Soba Wazungumzia ‘Ubwiaji’ wa Chid Benz
Ni wiki kadhaa tangu mkali wa Muziki wa Hip Hop Bongo, Rashid Makwiro ‘Chid Benz’ apelekwe kwenye Kituo cha Life & Hope Rehabilitation Organization (Soba House) kilichopo Bagamoyo mkoani Pwani kwa ajili ya kupata huduma ya kuachana na utumiaji wa dawa za kulevya. Chid Benz alipelekwa kwenye kituo hicho chini ya uangalizi wa Promota, Babu […]
Read More..





