Siwezi Bila Seba- J Plus
MTAYARAISHAJI wa filamu Jimmy Mponda ‘Master’ amefunguka kwa kusema kuwa filamu za kimapigano anafanya vizuri anapokutana katika mapigano na mwigizaji Seba Mwangulo ‘Inspekita Seba’ ndio sababu anarudi naye tena. “Sinema za action ni ngumu sana kucheza hasa ukikutana na msanii ambaye hajui sinema za mapigano, hivyo nimerudi na Ispekita Seba katika filamu The Foundation nimekubali […]
Read More..