Lulu Diva: ‘Milele’ Ilinipa Wakati Mgum...
MSANII wa muziki wa kizazi kipya, Lulu Abasi ‘Lulu Diva’, amesema wimbo wake unaoitwa ‘Milele’, ndio uliompa wakati mgumu tangu alipoanza kujihusisha na tasnia ya uimbaji. Akizungumza hivi karibuni na MTANZANIA, Lulu Diva, alisema ugumu ulianza wakati wa kuandaa wimbo huo, hadi kukamilisha. Alisema licha ya kuwa wimbo huo ulimtambulisha vema katika tasnia ya muziki […]
Read More..





