-->

Author Archives: editor

Nataka Nifanane na Mashabiki Wangu- Man Fon...

Post Image

Mkali wa singeli nchini Man Fongo amesema hawezi kubadilisha muonekano wake kwa kuwa yeye ni mtoto wa uswazi na anataka kuwa sawa na mashabiki zake. Akipiga story na eNewz, Man Fongo amesema mashabiki zake ni wale wa uswahilini ambao hawawezi kuvaa nguo ya laki tatu hivyo na yeye hawezi kuvaa hizo nguo bali atavaa sawa […]

Read More..

Masanja:Nimeoa Kuhamasisha Vijana Wasiogope

Post Image

Emmanuel Mgaya ‘Masanja Mkandamizaji’ aliyefunga ndoa hivi karibuni na kuzua tafrani kwa wasanii wenzake kutiwa hatiani kwa kutumia sare za askari siku ya harusi yake na mkewe Monica Masatu amefunguka kwa kusema kuwa amefungua njia kwa vijana wengi wenye uwezo kimaisha lakini hawataki kuoa. “Unakuta kijana yupo safi kimaisha lakini hataki kuoa hela anayo kila […]

Read More..

King Crazy GK Aukacha Rap, Akijita Kuimba

Post Image

Rapa kutoka kundi la East Coast, King Crazy GK ameamua kuingia Studio kwa Alonem ambapo amebadili maudhui ya uimbaji wake kutoka kurap na kufanya muziki wa kuimba huku video akiifanya na muongozaji Donald kutoka Uganda. Akipiga story ndani ya eNewz, GK amesema kuwa ushindani uliopo kwenye game la muziki tofauti na zamani ikiwa ushindani ulikuwa […]

Read More..

Lowassa Atoa Waraka Kuhusu Kukamatwa Kwake

Post Image

WAZIRI Mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametoa waraka akisema kitendo cha askari wa Jeshi la Polisi kuwakamata wakati wakiwa kwenye kikao cha ndani cha Chadema jana  kimemuimarisha na kumpa nguvu zaidi ya kudai demokrasia. Katika waraka wake kwa vyombo vya habari leo, Lowassa amesema anafurahishwa na kutiwa moyo na jinsi Watanzania walivyoipokea operesheni yao ya […]

Read More..

Wema Sepetu: Sirudi Tena Dar

Post Image

Malkia wa filamu Wema Sepetu amelikimbia jiji la Dar es salaam na kuamua kuanzisha makazi mapya mkoani Arusha kama alivyodai mwenyewe. Mwigizaji huyo ambaye kwa sasa yupo mkoani Arusha ameonyeshwa kuvutiwa na jiji la Arusha na kuamua kuwarusha roho mashabiki wake kwa kuwaambia kwamba hatarudi tena Dar es salaam. “My shouger nikimpenda hovyooo, kweli watu […]

Read More..

Nisha Afunguka Kuacha Skendo za Aina Hii

Post Image

Muigizaji wa vichekesho kwenye tasnia ya filamu nchini, Salma Jabu a.k.a Nisha Bebee amesherehekea siku yake ya kuzaliwa tarehe 28 kwa kuamua kutembelea Hospital ya Ocean Road kuwaona wagonjwa waliolazwa katika hospital hiyo. eNewz ambayo ilifanikiwa kufika eneo la tukio ilimkuta Nisha ambaye alisema maisha yake kwa sasa ameamu kuyaelekeza kwa kusaidia watu na siyo […]

Read More..

Picha: Alichokifanya Diamond Huko Meru, Ken...

Post Image

Diamond Platnumz ana miaka mingi ya kuvuna mapesa kutokana na show zake. Kutoka kwenye mapokezi yaliyovunja rekodi, Meru nchini Kenya hadi kuangusha show iliyohudhuriwa na makumi kwa maelfu ya mashabiki wenye kiu, staa huyo ameendelea kujiweka kwenye ligi yake mwenyewe. Jionee  

Read More..

Kala Jeremiah: Utafika Muda Nitakubali Kuji...

Post Image

Kala Jeremiah ni mmoja kati ya wasanii wanaotabiriwa na mashabiki kuja kujiunga na ulingo wa wanasiasa hapo baadaye. Msanii huyo amedai kuwa mara kadhaa wananchi wamemtaka agombee Ubunge lakini amewakatalia ila amedai ipo siku atakubali. “Nimeshaombwa sana na wazee, wakina mama, na jamii ikinitaka nigombee Ubunge, lakini mimi kwa sasa bado, unajua nikiwa Mbunge nitakuwa […]

Read More..

Waziri Nape Azifungia Radio 5 na Magic FM K...

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Wasanii na Michezo, Nape Nnauye, ametangaza kuvifungia vituo vya Radio 5 Arusha na Magic Fm Dar kwa muda usiojulikana kwa kosa la uchochezi.\ Waziri Nape amesema ameielekeza kamati ya maudhui kuviita vyombo hivyo na kuvisikiliza kwa kina kisha kumshauri juu ya hatua zaidi za kuchukua. Aliongeza kuwa kimsingi radio zote mbili […]

Read More..

Dully Atoboa Sababu ya Kuwaashirikisha Wasa...

Post Image

Msanii Dully Sykes a.k.a Mr. Misifa ametoa sababu ya yeye kupenda kusaidia wasanii ambao wana kiwango cha kati, na kusema anafanya hivyo ili kujitengenezea njia. Akizungumza na Planet Bongo ya East Africa Radio, Dully Sykes amesema anapoamua kufanya ‘collabo’ na wasanii wadogo, hufanya hivyo kwa ajili ya amaisha yake ya kesho kwenye game, ili wakiwa […]

Read More..

Shamsa Ford Kufunga Ndoa Ijumaa Hii

Post Image

Msanii wa filamu Shamsa Ford anatarajia kufunga ndoa Ijumaa hii na mfanyabiashara wa nguo aitwae ‘Chidi Mapenzi’. Muigizaji huyo ameiambia Bongo5 kuwa ndoa hiyo itafanyika nyumbani kwa wazazi wake Sinza Africana jijini Dar es Salaam. “Kweli bhana Ijumaa hii Mungu akipenda nafunga ndoa,” alisema Shamsa Ford. Miezi mitatu iliyopita mfanyabiashara huyo alikiri kuwa kwenye mahusiano […]

Read More..

Sababu za Mastaa wa Bongo Movie Kugeuza Usi...

Post Image

STAILI ya maisha ya mastaa wengi ulimwenguni inafanana lakini zaidi ni ile tabia yao ya kubadilisha usiku kuwa mchana kwa sababu mbalimbali, Juma3tata linakuondolea utata. Siyo jambo la ajabu kwa mastaa kufanya kazi zao mpaka usiku mwingi kisha alfajiri kulala hadi mchana wa jua kali, muda ambao watu wengine huwa makazini wakitafuta riziki zao. Ukiacha […]

Read More..

Dogo Janja: Nakua na Mziki Wangu

Post Image

Msanii Dogo Janja ametoa sababu inayomfanya azidi kuwa bora kwenye kazi zake, kadri siku zinavyokwenda, tofauti na wasanii wengi ambao wakitoa hit song, hushindwa kuendelea nazo. Akizungumza kwenye FNL ya East Africa Television na East Africa Radio, Dogo Janja amesema kwa sasa yeye anakua kiumri, hivyo hata uwezo wa kuandika mashairi yake unakua. “Mimi ninakua […]

Read More..

Mwanamitindo Flaviana Matata Aiburuza Mahak...

Post Image

MFUKO wa Pensheni wa PSPF umeshtakiwa mahakamani ukitakiwa kumlipa mwanamitindo wa Tanzania anayefanya kazi za mitindo nchini Marekani, Flaviana Matata, Sh milioni 165. Mfuko huo umeshtakiwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kwa kukiuka mkataba wa mwanamitindo huyo anayewakilishwa na Wakili Edward Lisso wa Law Associates Advocates. Mfuko huo unadaiwa kukiuka mkataba walioingia Januari, mwaka […]

Read More..

Lulu Diva Alilia Uolewa

Post Image

MUUZA sura kwenye video za Kibongo ambaye pia ni muigizaji, Lulu Abbasi ‘Lulu Diva’ amenyetisha kuwa kutokana na changamoto za kimaisha anazokutana nazo anatamani kuwekwa ndani muda wowote kama mke jambo ambalo anafikiria linaweza kumsaidia kwa kiasi fulani kimaisha kwa sababu atakuwa anaambulia angalau hata pesa ya meza. AKipiga stori na BBM, Lulu ambaye hivi […]

Read More..

Roma Afunguka Kuhusu Professor Jay na Hip ...

Post Image

Muziki wa Singeli unaonekana kuwaumizwa kichwa wasanii wengi wa Hip Hop hasa baada ya Professor Jay kuachia wimbo wake mpya ‘Kazi Kazi’ aliomshirikisha Sholo Mwamba na kuamua kuuita style hiyo jina la Hip Hop Singeli. Akiongea na kipindi cha E News cha East Africa TV, Roma Mkatoliki amemtetea Jay kwa kusema kuwa muziki wote umeshafanya […]

Read More..

Lowassa, Rasi Magufuli Wakutana Jubilei ya ...

Post Image

Rais Mstaafu wa Awamu ya Tatu Mhe. Benjamin William Mkapa jana tarehe 27 Agosti, 2016 ameadhimisha Jubilei ya Dhahabu ya Miaka 50 ya Ndoa yake na Mama Anna Mkapa katika kanisa la Mtakatifu Petro lililopo Oysterbay Jijini Dar es Salaam.   Hafla ya Jubilei hiyo imefanyika nyakati za mchana katika ukumbi wa Kardinali Rugambwa uliopo […]

Read More..

Hii Ndiyo Gharama ya video ya Saka Hela ya ...

Post Image

Baada ya kukaa kimya bila kutaja kiasi cha fedha alichotumia kushoot video yake ya ‘Saka Hela’ Nay Wa Mitego amefunguka rasmi kwa mara ya kwanza. Rapper huyo amekiambia kipindi cha ‘Ngaz kwa Ngaz’ kinachoruka kupitia EATV kuwa ametumia kiasi cha $25,000 kushoot video yake hiyo ambazo kwa hela za kibongo ni zaidi ya shilingi milioni […]

Read More..