Wastara Atengwa Bongo Muvi
DAR ES SALAAM: Baada ya staa wa sinema za Kibongo, Wastara Juma kufunga ndoa na mheshimiwa Sadifa Juma, anadaiwa kutengwa na wasanii wenzake wa Bongo Muvi hasa wale waliokuwa karibu naye katika zoezi la kumchangishia fedha za matibabu aliyokuwa akitarajia kwenda kuyafanyiwa nchini India. Sosi wa ndani ya Bongo Muvi alilinyetishia Ijumaa kwamba, baadhi ya […]
Read More..





