-->

Daily Archives: July 6, 2016

Bifu la ‘Jike Shupa’ na Shilole Mtandao...

Post Image

Hivi karibuni kumekuwa na mabishano kwenye mitandao ya kijamii kati ya video queen wa ngoma ya Nuh Mziwanda na aliyekuwa na mpenzi wake Shilole, Nuh Mziwanda amepiga stori na Clouds FM. ‘’Wale ni wanawake kwahiyo zile ni tofauti zao kwahiyo siwezi kuingilia na siwezi kuongea chochote yule demu mie nilimlipa pesa yake ya video akafanya […]

Read More..

Davina: Atamani Ramadhani Iendelee

Post Image

STAA wa filamu za Kibongo, Halima Yahya ‘Davina’ amedai kuwa anatamani Mwezi Mtukufu wa Ramadhani uendelee kwani umepunguza misengenyo baina yao tofauti na wakati mwingine katika mwaka. Akipiga stori na Risasi Vibes, Davina alisema anatamani Mwezi Mtukufu ungeendelea kwa sababu umekuwa wa amani na utulivu, pia watu wamekuwa wakitenda mema, kujisitiri kwa mavazi ya heshima […]

Read More..