-->

Author Archives: editor

Harmonize: ‘Bado’ ni Hisia za K...

Post Image

Msanii Harmonize ameelezea jinsi ilivyokuwa kabla hajarekodi wimbo wa bado, na kusema kuwa hakuwahi kuwaza kichwani mwake kuwa wimbo huo ataimba na Diamond. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Harmonize amesema ingawa alijua kuwa kuna kazi watafanya wote lakini hakujua kuwa itakuwa ni lini na ni wimbo upi. “Before wakati naandika nilikuwa siwazi […]

Read More..

Fella, Tale Kumrudisha Upya Chid Benz

Post Image

MKURUGENZI wa kundi la Wanaume Family na Yamoto bendi, Saidi Fella maarufu Mkubwa Fella, amesema yeye na meneja wa msanii, Diamond Platnumz, Babu Tale, wameamua kumsaidia mkali wa rapu, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’, arudi katika sanaa yake na si kujiunga na kundi lolote. Fella alisema msanii huyo kwa sasa wamemwanzishia mazoezi maalumu ya kumwezesha kurudisha […]

Read More..

Shilole Acha Figisu – Nuh Mziwanda

Post Image

Baada ya video mpya ya Nuh Mziwanda ‘Jike Shupa’ kuachiwa na kuzua gumzo mitandaoni kutokana na namna msanii huyo alivyoweza kuelezea kisa na matukio yaliyokuwa yakimkuta alipokuwa akitoka kimapenzi na Shilole. Nuh Mziwanda amedai toka kutoka kwa video hiyo mpenzi wake huyo wa zamani amekuwa akimpiga vita na kuwakataza baadhi ya wasanii wasimpe support msanii […]

Read More..

Swala la Mimba Lamuweka Kitimoto Wastara

Post Image

Mashabiki katika mitandao ya kijamii wanamshinikiza staa wa filamu, Wastara Juma kuwapa ukweli kama ana mimba ya Mbunge wa Jimbo la Donge Zanzibar, Sadifa Khamis ambaye ameachana naye miezi kadhaa iliyopita. Muigizaji huyo ambaye ni mama wa watoto watutu, ameona asikae kimya kushuhu swala hilo na kuamua kuwajibu mashabiki hao akiwataka kutulia kama ana mimba […]

Read More..

Wolper Anusurika Kupigwa Risasi Kituo cha M...

Post Image

Chupuchupu! Mwanadada anayeng’ara kunako tasnia ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper, juzikati almanusra apigwe risasi kwenye kituo kimoja cha mafuta kilichopo Tegeta (jina linahifadhiwa) jijini Dar es Salaam, baada ya kuibuka kwa timbwili zito eneo hilo, Risasi Mchanganyiko linakupa mkasa mzima. Tukio hilo la aina yake, lilijiri mishale ya saa tano usiku wa Juni 12, […]

Read More..

Rubby na Dogo Aslay Wafunguka Kuhusu Mahusi...

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo Ruby ambaye ameshirikishwa kwenye wimbo mpya wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kusema yeye na Aslay si wapenzi kama ambavyo watu wanasema bali anadai hiyo ilikuwa ni njia kutangaza kazi yao mpya ambayo Rubby ameshiriki. Kupitia kipindi cha Planet Bongo cha East Africa Radio, Rubby alidai ilibidi watafute kiki […]

Read More..

Abdul Kiba Atolea Ufafanuzi Kuhusu Kujiunga...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Abdul Kiba  ametolea ufafanuzi kuhusu taarifa iliyosambaa mitandaoni kujiunga na WCB WASAFI ambayo inamilikiwa na Diamond Platnumz. Akiaongea na cloudsfm.com Abdul Kiba ambae ni mdogowake na msanii Abdul Kiba alieleza. ‘’Ni kweli nilizungumza hiyo lakini wengi wao waliitafsiri vibaya kauli yangu kwasababu ukizungumzia mtonyo nilimaanisha kwamba nina uwezo wa kufanya nao […]

Read More..

Beka Atoa Sababu ya Kurudia ‘Aje̵...

Post Image

Akiongea kwenye PlanetBongo ya East Africa Radio, mkali wa R&B, Beka amesema suala hilo ni jambo ambalo haliwezekani kwani yeye tayari yupo kwenye uongozi, ambao unamsimamia kazi zake. “Suala la kuwa tayari kusainishwa na Alikiba haiwezekani kwa sababu mi nipo kwenye management ambayo nina mkataba nayo, management ambayo imeninulia vifaa vya bendi, na sasa hivi […]

Read More..

Rammy Apata ‘Shavu’ Hili Ghana

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Rammy Galis ‘Pacha wa Kanumba’ amezidi kula mashavu katika Tasnia ya Filamu Ghana na hivi karibuni anatarajiwa kudandia pipa kuelekea nchini humo kwa ajili ya kugonga filamu nyingine na dairekta maarufu nchini humo anayejulikana Afrika nzima. Akichonga na gazeti hili Rammy Galis alisema filamu alizofanya na wasanii kutoka Ghana na Nigeria […]

Read More..

Steve Nyerere Awapongeza Harmonize na Iyobo...

Post Image

Kiongozi wa zamani wa Bongo Movie Unit,  Steve Nyerere amempongeza msanii wa muziki, Harmonize pamoja na dancer wa Diamond, Mosei Iyobo kwa kuwapa utulivu wasanii wenzake wa filamu Aunt Ezekiel na Jacqueline wolper. Muigizaji huyo ambaye alikuwa MC katika iftar ya GSM iliyofanyika Kigamboni weekend hii na kuhudhuriwa na mastaa mbalimbali, alisema anawashukuru wasanii hao […]

Read More..

Quick Rocka: Siteseki na Penzi la Kajala

Post Image

MSANII anayekimbiza katika Tasnia ya Muziki wa Bongo Fleva, Quick Rocka amedai kuwa penzi la muuza sura kwenye Filamu za Kibongo, Kajala Masanja halimtesi maana ni la kishkaji na kila mmoja kati yao ana uhuru wa kufanya mambo yake binafsi kutokana na matakwa yake bila kumbana mwenziye. Akipiga stori na safu hii ya burudani Quick […]

Read More..

Linah Akanusha Kutoka Kimapenzi na Billnas

Post Image

Msanii wa bongo fleva Linah Sanga ambaye siku za karibuni amekiri wazi kuwa mapenzi yamemuathiri katika kazi yake ya sanaa na kufanya watu kufuatilia zaidi maisha yake ya mahusiano kuliko kazi zake amefunguka na kuweka sawa kuwa hatoki kimapenzi na msanii Billnas. Kupitia kipindi cha eNEWS tulitaka kufahamu ukaribu uliopo kati ya Linah Sanga na Billnas […]

Read More..

Nisha Amjibu Wolper

Post Image

Staa wa sinema za vichekesho Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameibuka na kumjibu mwigizaji mwenzake, Jacqueline Wolper Massawe kuwa hajawahi kutaka ‘kiki’ za kijinga wala ugomvi na anachoangalia yeye ni biashara na maisha yanaenda. Nisha aliliambia Wikienda kuwa ameshangazwa na habari zinazozagaa mitandaoni baada ya yeye kuweka picha za wasanii wanne kisha msanii mwenzake, Wolper kuanza […]

Read More..

Muhogo Mchungu Alia na Mitandao

Post Image

Msanii mkongwe wa maigizo nchini Muhogo Mchungu amelalamikia watumiaji wa mitandao ya kijamii hasa vijana kwa mwezi huu mtukufu wa Ramadhani. Muhogo Mchungu ameyasema hayo katika mahojiano na Enews na amewataka wazazi wajiunge na mitandao hiyo ya kijamii ili waweze kudhibiti matumizi mabaya ya mitandao hiyo kwa kufuatilia matumizi ya watoto wao. Muhogo alisema kuwa […]

Read More..

Nedy Music na Tabia za Ommy Dimpozi

Post Image

SAID Seif ni mmoja wa wasanii wanaokuja vizuri katika muziki wa kizazi kipya ambaye jina lake maarufu ni Nedy Music. Huyu ni msanii anayewakilisha kundi la Pose kwa Pose (PKP) linalomilikiwa na mkali wa mapozi, Omary Nyembo ‘Ommy Dimpoz’. Wimbo wa ‘Usiende Mbali’ alioshirikiana na bosi wake, Ommy Dimpoz, ndio unaomtambulisha vema katika muziki wa […]

Read More..

Jb Awashukia Wasanii Wenzake Kuhusu Hili!

Post Image

JACOB Stephen ‘JB’ msanii mahiri katika tasnia ya filamu Bongo amewashukia wasanii wenzake kwa kusema kuwa wengi hawapo makini na tasnia jambo ambalo linawafanya kupoteza mapato mengi kutokana na tasnia hiyo bila sababu. Ukweli ni kwamba wasanii wengi hawapo serious na kazi kitu kinachofanya tukose pesa kwenye filamu, na ukitaka kutambua hilo angalia page zao […]

Read More..

Malaika Akiri Kutengana na Mpenzi Wake

Post Image

BAADA ya kufanya siri kwa muda mrefu, staa wa Ngoma ya Raruararua, Diana Exavery ‘Malaika’ amekiri kwa mara ya kwanza kuwa hayupo tena na mpenzi wake, Eddy ndiyo sababu hata ya kufikia hatua ya kuondoka walipokuwa wakiishi pamoja Kunduchi jijini Dar. Akizungumza katika mahojiano mafupi na Over Ze Weekend, Malaika ambaye awali alikuwa akisimamiwa na […]

Read More..

Video ya ‘Jike Shuka’ Yamtoa Povu Shilo...

Post Image

Ikiwa ni siku chache toka Ex wa Shilole, Nuh Mziwanda aachie video ya wimbo ‘Jike Shupa’ ambayo inaelezea jinsi alivyoishi na mpenzi wake huyo, Shilole ameonyesha kukasirishwa na kazi hiyo. Nuh amethibitisha kwamba Shilole ndiye aliyemuimbia kwenye wimbo huo, kwa kumtumia video queen anayefanana na Shilole kama pacha katika video ya wimbo huo. Sholole baada […]

Read More..