Harmonize: ‘Bado’ ni Hisia za K...
Msanii Harmonize ameelezea jinsi ilivyokuwa kabla hajarekodi wimbo wa bado, na kusema kuwa hakuwahi kuwaza kichwani mwake kuwa wimbo huo ataimba na Diamond. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Harmonize amesema ingawa alijua kuwa kuna kazi watafanya wote lakini hakujua kuwa itakuwa ni lini na ni wimbo upi. “Before wakati naandika nilikuwa siwazi […]
Read More..