-->

Author Archives: editor

Muhogo Mchungu: Jamani Mimi Sijafa wala Siu...

Post Image

Muigizaji mkongwe kwenye tasnia ya filamu nchini Abdallah Makumbila alimaarufu kama Muhogo Mchungu amekanusha taarifa zilizosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kuwa amefariki na kusema kuwa yeye saizi hasumbuliwi hata na mafua. Muhogo Mchungu alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Supamix cha East Africa Radio amesema kuwa kwa sasa anafanya utaratibu wa kwenda kumshtaki mtu ambaye amesambaza […]

Read More..

Nuh Mziwanda Afunguka Kuwakacha Kina Petit ...

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye hivi karibuni kulikuwa na tetesi za kuzinguana na uongozi wake akiwemo Petit Man ambaye anamsimamia, amesema ameamua kuachana kabisa na uongozi huo kwa mapenzi yake mwenyewe. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Nuh Mziwanda amesema ameamua kufanya hivyo kwani hana muda wa kupoteza tena, kwani meneja huyo anaonekana hana […]

Read More..

Wastara Apata Ubalozi wa Simu za KZG, Atali...

Post Image

Staa wa filamu Bongo, Wastara Juma amepata shavu la kuwa balozi wa Kampuni ya simu ya mkononi ya KZG ambapo leo amekabidhiwa na kusainishwa mkataba rasmi. Akizungumza katika tukio la kusaini makubaliano ya kuwa balozi wa kampuni hiyo  lililofanyika katika ukumbi wa De Mag Hotel iliyopo Mwananyamala, Dar,  Wastara alisema amefurahi sana kupata shavu hilo […]

Read More..

Steve Nyerere Atoboa Siri ya Bongo Fleva Ku...

Post Image

Jumapili hii timu ya mpira wa miguu ya wasanii wa Bongo Fleva ilitoana jasho na timu ya wasanii wa Bongo movie, lengo ikiwa ni kukusanya pesa za kuchangia waathirika wa maafa ya tetemeko la ardhi mkoani Kagera.   Katika mchezo huo, Bongo Fleva waliibuka washindi, wakiendeleza kipigo kwa Bongo Movie kwa mwaka wa 5 sasa […]

Read More..

Deni La Bil. 7 Lamziba Mdomo Madam Rita

Post Image

DAR ES SALAAM: Habari zilizozagaa wiki iliyopita kuhusu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuidai shilingi bilioni 7 Kampuni ya Benchmark Production inayomilikiwa na mjasiriamali, Ritha Paulsen ‘Madam Rita’, zimesababisha mwanamama huyo kuziba mdomo wake kwa kukataa kuzungumzia sakata hilo.   Gazeti hili lilimtafuta mdau huyo mkubwa wa burudani ambaye pia huendesha shindano la kila mwaka […]

Read More..

Barafu Aiponda Biashara ya Bongo Movie

Post Image

Msanii wa Bongo Movie Barafu amesema biashara ya movie ni kama biashara kichaa kwa kuwa inamlazimu msanii kufanya kazi na kuipeleka kwa “Mhindi” ambaye hadi auze kwanza arudishe pesa ndipo amlipe msanii. Akiongea na eNewz Barafu amesema “biashara ya move ni tofauti na mtu anayeuza pipi au duka kwa kuwa unatengeneza movie kwa mamilioni lakini […]

Read More..

Kalapina Afunguka Kuhusu Chid Benz Kurudia ...

Post Image

Msanii Kalapina ambaye pia ni mwanaharakati wa kupambana na madawa ya kulevya na akiwa mmoja wa watu waliomsaidia Chid Benz baada ya kuathiriwa na madawa ya kulevya, amefunguka kuhusu hali ya sasa ya msanii huyo.   Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Kalapina amesema Chid Benz alikuwa hajapata matibabu sahihi alipotoka ‘sober house’, […]

Read More..

Erycah: Wema, Uwoya Kaeni Chonjo

Post Image

VIDEO Queen ‘hot’ Bongo ambaye ameonekana kwenye video za wasanii mbalimbali wa muziki, Ericka Daniel ‘Erycah’ amefunguka kuwa, mastaa kama vile Wema Sepetu, Irene Uwoya, Elizabeth Michael ‘Lulu’ na wengineo wakae chonjo kwani amedhamiria kufunika ustaa wao. Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Erycah ambaye hivi karibuni aliing’arisha Video ya Kwa Hela ya Mwanamuziki Linex alisema, […]

Read More..

Timbulo Awatolea Povu Wasanii Hawa wa Kike

Post Image

Msanii wa muziki wa bongo fleva Timbulo amefunguka na kusema kuwa asilimia kubwa ya wanawake wamezoea kupata kidogo katika maisha yao ya kila siku ndiyo maana inapotokea wamepata kikubwa wanawehuka na kuvurugika. Timbulo alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz ya EATV na kusema kuwa kuna baadhi ya wanawake wakipata fedha au mafanikio katika maisha yao […]

Read More..

Ali Kiba Achaguliwa Kuwania Tuzo za Mtv Ema

Post Image

Msanii wa Kimataifa kutokea Tanzania, Alikiba maarufu kama Kingkiba, Leo ametajwa kwenye nominations za tuzo kubwa dunia za Mtv Europe Music awards (MTVEMA) katika category ya BEST AFRICAN ACT, Alikiba ni msanii pekee kutokea East Africa huku akiungana na miamba mingine ya mziki kutoka Nigeria na south Africa kama ifuatavyo Best African Act Alikiba – […]

Read More..

Vanessa Atokwa Povu Kuambiwa Anajichubua

Post Image

Ubuyu unaotrendi Bongo unamgusa staa wa Bongo Fleva anayekamata anga za kimataifa, Vanessa Mdee ‘V-Money’ ambaye wikiendi iliyopita alitawala mitandao ya kijamii kwa picha yake iliyomuonesha akiwa amevaa kibukta na kuachia maungo yake wazi kisha mashabiki wakahoji kuwa rangi ya maungo haifanani na rangi ya uso wake ‘eti baadhi ya sehemu amekunywa maji mengi’. Mwana-ubuyu […]

Read More..

Aunt Ezekiel Awajibu Wanaodai Anajipendekez...

Post Image

Malkia wa filamu na mama wa mtoto mmoja, Aunt Ezekiel amewamind mashabiki katika mitandao ya kijamii ambao wanadai anajipendekeza kwa mama watoto wa Diamond, Zari, baada ya hivi karibuni kuonekana akila nao bata pamoja. Mwingizaji huyo ambaye alikuwa rafiki wa Wema Sepetu, amesema lazima awe karibu na familia ya bosi wa mume wake kwa kuwa […]

Read More..

Je Unataka Kwenda Kuishi na Kufanya kazi Ma...

Post Image

Hauitajika kulipa hata senti tano ni buree! Jaribu bahati yako sasa, dirisha la maombi litakuwa wazi kuanzia mwezi Oktoba 4, hadi Novemba 7 2016. Kila mwaka Serikali ya Marekani kupitia Ubalozi wa Marekani imekuwa ikitoa nafasi ya kutuma maombi ya watu kwenda kuishi na Kufanya kazi Marekani kupitia mpango ujulikano kama “Diversity Visa program (DV-2018)”. […]

Read More..

Makonda Awashukuru Mastaa Wanaoiunga Mkono ...

Post Image

Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ametoa shukrani kwa muigizaji Jacqueline Wolper na wengine wanaoiunga mkono kampeni yake ijayo, Mti Wangu. Mkuu wa mkoa huyo ametoa shukrani zake katika ukurasa wake wa Instagram kwa kuweka picha ya muigizaji akiwa amevaa t-shirt yenye logo ya neno ‘mti wangu’ akionesha juhudi za kumuunga mkono. […]

Read More..

H Baba: Viongozi wa Simba Wananihitaji Nich...

Post Image

Msanii wa muziki wa Bongo Fleva H Baba amefunguka na kusema kuwa kuna baadhi ya viongozi wa Simba wameonesha nia ya kumuhitaji kwenye kikosi chao. H baba ambaye alikuwa nahodha wa timu ya soka ya Bongo Fleva ambayo ilipambana na timu ya Bongo Movie katika mchezo wa hisani uliochezwa mwishoni mwa wiki hii katika uwanja […]

Read More..

Goodluck Gozbert: Mashindano ya Kuimba Yali...

Post Image

NYOTA wa muziki wa Injili nchini, Goodluck Gozbert amesema aliwahi kupewa kichapo na mzazi wake mara baada ya kudanganya, badala ya kwenda shuleni yeye alikwenda kwenye tamasha la kampuni moja ya vinywaji baridi ili kuonyesha kipaji chake cha uimbaji. Akizungumza na Juma3tata, Goodluck Gozbert alisema, baada ya kunyoosha mkono juu na kuchaguliwa kupanda jukwaani kwenda […]

Read More..

Hivi Ndiyo Alikiba Alivyochukizwa na tetesi...

Post Image

Miezi michache iliyopita Abdul Kiba ambaye ni mdogo wake na AliKiba alinukuliwa vibaya na vyombo vya habari kwamba yupo tayari kujiunga na label ya ‘WCB’ ya Diamond kauli ambayo ilileta shida kwa mashabiki wa AliKiba pamoja na team yake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na video yake ya wimbo ‘Bayoyo’ ameiambia Bongo5 kuwa kauli hiyo […]

Read More..

Mimi Siyo Chizi, Wao Ndiyo Wazinguaji ̵...

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva Ruby ambaye leo ameachia kazi yake mpya inayofahamika kwa jina la ‘Wale Wale’ ambayo imetayarishwa na mtayarishaji Man Water amefunguka na kusema kuwa yeye siyo chizi kusema ashindwe kutokea kwenye baadhi ya video ya wasanii. Ruby akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo amesema kuwa alikuwa hana haja ya kukataa kuonekana kwenye […]

Read More..