-->

Author Archives: editor

Nani wa Kuiokoa Bongo Muvi?

Post Image

HALI ya soko la filamu nchini ni tete. Hakuna mwenye uthubutu wa kutamba tena hadharani kuwa eti sinema za Kibongo zinalipa (ingawa awali zilikuwa hazilipi sana). Zinatolewa sababu nyingi; eti mastaa ni walewale, wachanga hawapati nafasi ya kutoka ndiyo maana soko limeshuka. Sababu dhaifu kabisa. Nani alikuwa anamjua Rose Ndauka kabla ya filamu ya Swahiba? […]

Read More..

Mr. Blue Kuwachukulia Hatua Hii Wanaoharibu...

Post Image

Msanii wa bongo flava Mr. Blue ambaye hivi karibuni alipatwa na msuko suko wa kuyumba kwa ndoa yake, kutokana na kusambaa kwa tetesi za kuwasiliana na ex wake Najma Dartan, amesema yuko tayari kumchukulia hatua za kisheria aliyesababisha ugomvi huo. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Mr. Blue amesema yeye binafsi hakuwasiliana na […]

Read More..

Ujumbe wa Nay Wa Mitego Kuhusu Ndoa ya Sham...

Post Image

Nay Wa Mitego ameonekana kumchimba mkwara mwanaume aliyemuowa aliyekuwa mpenzi wake, Shamsa Ford. Nay na Shamsa walikuwa na mahusiano mwaka 2015 japo mahusiano yao hayakufanikiwa kudumu kwa muda mrefu na kila mtu kufuata njia yake huku wakidai bado ni marafiki wa kawaida. Kitendo cha kuolewa kwa Shamsa kinaweza kikawa kimemtoa povu rapper huyo kutokana na […]

Read More..

Christian Bella Afungukia Changamoto Aliyoi...

Post Image

Msanii nguli wa kuimba mwenye asili ya Kongo na makazi yake hapa Bongo,Christian Bella , amesema amepata shida sana kwenye kurekodi wimbo wa msanii wa Hip Hop Fid Q, kutokana na ugumu wa mashairi yake. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Christian Bella amesema ilimbidi aombe atafsiriwe maana ya maneno ya kwenye mashairi […]

Read More..

Video: Diamond Akutana na mchekeshaji Maaru...

Post Image

Akiwa jijini Los Angeles, Marekani ambako tayari ameshoot video ya wimbo Marry You aliomshirikisha Ne-Yo, Dimaond Platnumz amekutana na mmoja wa mastaa maarufu sana Marekani. Amekutana na mchekeshaji na muigizaji wa filamu, Kevin Hart.   Diamond ameweka video akiwa na mchekeshaji huyo kwenye ukurasa wake wa Instagram.Icheki hapa.

Read More..

Muziki Wangu ni Zaidi ya ‘Kiki’ – Belle 9

Post Image

Nyota wa Bongo fleva nchini, Belle 9, ambaye kwa sasa katia kambi Jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kuusimamisha vyema muziki wake, amesema kuwa anaamini kazi yake ni kubwa zaidi ya kiki zilizozoeleka kutafutwa na wasanii. Belle 9 amezungumza hayo na eNewz ambapo amesema muziki wake una nguvu tofauti na kiki ambazo zimezoeleka hapa […]

Read More..

Picha: Shamsa Ford Afunga Ndoa na Chidi Map...

Post Image

Leo staa wa Bongo Movie,  Shamsa Ford  filamu anafunga ndoa na mfanyabiashara wa nguo, Chidi Mapenzi.nyumbani kwao Sinza Afrikasana jijini Dar es salaam. Tunawatakia kheri na baraka katika ndoa yao.

Read More..

Dj Fetty Afunguka Kuhusu Kurudi Clouds FM

Post Image

Dj Fetty ni mmoja kati ya watangazaji waliyoifanya mioyo ya wapenzi wa radio iwe na huzuni wakati wote tangu alipotangaza kuacha kazi hiyo mwezi Septemba mwaka jana kutokana na swagga zake anapokuwa kwenye kipaza. Hakika mashabiki wa kipindi cha XXL cha Clouds FM ndio waliumizwa sana kwa wakati huo na mpaka sasa kutokana na kipindi […]

Read More..

Baada ya Kuacha Muziki, Mzee Yusufu Kuanza ...

Post Image

Mfalme wa muziki wa taarabu nchini, Mzee Yusufu, ameondoka nchini leo Agosti 31, 2016 kwenda kuhij Makkah ili kutimiza moja kati ya nguzo kuu za dini yake ya Kiislam. Mzee kabla hajakwea pipa, eNewz ilifanikiwa kufanya mahojiano naye ambapo amesema hatua ya kwenda kuhiji aliipanga iwe mwaka 2018 lakini kwa vile ana nguvu na uwezo […]

Read More..

Hizi Ndizo Filamu Zinazotamba Kwenye Tasnia...

Post Image

Hizi ni kati ya filamu zinazoendelea kusumbua katikati tasnia ya filamu, ubora wa Filamu hizi unasababisha zigombaniwe Sokoni. Kama utapenda filamu za kitanzania embu hakikisha hizi ni kati ya filamu zinazotakiwa kuwa kwenye maktaba yako. Pata nakala halisi zinapatikana katika matawi ya kampuni ya Steps entertainment limited.  

Read More..

Mimi Nina Majumba sio Nyumba-Steve Nyerere

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu Steve Nyerere amedai yeye ni mmoja kati ya wasanii ambao wanamiliki nyumba nyingi lakini hataki kuzionyesha. Akiongea katika kipindi cha Uhondo cha EFM Jumatano hii, Steve Nyerere amedai yeye haoni ufahari wa kuonyesha mali alizonazo kama wanavyofanya baadhi baadhi ya wasanii. “Mimi nina majumba sio nyumba ila sitaki kuonyesha instagram,” alisema […]

Read More..

Birthday ya Jux: Ujumbe wa Vanessa Mdee wa ...

Post Image

Staa wa Bongo Fleva, Vanessa Mdee ‘Vee Money’ ametumia fursa ya siku ya kuzaliwa ya mpenzi wake, ambaye pia ni Staa wa muziki wa R&B hapa Bongo, Juma Jux kumwandikia ujumbe muhimu kudhihirisha ni kwa kiasi gani anampenda huku akiutaja wimbo wao wa pamoja, #Wivu kuwa ndiyo nguzo ya kukutana na kuanzisha uhusiano wao: Kuoitia […]

Read More..

Kanumba Hajaondoka na Tasnia Japo Imeshuka ...

Post Image

Muigizaji na muongozaji wa filamu nchini Tanzania, Jacob Stephen maarufu kama JB amesema kushuka kwa filamu za nchini (Bongo Movie) hakuhusishwi na kifo cha aliyekuwa muigizaji nguli marehemu Steven Kanumba. Alipofanyiwa mahojiano na eNewz, JB amekiri kuwa tasnia ya filamu nchini imeshuka kiwango lakini akakazia kuwa kushuka huko ni kwa msimu pekee. “Ni kweli tasnia […]

Read More..

Nimekamua Kichizi Filamu ya Kitonga – Mau...

Post Image

MAULID ALLY aka Mau Fundi ametamba kwa kusema kuwa amefanya makubwa katika filamu inayokwenda kwa jina la Kitonga ambayo ameigiza kama mtu asiyependa masihara na anaamini kuwa ameitendea haki na wapenzi wa filamu wanunue waone kazi yake humo ndani. “Nimekamua kichiz katika filamu ya Kitonga si unajua nikiwa na njaa ya kazi ninavyopiga kazi, leo […]

Read More..

Bahati Adai Kuzinguliwa na Linex, Mwenyewe ...

Post Image

Msanii Bahati kutoka Kenya ameyafikisha mezani mambo yaliyotokea kati yake na Linex, mpaka kukosekana kwenye wimbo wake mpya wa ‘mapenzi’ ambao unafanya vizuri kwa sasa Afrika Mashariki. Akizungumza kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Bahati amesema walikubaliana na Linex na alisha rekodi sehemu yake na kwamba kilichobaki kilikuwa ni ku’shoot’ video ili kazi hiyo […]

Read More..

Msanii wa Nigeria awatamani Ali Kiba, Diamo...

Post Image

MSANII wa muziki wa pop kutoka nchini Nigeria, Omo Alhaji Ycee, ametoa msaada wa Sh milioni moja katika kituo cha wanajamii cha Kigamboni Community Center (KCC) ili zisaidie kutokomeza umasikini. Msanii huyo ambaye yupo katika ziara ya kutangaza muziki wake, aliliambia MTANZANIA kwamba ameamua  kuunga mkono kituo hicho kwa sababu  ya kujitolea  kwao kukuza vipaji […]

Read More..

Filamu ya Kesho Yangu Kuonyeshwa Ndani ya S...

Post Image

Usikose kuangalia filamu hii ndani ya Sibuka maisha channel 111 Kuanzia 02 septemba 3 usiku 03.September saa 9 mchana 04.Septemba saa 3 usiku  

Read More..

Diana: Nakuja Kwa Kishindo na ‘Kalambati ...

Post Image

KIMYA kingi kina mshindo ndivyo anavyojinadi mwanadada huyu Diana Kimaro akisema kuwa alikuwa mafichoni akijipanga kwa ajili ya kukabiliana na pacha wake Lulu ili naye aweze angalau kuibuka na uigizaji bora kwa mwaka huu baada ya kufanya kazi zenye ubora mkubwa kwa lengo la kuwa mwigizaji bora wa kike. “Unajua wengi wanajua kuwa swahiba wangu […]

Read More..