-->

Mama Diamond, Wolper Wafunika Kwenye Je Uta...

Post Image

Kuna msemo usemao “experience is the best teacher”, msemo huu umekamilika kupitia mama mzazi wa msanii Diamond Platnums , baada ya kuigiza kama mama ambaye ana maisha magumu kupitiliza,huku akiwa ameuvaa uhusika vilivyo kupitia video mpya ya msanii huyo ambaye ni mwanae wa kumzaa huitwao, je utanipenda. Mama diamond, ni kati ya watu wachache waliotumika […]

Read More..

Filamu ya Catherine ni Hatari Hapa Wolper, ...

Post Image

KAMPUNI ya PDM Movie ya jijini Dar es salaam inarajia kutoa bonge la filamu kali na ya kusisimua ijulikanayo kwa jina la Catherine akiongea na FC mkurugenzi wa kampuni hiyo Saprima amesema kuwa sinema hiyo ni nzuri sana na inatoa mafunzo kwa jamii kwani wasanii walioshiriki katika filamu hiyo wenye vipaji. “Catherine ni filamu nzuri […]

Read More..

Nora Adaiwa Kuwa Chizi Tena!

Post Image

NURU Nassoro ‘Nora’ ambaye ni mwigizaji wa kitambo Bongo,anadaiwa kuugua uchizi kwa mara nyingine tena, jambo ambalo amelipinga vikali na kwamba wabaya wake wameendelea kumtakia mabaya katika maisha yake, lakini yuko safi na anaendelea na maisha yake. Mwanzoni mwa wiki hii, mmoja wa rafiki zake wa karibu aliliambia gazeti hili kuwa, uzushi na uvumi huo […]

Read More..

Haya Ndiyo Maneno ya Diamond kwenda Kwa Dr....

Post Image

Staa wa Bongo Fleva anayetamba hivi sasa na kibao cha Je Utanipenda, Diamond Platinum amemtakia kheri na Baraka mtaalamu wa dawa za tiba mbadala kwa magonjwa ya kinamama, Dr J J Mwaka wa kituo cha Foreplan Herbal Clinic kutokana na mchango wake kwenye kusaidia mziki wa kibongo. Mbali na Dokta huyo kukabiliwa na changamoto kubwa […]

Read More..

Lulu Afunguka Juu ya Mahusiano ya Jux na Va...

Post Image

Staa mrembo wa Bongo Movies, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ameamua kusema yake ya moyoni kuhusiana na mahusiano ya mastaa wawili wa bongo fleva, Jux na Vanessa kwa kuandika maneno haya kwenye ukurasa wake kwenye mtandao wa instagram mara baada ya kuweka picha ya wawili hao. “You can’t Stop Loving Short Girls ???Ukiona nakudanganya Kamuulize Anko Will […]

Read More..

Tamthilia ya Mama Kubwa Mbioni Kukamilika

Post Image

TAMTHILIA mpya iliyopewa jina la Mama Kubwa inayoandaliwa na Kampuni ya 5 Effects Movies Ltd, ipo mbioni kukamilika baada ya kuandaliwa kwa muda mrefu na kuna uwezekano wa kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu. Akizungumza na MTANZANIA jana mmoja wa waandaaji hao ambaye pia ni mmiliki wa kampuni hiyo, William Mtitu, alisema anaamini kazi hiyo […]

Read More..

Picha: Kajala Akijiachia na Dada Yake Diamo...

Post Image

HUKU kukiwa na madai kwamba mwigizaji Kajala Masanja ana uhusiano wa ‘kikubwa’ na Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, mwigizaji huyo amezidi kuyachochea moto madai hayo kwa kutokana na kujiachia mara kwa mara na dada wa Diamond, Queen Darleen, Risasi Mchanganyiko linakujuza. Kwa mujibu wa chanzo makini, Kajala na Queen Darleen wamekuwa ‘beneti’ kila kona […]

Read More..

Tamko la Wasanii Wakongwe Kwa Rais Wa Shiri...

Post Image

  WASANII Wakongwe katika tasnia ya filamu Swahilihood leo tarehe 16Th December, 2015 katika ukumbi wa Idara ya Habari ya Maelezo wametoa tamko lao kuhusu kumtaka Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba kugombea nafasi hiyo ambayo alitangaza kutoshiriki kugombea nafasi hiyo kwa kipindi kijacho uchaguzi huo mwezi huu 2015. Baada ya salamu […]

Read More..

Waziri Mkuu, Majaliwa Aitisha Kikao na Bara...

Post Image

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Mawaziri na Naibu Mawaziri katika kikao cha kwanza cha kazi cha Baraza la Mawaziri alichokiitisha Ofisini kwake jijini Dar es salaam Desemba 15, 2015.

Read More..

Wolper asaidia wananchi wa Golani Kimara

  “Kuanzia mwaka juzi nimekua na desturi ya kushirikiana na watu siku yangu muhimu ya kuzaliwa Mwaka juzi nilipata nafasi ya kukaa na watoto yatima na mwaka jana kituo cha wazee Mwaka huu nimeamua kugusa maisha ya watu wengi zaidi Kwahivyo kwa kutafakari jinsi gani tatizo la maji ni kubwa, nimeamua kutumia kidogo nilichonacho kujenga […]

Read More..

Picha: Irene Uwoya Akiwa mtoto wake, Krish ...

Post Image

Kila Mtu Amesema Lake Kuhusu Picha Hizi, Ila Kama Wewe Umezipenda Usisite ku-LIKE na Ku-SHARE

Read More..

Nape Anastahili- Mike Sangu

Post Image

  MWIGIZAJI wa kiume katika tasnia ya filamu Michael Sangu ‘Mike’ amefunguka kwa kuwashangaa watu wanaoponda uteuzi wa waziri wa Habari, Utamaduni Wasanii na michezo Mh. Nape Nnauye kwa kusema kuwa hawamjui vizuri wanatakiwa wafahamu ni mtu makini na anastahili. Huwezi kuponda tu kwa sababu zako binafsi mimi ninamfahamu kiongozi Nape ni mtu makini na […]

Read More..

JB: Chungu cha Tatu ni Filamu Ghali Zaidi

Post Image

  MSANII wa filamu nchini, Jacob Stephen ‘JB’, amesema kuwa filamu yake mpya ya Chungu cha tatu aliyomshirikisha mwanadada Wema Sepetu imetumia gharama kubwa zaidi kuliko filamu zote zilizotengenezwa chini ya kampuni yake ya Jerusalem. Akizungumza na MTANZANIA juzi, JB alisema ametumia gharama kubwa katika kufanikisha kuitengeneza filamu hiyo. “Nikisema nitaje gharama iliyotumika na niliyowalipa […]

Read More..