hoja kama wangejitangaza kipindi walipoanza kuyatumia kuliko wakiona yanawashinda ndiyo wanakimbilia kwenye vyombo vya habari kuomba msaada. “Yaani kila siku wanaambiwa kuwa usipite hapa kuna hatari lakini wao wanakimbilia […]

Read More..

Abdu Kiba:Wasanii wa WCB Wanabebwa na Promo...

Post Image

Abdu Kiba amesema kuwa promotion ndiyo inawabeba wasanii wa lebo ya WCB. Muimbaji huyo amekiambia kipindi cha XXL cha Clouds FM, “Sijafikiria kuimba na msanii kutoka WCB, kwa sababu sijaona anayeimba type ya muziki wangu.” “Hata kama wana promote kwa sababu ndiyo walipoona wao ndiyo wanaweza wakafanya na watu wakaweza kuelewa lakini siku zote ajuae […]

Read More..

Ruby Amjia Juu Said Fella

Post Image

Baada ya Saidi Fella kumzulia jambo msanii Ruby ameibuka na kusema hakuwa na msongo wa mawazo wala nini ila haraka haraka zao ndizo zilisababisha asionekane kwenye video ya ngoma ya Bendi ya Yamoto. Baada ya mkubwa Fella kuzungumza na eNewz na kutufahamisha kuwa mwanadada Ruby ana msongo wa mawazo, kitu ambacho kilipelekea uongozi wa Bendi […]

Read More..

Diamond Ampa Heshima Alikiba

Post Image

Meneja wa Diamond, Babu Tale ameonyesha kuwa wao hawana tatizo na Alikiba baada ya kupost kipande cha video kinachoonyesha picha ya msanii huyo ndani ya studio ya Wasafi Records. Ni muda mrefu imezungumzwa kuwa Diamond na Alikiba wana bifu mpaka kupelekea kuanzishwa kwa baadhi ya team za mitandaoni za kukejeli mafanikio ya msanii wa team […]

Read More..

Jini Kabula Aswekwa Lupango

Post Image

 Kibano! Staa wa sinema za Kibongo, Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ amejikuta kwenye mikono ya sheria na kuswekwa lupango baada ya  kumtukana shosti yake, Miss Kinondoni 2009, Stella Mbuge. Kwa mujibu wa mtoa ubuyu wetu makini, Kabula alitaitiwa na polisi usiku wa Jumatano iliyopita mara baada ya kutendo kosa hilo walipokuwa katika Uwanja wa Taifa jijini […]

Read More..

Video: Mtoto wa Shilole Akionyesha Uwezo Mk...

Post Image

Mtoto wa msanii wa bongo movies na bongo fleva,  Shilole anaeitwa Rahma aonyesha uwezo mkubwa wa kuimba kitendo ambacho kimemshagaza hadi shilole mwenyewe. Mtoto huyo, Rahma alionesha uwezo huo kwenye kipindi cha leo tena cha cloudsfm hivi majuzi. “Sikuwahi kujua kama mwanangu anajua kuimba leo kanisuprise”-Shilole alemadika kwenye ukurasa wake mtandaoni.  

Read More..

Snura: Tuache Kugombea Mabwana Tufanye Kazi

Post Image

SNURA Mushi mwigizaji wa filamu na mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya amewaambia waigizaji wa kike wasiwe tegemezi kwa kufanya kazi zinazoandaliwa na watayarishaji wa kiume wakati nao wanaweza kuetengeneza filamu. Msanii huyo anatiririka kwa kusema kuwa badala ya kutumia muda mwingi kugombea mabwana wajipange kufanya kazi na kwa kiwango kikubwa kwani wanakubalika katika soko […]

Read More..

Kayumba Amuumbua Mkubwa Fela

Post Image

Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Afrika Radio, Kayumba amesema pesa bado ipo ingawa imeshapungua, tofauti na alivyosema Mkubwa Fela, na kwamba hata ujenzi wa nyumba bado unaendelea. “Hela ipo, ingawa sio tena milioni 50 , itakuwa uwongo nikisema bado ipo milioni 50, lakini zipo siwezi kusema imebakia ngapi, si unaona napendeza nini, nyumba ipo […]

Read More..

Siwezi Bila Seba- J Plus

Post Image

MTAYARAISHAJI wa filamu Jimmy Mponda ‘Master’ amefunguka kwa kusema kuwa filamu za kimapigano anafanya vizuri anapokutana katika mapigano na mwigizaji Seba Mwangulo ‘Inspekita Seba’ ndio sababu anarudi naye tena. “Sinema za action ni ngumu sana kucheza hasa ukikutana na msanii ambaye hajui sinema za mapigano, hivyo nimerudi na Ispekita Seba katika filamu The Foundation nimekubali […]

Read More..

Roma: Tutaendelea Kuichana Serikali Inapoko...

Post Image

Msanii Roma Mkatoliki amefunguka na kusema kuwa ataendelea kuichana Serikali pale ambapo inakosea na wataisifia pale inapotenda mambo mema kwa jamii na amesisitiza kuwa yeye anaamini kuwa mpaka sasa katika uongozi wa Rais Magufuli. kuna mambo mengi ya kuzungumza au ya kuimba kwani kuna matukio mengi yaliyotokea ambayo jamii inataka majibu yake. “Tutaendelea kuichana Serikali […]

Read More..

Stanbakora Afunguka Kuoa Mwarabu

Post Image

MKALI wa vichekesho nchini, Stanley Yusuph ‘Stanbakora’, ameweka wazi kwamba mwakani ndiyo ataoa tena mwanamke mwenye asili ya Kiasia. Alilifafanulia MTANZANIA kwamba chaguo lake kwa wanawake ni wenye asili hiyo hasa kutoka Uarabuni na awe mcha Mungu. “Sina mpango na wanawake wa Afrika, napenda mke na mama wa watoto wangu awe mwanamke Mwarabu na anayejua […]

Read More..

Kajala Aeleza Mzimu wa Kifo Unavyomtesa

Post Image

Msanii maarufu wa filamu Bongo, Kajala Masanja amefunguka kuwa, maisha yake ya sasa hayajatawaliwa na furaha kwani anaona kama vile siku zake za kuishi duniani zinakaribia kuisha. Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Kajala alisema kuwa amefikia hatua ya kusema hayo kwa kuwa, kila wakati moyo wake unamuenda mbio na wakati mwingine kukumbana na ndoto mbaya […]

Read More..

Wema Sepetu: Mimi ni Kama Dhahabu

Post Image

MREMBO wa filamu Tanzania, Wema  Sepetu, amesema yeye ni dhahabu inayogombewa na watu hivyo hajali hata kama atachafuliwa namna gani katika mitandao ya kijamii. Wema aliliambia MTANZANIA kwamba, hana mpango wa kujibu vibaya vinavyoongelewa kuhusu yeye kwa kuwa yeye bado ni dhahabu inayotamaniwa kushikwa na kila mtu. “Mimi ni kama dhahabu hivyo kila mtu anatamani […]

Read More..

Joh Makini: Sina Tatizo na Dully

Post Image

Baada ya tetesi na uvumi kuzagaa kuwa Dully Skys ana bonge la bifu na Joh Makini mpaka kupelekea kujitoa kwenye kolabo aliyoshirikiswa na TID kwenye wimbo wa Confidence, eNewz imekutana na Joh na kupiga naye stori. Kwanza aliulizwa anajisikiaje kufanya kazi na TID na suala la Dully kujitoa kwenye ngoma ya Confidence analichukuliaje hilo? Joj […]

Read More..

Shilole Kutafuta Mume Kijijini

Post Image

MKALI wa Muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohammed ‘Shilole’ amejutia kuwapenda wanaume wa mjini kuwa ni wavivu kila sekta hivyo anajipanga kwenda kijijini kwao Igunga,Tabora kutafuta mume. Akistorisha na Showbiz Xtra, Shilole alisema kuwa, hataki tena kujichosha akili kwa wanaume wa mjini kwa vile ni wavivu bora aende Igunga kumpata mwanaume atakayeweza kufanya kazi kutokana […]

Read More..

Wema Afungukia Ugomvi Wake na Aunt

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Wema Sepetu amefungukia ugomvi ambao hutokea mara kwa mara na shosti wake ambaye pia ni muigizaji, Aunt Ezekiel usiingiliwe na mtu kwani wanapogombana tofauti zao wanazimaliza wenyewe na si mtu mwingine yeyote. Akizungumza na Amani Wema alisema kuwa, yeye na Aunt ni watu waliopo karibu sana na wanaopendana hivyo inapotokea wanagombana […]

Read More..

Dawa za Kulevya Kwangu Itabaki Historia- Ch...

Post Image

Mkali katika muziki wa Bongo Fleva, Rashidi Makwiro ‘Chid Benz’, amesema matumizi ya dawa za kulevya yamempa mafunzo makubwa na itabaki kuwa historia kwake. Chid Benz aliliambia MTANZANIA kwamba dawa za kulevya zimeharibu maisha yake kwa kiasi kikubwa na yamemdhalilisha yeye na familia yake na watu wake wa karibu hivyo hatathubutu kurudia kama baadhi ya […]

Read More..

Alikiba Atambua Kiu ya Mashabiki Zake, Asem...

Post Image

Alikiba amesema anaamini mashabiki zake mpaka sasa watakuwa na kiu ya kusikiliza kazi mpya kutoka kwake hivyo hata waangusha kwani kwa sasa yeye atakuwa akitoka kazi juu ya kazi ili aende sawa na mashabiki zake. “Ukiwa kama shabiki yangu number moja click link kwenye Bio yangu kufikisha 2 Million Views. Kisha baada ya hapo wewe […]

Read More..