VideoMPYA:Kwa mara nyingine tena Lava Lava ...
Msanii Lava Lava kutoka record label ya WCB amezidi kuonyesha kipaji chake kwa kutoa nyimbo mpya kila kukicha na right now anakualika kuitazama hii mpya nyingine “Utatulia”
Read More..Msanii Lava Lava kutoka record label ya WCB amezidi kuonyesha kipaji chake kwa kutoa nyimbo mpya kila kukicha na right now anakualika kuitazama hii mpya nyingine “Utatulia”
Read More..Angel Nyigu ni Dancer wa msanii Queen Darleen ambaye yupo kwenye Record Label ya WCB ana umri wa miaka 19 ameelezea jinsi alivyopata nafasi ya kuingia WCB na jinsi alivyoanza kuwa Dancer na matamasha makubwa aliyowahi kupanda stejini na kuonesha uwezo wake.
Read More..Baada ya tetesi kuzidi kuenea katika mitandao ya kijamii na watu kuzidi kusema kuwa inawezekena Tunda ana mahusiano ya kimapenzi na Diamond Platnumz kutokana tu na ukaribu walionao wawili hao. Zari the boss lady ambaye ni mzazi mwenzake Diamond Platnumz ameonekana kupata taarifa hizo kuhusiana na tetesi zinazoendelea katika mitandao ya kijamii na kuamua kuandika […]
Read More..MSANII wa filamu Bongo, Husna Iddi ‘Sajent’ ambaye alikuwa kwenye mapenzi motomoto na msanii wa singeli Dulla Makabila, uhusiano wao unadaiwa kuvunjika kutokana na kutofautiana kwenye baadhi ya mambo. Kwa mujibu wa chanzo chetu, wawili hao sasa si wapenzi wameshatemana ila wamekuwa wakifanya siri jambo hilo, kukwepa aibu kwa jinsi walivyokuwa wameshibana, ambapo Sajent alipotafutwa […]
Read More..soka wa kimataifa wa Brazil Ronaldinho Gaucho leo ametangaza rasmi kustaa kucheza soka la ushindani baada ya kudumu katika soka la ushindani kwa zaidi ya miaka 15, Ronaldinho amefikia maamuzi hayo baada ya kucheza soka kwa muda mrefu na sasa anaamini inatosha. Ronaldinho hadi anatangaza kustaafu kucheza soka akiwa na umri wa miaka 37, amecheza […]
Read More..