-->

Monthly Archives: April 2016

Soba Wazungumzia ‘Ubwiaji’ wa Chid Benz

Post Image

Ni wiki kadhaa tangu mkali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ apelekwe kwenye Kituo cha Life & Hope Rehabilitation Organization (Soba House) kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani kwa ajili ya kupata huduma ya kuachana na utumiaji wa dawa za kulevya. Chid Benz alipelekwa kwenye kituo hicho chini ya uangalizi wa Promota, Babu […]

Read More..

Gardner Ashindwa Kitendawili cha ‘NDI...

Post Image

Ilikuwa ni mwendo wa majibu ya mkato na mafumbo kutoka kwa Gadner tulipotaka atupe mtazamo wake juu ya hit song “NDI NDI NDI” ya Jay Dee. Camera ya ENewz ilikutana na aliyekuwa mume na pia meneja wa mwanadada Lady Jay Dee, Gadner G Habash na kutaka kupata mtazamo wake juu ya wimbo mpya wa Lady […]

Read More..

Juma Nature Aniache Nitingishe – KR Mullah

Post Image

Msanii KR Mullah amefunguka baada ya msanii mwenzake wa kundi la Wanaume Halisi Juma Nature, kusema kitendo cha KR kujiunga na Radar Entertainment, huenda kitamuharibu asipokuwa makini. Akiongea na East Africa Radio kwenye kipindi cha Planet Bongo, KR Mullah amemtaka Juma Nature amuache kwa sasa afanye kazi, kwani kwa sasa anataka kubadilisha ladha ya muziki […]

Read More..

AMINI Atoboa Kile Kinacho Sababisha Wasanii...

Post Image

ALIYEWAHI kuwa mchumba wa msanii wa muziki wa Bongo Fleva, Linah Sanga, Amini Mwinyimkuu ‘Amini’ amesema makundi mabaya wanayokuwa nayo baadhi ya wasanii ndiyo yanayowaingiza katika matumizi ya dawa za kulevya Msanii huyo anayetamba na wimbo wa ‘Hawajui’ alisema wasanii wengi hawajitambui kutokana na makundi waliyonayo, ndiyo maana hushindwa kusimamia hata kazi zao za muziki […]

Read More..

Steve Nyerere Kutoa Movie Moja tu Mwaka Huu

Post Image

Mchekeshaji na staa wa Bongo Movies, Steve Nyerere ameibuka na kusema mwaka huu atatoa filamu moja tu. Steve Nyerere amesema anawashangaa wasanii wanaotoa movie nyingi lakini hazina ubora. Amesema “Kuna watu wanatoa movie mpaka tatu kwa mwaka lakini zote ni mbovu”. Steve ameahidi kuwa movie hiyo atakayoitoa itakuwa ni kali sana. Steve aliongea hayo na […]

Read More..

MUSA Banzi: Waansishi na Waongozaji wa Fila...

Post Image

Musa Banzi anaumizwa na kitendo cha wasanii kupewa credit badala ya credit hizo kupewa waandishi wa filamu na waongozaji.   Banzi amewahi kuandika filamu zilizowahi kufanya vizuri kama vile ‘Shumileta’, ‘Odama’ na nyingine nyingi. Akizungumza kwenye kipindi cha E-News, kinachoruka kupitia EATV, Banzi alisema, ‘Siku hizi wasanii ndiyo wanaopewa credit kwenye movie badala ya madirector […]

Read More..

Dudubaya; Hili la Chid Benz Unakosea Sana B...

Post Image

GODFREY Tumaini ndilo jina lake la kuzaliwa, lakini Bongo Fleva inamtambua zaidi kama Dudubaya, ingawa mwenyewe alijitahidi kwa kila hali kujiita Duduzuri bila mafanikio. Dudubaya ni mmoja kati ya ma-legend wa muziki huu wa Kizazi Kipya. Ingawa naye aliwakuta watu ambao tayari walikuwa wameshaweka majina yao katika muziki huu, lakini bado yupo katika orodha ya […]

Read More..

Ndanda Kosovo Afariki Dunia

Post Image

Msanii wa muziki wa dansi Ndanda Kosovo amefariki dunia asubuhi ya leo katika hosptali ya taifa ya Muhimbili alipokuwa akipatiwa matibabu. Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mwanamuziki mwenzake Kardinal Gento, Ndanda alikuwa akisumbuliwa na matatizo ya vidonda vya tumbo, maradhi yaliyopelekea kulazwa katika hospitali ya Mwananyamala Dar es salaam. Kardinali ambaye pia ni mjomba […]

Read More..

Shamsa Amsweka Lupango Mzazi Mwenziye

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Shamsa Ford juzikati amemsweka lupango mzazi mwenziye Dick Matoke, katika Kituo cha Polisi cha Oysterbay kwa kile kinachodaiwa kuwa mzazi mwenzake huyo kuwa na tabia ya kumtukana mara kwa mara akishirikiana na mpenzi wake wa sasa ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja. Kwa mujibu wa chanzo makini, Dick na mwanamke […]

Read More..

Najuta Kuachana na Mke Wangu wa kwanza – ...

Post Image

Mtangazaji wa Clouds FM, Gardiner G Habash amesema miongoni mwa vitu anavyojutia katika maisha yake ni kuachana na mke wa kwanza aliyezaa naye mtoto wa kike, Karen, ambaye kwa sasa yupo mwaka wa pili chuoni.   Akiongea kwenye kipindi cha Take One cha Clouds TV, Gardiner alisema kutokana na kubadilisha kazi ya awali na kuwa […]

Read More..

Kipini Puani kwa Diamond Chazua Gumzo Mtand...

Post Image

MFALME wa Bongo Fleva nchini anayekimbiza na ngoma yake ya Make Me Sing, Diamond Platnumz amejikuta kwenye wakati mgumu huku akishambuliwa kwa maneno kwenye mtandao wa Instagram baada ya jana Jumatano kuweka picha iliyomwonesha akiwa amevaa hereni. Picha hiyo ilizua sintofahamu kwa mashabiki zake huku wengi wao wakihoji imekuwaje na nini kimemsibu staa huyo kutoboa […]

Read More..

Wanawake Hatupendani Kabisa -Khadija Kopa

Post Image

Msanii maarufu wa taarabu nchini Khadija Kopa amewaasa wanawake nchini kupendana na kusaidiana ili kuweza kupiga hatua za kimaendeleo. Kopa ameyasema hayo aliposhiriki katika kipindi cha wanawake live kinachorushwa na EATV ili kuwajengea wanawake ujasiri wa kutafuta na kuepuka utegemezi hapa nchini. ”Wanawake hatupendani mimi ni mwana siasa nikiwa kwenye kura hatua za kupigiwa kura […]

Read More..

Alikiba Kugeukia Soka..! Je, Vipi Kuhusu Mu...

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka kuhusu suala la yeye kuingia kwenye soka na kulisakata kabumbu, na kusema kuwa suala kama hilo linawezekana kwake.   Alikiba ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa radio, na kusema kuwa hivi karibuni kuna timu ya mpira imemfuata kumtaka kujiunga na timu hiyo, lakini atakuwa na […]

Read More..

Shamsa Ford: Mungu Niepushe Nisiingie Kweny...

Post Image

Msanii wa filamu nchini, Shamsa Ford hivi karibuni alifunguka kupitia mtandao wa Instagram kuwa mahusiano na mastaa wa Bongo hayadumu kwa miezi mitatu na amemuomba Mungu amuepushe mbali nayo.   Akiweka picha ya Beyonce na Jay Z, Shamsa alidai ni uhusiano wao tu ndiyo anaouelewa miongoni mwa mastaa. Aliandika: Haya ndio mahusiano ninayoyakubali dunia nzima.unaweza […]

Read More..

Cloud afunga ndoa tena Ulaya kwa siri

Post Image

NYOTA wa sinema za Bongo, Issa Mussa ‘Cloud’ amefunga ndoa  tena, lakini safari hii ni kwa siri huko nchini Sweden na mwanamke aliyetajwa kwa jina moja la Mina ambaye amekuwa akimposti kila kukicha mitandaoni kwa kumuita pacha. Chanzo kilicho karibu na staa huyo kililiambia gazeti hili kuwa, Cloud amemfanyia mbaya mkewe, Cynthia kwa kuamua kuoa […]

Read More..

Zijue Hapa Baadhi ya Kazi Alizofanya za Mar...

Post Image

Aliyekuwa mwigizaji wa filamu za Kibongo,marehemu Steven Kanumba leo ametimiza miaka minne tangu alipofariki dunia April 7 mwaka 2012. Historia ya Hayati Steven Kanumba. Amezaliwa: Januari 8 1984 Shinyanga,Tanzania Amekufa: Aprili 7, 2012 Dar es Salaam,Tanzania Kazi yakeMuigizaji,Mtunzi,Mtayarishaji,Muongozaji Steven Charles Kanumba(8 Januari1984,Shinyanga-7 Aprili2012) alikuwa msanii wa maigizo na filamu kutoka nchiniTanzania. Katika historia ya tasnia […]

Read More..

Picha: Mastaa Wajitokeza Kumuenzi Steven Ka...

Post Image

NA DENIS MTIMA/GPL

Read More..

Kanumba Kafa na Sanaa Imekufa – Steve...

Post Image

Muigizaji wa Filamu Steve Nyerere amefunguka ya moyoni kuhusu kifo cha marehemu Steven Kanumba na kufa kwa tasnia ya filamu nchini, ambayo wasanii wengi wamekuwa wakipinga kauli hiyo. Katika ukurasa wake wa instagram Steve Nyerere amepost picha ya marehemu Steven Kanumba akikumbuka kifo chake na kuandika ujumbe akisema kuwa muigizaji huyo nguli, ameondoka na sanaa […]

Read More..