-->

Author Archives: editor

Picha: Young D Akwidwa, Atiwa Mbaroni

Post Image

Kimemnukia! Mbongo Fleva, David Genzi ‘Young D’ amejikuta mikononi mwa askari wa Kituo cha Polisi Urafiki, Ubungo jijini Dar madai yakiwa kuharibu simu na kushambulia mwili, Amani lina kila kitu. Ilidaiwa kuwa, katika siku za karibuni, msanii huyo alimshambulia mrembo aliyejulikana kwa jina moja la Nasra lakini pia aliharibu simu yake yenye thamani ya shilingi […]

Read More..

Rich Mavoko:Kuna Msanii Mkubwa Alinikataza ...

Post Image

Msanii Rich Mavoko ambaye sasa yupo chini ya Label ya WCB Wasafi amefunguka na kusema kuwa wakati tetesi za yeye kwenda kujiunga na label ya WCB Wasafi zimeenea kuna msanii mmoja mkubwa wa bongo fleva alimtumia ujumbe na kumwambia anaanzaje kwenda kusimamiwa kazi na msanii Diamond Platnum. Rich Mavoko amesema hayo leo kwenye kipindi cha Planet […]

Read More..

Baby Madaha Awashangaa Waigizaji wanaotona ...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu za Bongo, Baby Joseph Madaha ‘Baby Madaha’, ameibuka na kudai kwamba anashangazwa na waigizaji wa kike waliopo katika mapenzi na wanaume wa umri mdogo. Baby Madaha ambaye ameolewa na Mwarabu wa Dubai, amesema tabia ya wasanii wenzake kuwa na wanaume wenye umri mdogo maarufu ‘Serengeti Boys’ unafedhehesha na haiwasaidii chochote zaidi ya […]

Read More..

Snura: Majanga Ilinipa Majanga

Post Image

STAA wa Muziki wa Kizazi Kipya, Snura Mushi ambaye alipata kiki ya aina yake kwa kibao chake cha Majanga, amefunguka kuwa licha ya kupata shoo nyingi kupitia ngoma hiyo, lakini pia alipata majanga kwa kutapeliwa mara kadhaa. Akipiga stori na Risasi Vibes, Snura alisema promota mmoja alimpeleka kufanya shoo mkoani Kilimanjaro na Mererani Arusha, lakini […]

Read More..

Nisha Awahofia Wakware kwa Mtoto Wake

Post Image

MSANII anayefanya vizuri katika filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amefungukia hofu aliyonayo kwa mwanaye, Ipsium kutokana na wanaume wakware kuzidi kuongezeka kila siku. Akichonga na Risasi Vibes, Nisha alisema hata akiwa na ‘boyfriend’ wake, huwa hapendi amzoee mwanaye huyo, kwani anamlea katika maadili ya kidini zaidi na anamshukuru Mungu anazingatia vile anavyotaka. “Mwanangu yuko darasa […]

Read More..

Rich Mavoko: Afunguka Kuhusu Kufikisha Muzi...

Post Image

Mkali wa Bongo Fleva, Rich Mavoko ambae amesain mkataba na WCB-WASAFI hivi karibuni na sasa ngoma zake zote zitatoka chini ya lebo hiyo na kusema kuwa wasani wanaweza kufanya kazi pamoja na kuufikisha muziki wa Bongo sehemu fulani. ‘’Nimependa sana nilivyosaini na inaonekana kabisa vijana tunaweza kufanya kazi pamoja na kufanya muziki wetu kufika sehemu […]

Read More..

Master Jay: Tulikuwa Wapenzi Miaka 10 Bila ...

Post Image

MTAYARISHAJI wa muziki nchini, Joseph Kimario ‘Master Jay’, amesema alikuwa katika uhusiano wa kimapenzi na msanii Sarah Kaisi, ‘Shaa’ kwa miaka 10 bila kuweka wazi. Akizungumza na MTANZANIA hivi karibuni, Master Jay alisema walikuwa katika mapenzi ya siri kwa muda wote huo hadi walipoamua kuweka wazi hivi karibuni baada ya watu kuhisi uhusiano wao. “Nilimpenda […]

Read More..

Mose Iyobo Atangaza Ndoa

Post Image

Mchezaji maarufu wa muziki wa Bongo Fleva Moses Peter anaetambulika kwa jina la Mose Iyobo anefanya kazi na Staa Diamond Platnumz amefunguka na kudai kuwa ndoa yake na staa wa Bongo muvi Aunt Ezekiel inanukia. kizungumza na eNewz Mose alisema kuwa kuna kitu ambacho watu hawafahamu ambacho ni kuwa, yeye anakaribia kuwa bwana harusi wa […]

Read More..

Mike: Nitakodi Ndege Kupeleka Mahari ya Mri...

Post Image

Mwigizaji wa kiume Bongo, Michael Sangu ‘Mike’ amesema kuwa anatarajia kukodi ndege kwa ajili ya kwenda mkoani Mbeya kupeleka mahari ya mchumba’ke wa sasa aliyemtaja kwa jina moja la Eliza ambaye ndiye mrithi wa aliyekuwa mkewe, Salome Urassa ‘Thea’. Akizungumza na Wikienda, Mike alisema kuwa amekuwa akichafuliwa kwa mchumba’ke huyo na watu wanaomwambia maneno lakini […]

Read More..

Hamisa Amlipua Lulu

Post Image

Mwanamitindo ambaye pia ni video queen maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto, amemlipua laivu staa wa filamu za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ kisa kikidaiwa ni lile saga la kugombea penzi la kigogo (jina tunalo) ambapo kwa sasa hali ni tete baina ya wawili hao. Hivi karibuni kuliibuka vita kali ya matusi mitandaoni kati ya kundi la […]

Read More..

Aunt Ezekiel: Nipo na Nitaendelea Kuwepo

Post Image

MSANII nyota wa kike wa filamu Bongo Aunt Ezekiel amefunguka kwa kusema kuwa yupo na ataendelea kuwepo katika tasnia ya filamu kwani ndio kazi inayompatia maslahi na heshima kama msanii mwenye hadhi kubwa. Nipo na nafanya kazi zangu za filamu kama kawaida sijapotea katika game kama wengine wanavyosema tena mwaka huu nimetoa kazi nyingi tu […]

Read More..

Kituo cha Life and Sobber House Bagamoyo Ch...

Post Image

Kituo Cha kusaidia Watu walioathirika na Dawa za Kulevya cha Life and Hope Sober House kilichopo Bagamoyo kimekanusha kuwepo kwa taarifa juu ya msanii wa miondoko ya Hip Hop, Rashid Makwiro maarufu kama Child Benz kutoroka kituoni hapo.   Akikanusha tuhuma hizo za kutoroka kwa Msanii huyo, Mkuu wa Kituo hicho, Al-Kareem Bhanji ameeleza kuwa […]

Read More..

Mikopo ya Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha St Jo...

Post Image

WANAFUNZI wa Chuo Kikuu cha St Joseph (SJUIT) Kampasi ya Arusha (kilichofutiwa usajili), waliokuwa chini ya programu ya shahada ya miaka mitano ya ualimu wa sayansi, wametakiwa kusoma ngazi ya cheti au stashahada. Kama watataka kusoma ngazi ya juu, watapaswa kuomba upya udahili. Aidha, Wizara ya Elimu, Sayansi, Teknolojia na Mafunzo ya Ufundi imesema wanafunzi […]

Read More..

Abdukiba Afunguka Kuhusu Kufanya Kazi WCB

Post Image

Msanii Abdukiba ambaye ni mdogo wa Alikiba amefunguka na kusema kama ikitokea WCB Wasafi wakataka kufanya kazi na yeye inawezekana kwani yeye anaangalia mpunga (pesa) zaidi,hivyo kama watakuwa na pesa za kutosha na makubaliano mazuri anaweza kufanya kazi chini la Label hiyo ya ‘WCB Wasafi’ Abdukiba amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East […]

Read More..

Ukimya wa Odama Wawapa Jibu Mastaa!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Jennifer Kyaka ‘Odama’ amefunguka kuwa ukimya wake wa muda mrefu umewapa jibu mastaa wenzake kwani kuibuka kwake na sinema mpya kumezua gumzo na kumpa heshima ya kuendelea kusimama kama msanii. Odama ameliambia Wikienda, kuwa alipoamua kukaa kimya alikuwa na sababu kwani alikuwa ametuliza kichwa kuhakikisha anaibuka na sinema itakayozidi kumjengea […]

Read More..

Picha: Meninah Afunga Ndoa Tena

Post Image

Staa wa bongo Fleva alieibukia kwenye BSS, Meninah  La Diva, amefunga ndoa tena na mwanaume mwingine. Hiyo inamaanisha kuwa ndoa yake na Peter Haule, mtoto wa Waziri wa Nishati na Madini, Sospeter Muhongo iliyofungwa mwaka jana imevunjika. Haijulikani sababu ya kuvunjika kwa ndoa hiyo. Peter alibadilisha dini na kuwa muislamu ili kumuoa Meninah na kuanza […]

Read More..

Mama Harmonize Amtilia Shaka Wolper

Post Image

Siku chache baada ya staa wa Wimbo wa Bado, Rajab Abdulhan ‘Harmonize’ kumtambulisha mchumba’ke, Jacqueline Wolper Massawe nyumbani kwao katika Kijiji cha Mahuta mkoani Mtwara, siri imevuja kuwa wakati wa zoezi hilo, mama mzazi wa jamaa huyo, anadaiwa kumtilia shaka mrembo huyo juu ya mwanaye na kumpa wosia mzito. Tukio la utambulisho huo lilifanyika nyumbani […]

Read More..

Picha: Mwana FA Afunga Ndoa

Post Image

Ndoa huyo imehudhuriwa na ndugu na marafiki zake wa karibu wakiwemo AY, Hermy B, Ommy Dimpoz, Sallam, Dully Sykes, GK, Alberto Msando na wengine. Hongera sana Mwana FA.

Read More..