JPM Atema Cheche Waliofungwa kwa Dawa za Ku...
Serikali imesema kamwe haitawatetea Watanzania wanaotumikia vifungo katika magereza mbalimbali nje ya nchi kutokana na kujihusisha na dawa za kulevya. Pia imesema itakachokifanya ni kuzishauri serikali za nchi husika kutekeleza hukumu dhidi ya Watanzania hao kwa mujibu wa sheria na taratibu za nchi husika. Msimamo huo wa serikali umetolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano […]
Read More..





