-->

Author Archives: editor

Picha za Wema na Ommy Wakiwa Chumbani Zawa ...

Post Image

DAR ES SALAAM: LICHA ya tetesi kuzagaa kuwa amerudiana na mpenzi wake, Idris Sultan, mtoto mzuri Bongo Muvi, Wema Sepetu kwa mara nyingine ametengeneza habari, amedaiwa bado anaendeleza uhusiano wa siri na staa wa Bongo Fleva, Omar Nyembo ‘Ommy Dimpoz’, Risasi Jumamosi limepewa mchapo. PICHA ZADHIHIRISHA Hiyo imedhihirika hivi karibuni baada ya kuvuja kwa picha […]

Read More..

Picha: Mamia ya Wakazi wa Jiji la Mbeya Wam...

Post Image

MBEYA: MAMIA ya wakazi ya jiji la Mbeya wamemzika aliyekuwa msanii wa vichekesho James Petro Nsemwa (30) maarufu kama Kinyambe ambaye alifariki dunia jumatano ya wiki hii mkoani Mbeya, katika makaburi ya Hayombe Uyole Igawilo mkoani Mbeya. Msururu wa wakazi wa jiji la Mbeya pamoja na magari ulitembea kutoka nyumbani kwa wazazi eneo la makondeko […]

Read More..

Madee Akanusha Kufumaniwa Akiwa na Shilole

Post Image

Msanii wa muzuki wa bongo fleva Nuh Mziwanda ambaye alikuwa akitoka kimapenzi na Shilole alisema kuwa aliumia alipomfumania Madee na mpenzi wake huyo wa zamani katika sehemu ambayo si ya wazi yaani chumbani. Lakini Madee kupitia kipindi cha Planet bongo amekana tuhuma hizo na kusema kuwa suala hilo halina ukweli wowote ule na kudai kuwa […]

Read More..

Mtangazaji Gardner Atakiwa Kumuomba Radhi L...

Post Image

Kufuatia madai  kuwa mtangazaji wa clouds fm, Gadner G Abashi ‘Captain’ kumdhalilisha  mwanamziki Laday jaydee ambaye alikuwa mke wake, wanasheria wa Lady Jaydee wamtaka Gardner kuomba radhi mbele ya umma. Hii ndiyo barua aliyopelekwa kwa Gardner.

Read More..

Sipo kwa Ajili ya Kujiuza- Wastara

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma  ambaye siku za karibuni aliomba talaka kutoka kwa mume wake amefunguka na kusema yeye sio mtu wa kujiuza, bali ni mtu ambaye anajijali na kujitunza. Wastara alisema hayo kupitia kipindi cha eNEWS ambapo inasemekana kwa sasa kuna wanaume kibao ambao wanajitokeza kumtaka baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake […]

Read More..

Najma: Sijali ‘Makombo’ kwa Baraka

Post Image

Mwanamuziki Najma Dattan ‘Naj’ ameibuka na kusema kuwa kwa msanii mwenzake Baraka Da Prince amefika wala hajali ametoka na wanawake wangapi kwa sababu hata yeye ana ‘pasti’ yake. Akizungumza na Ijumaa, Najma alisema kuwa amekuwa akiwashangaa wasichana waliopita kwa Baraka ndiyo wanamuongelea kila siku wakidai anakula makombo lakini Baraka mwenyewe haongelei kabisa uhusiano wa watu […]

Read More..

Wanaume wa Mitandaoni Wamenipa Somo-Giggy M...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva ambaye jana ameachi wimbo wake unaoitwa ‘Supu’ amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hataki tena wanaume wa mitandaoni na kudai kuwa wanaume hao wamempa somo. Giggy Money akizungumza kwenye kipindi cha Planet Bongo amesema kuwa msanii Hemedy Phd pamoja na Rich Mavoko ndiyo wasanii ambao walimtokea kupitia njia ya mtandao na […]

Read More..

Diamond Afungukia Madai ya Yeye na Zari Kuc...

Post Image

Star wa Bongo fleva Diamond Platnum akanusha juu ya stori zilizozagaa mitandaoni kuwa mpenzi wake Zarina ama mama Tiffa anachepuka na Ivan huku yeye akichepuka na video Quuen wa Ketu ya Raymond Akizungumza na Enewz Diamond alisema kuwa hizo ni stori tu ambazo mapaparazi waliamua kuzitengeneza lakini Zari hakuwahi kuwa na uhusiano wowote na Ivan […]

Read More..

Kwa Picha Hii, Wema Amemjibu Zari?

Post Image

Miezi kadhaa iliyopita liliibuka gumzo kubwa mtandaoni kati ya Timu Wema na Timu Zari kuhusu nani kati ya Wema Sepetu na Zarinah Hassan ‘Zari’ ana wowowo kubwa. Katika mjadala huo kila upande ulikuwa ukivutia kwake huku mara nyingi Timu Zari wakitumia ile picha aliyopiga Zari na Diamond (Zari kavaa gauni jekundu na Diamond kavaa suti […]

Read More..

Wastara Afunguka Kuhusu Ndoa Tena

Post Image

Msanii wa bongo Movie Wastara Juma afunguka juu ya stori zinazozagaa katika mitandao mbalimbali ya kijamii na magazeti ya udaku kuwa hataki tena Ndoa. Akizungumza na Enewz Wastara alikanusha tuhuma hizo na kusema kuwa ndoa yake na mheshimiwa ilikua imejaa timbwili timbwili na makubwa mpaka ikapelekea akadai talaka na baada ya mheshimiwa kusanda pia wametokea […]

Read More..

Picha: Diamond na Mafikizolo Wakiwa Bungeni...

Post Image

Kundi maarufu la muziki kutoka Afrika Kusini Mafikizolo pamoja na staa wa bongofleva Diamond Platnumz leo walipata mwaliko wa kuingia Bungeni Dodoma ambapo mastaa hawa wapo Dodoma kwa ajili ya kupiga burudani  Chuo kikuu cha Dodoma. “Unajua leo tuna show hapa Dodoma mimi na Mafikizolo hivyo serikali kupitia kwa Waziri Nape Nnauye walitualika bungeni japo […]

Read More..

Hemedy PHD Anatarajia Kuwa Baba Tena

Post Image

Star wa Bongo Movie, Hemedy Seleman anatarajia kupata mtoto hivi karibu na anajivunia kuwa baba wa mtoto huyo ajae ukiachilia yule ambaye alinukuliwa kuachwa na mama wa mtoto huyo. Akizungumza na Enewz Hemedy alisema kuwa mtoto ni baraka kutoka kwa mungu kwa hiyo yeye yupo tayari kwaajili ya kumlea mtoto huyo ambaye hakutaka kutaja jina […]

Read More..

Kusaka Mpenzi Kwenye Simu, Sitosahau –...

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Linah a.k.a ndege mnana amefunguka moja kati ya vitu ambavyo hawezi visahau katika maisha yake yote. Akizungumza na Enewz Linna alisema kwamba moja ya kitu hicho ni tukio ambalo walilifanya yeye na mwenzie kipindi wanasoma kwani walikuwa wana tabia ya kujaribu kupiga namba tofauti tofauti ili kutafuta mpenzi. “Nilifanikiwa kumpata mwanaume […]

Read More..

AY na Mwana FA Kulipwa Bilioni 2 na Tigo, B...

Post Image

Mahakama ya Hakimu Mkazi Ilala imeiamuru kampuni ya Mawasiliano ya TIGO kuwalipa wasanii Hamis Mwinjuma ‘MwanaFA’ na Ambwene Yessaya ‘AY’ jumla ya shilingi bilioni 2.18 baada ya kutumia kazi zao za muziki bila ridhaa yao. May 10, 2016, Mwanasheria maarufu nchini, Alberto Msando alipost picha Instagram akiwa kwenye mahakamu kuu ya Tanzania akiwa na rappers […]

Read More..

Shilole: Kuengea Kingereza ni Kipaji

Post Image

Msanii wa Bongo fleva Shilole a.k.a Shishi Baby amekiri kwamba kuzungumza lugha ya kingereza ni kipaji na wala si hivi hivi tu na amesema yeye anajua kuongea vizuri kingereza ila anapenda kuongea kingereza kibovu ili kuchekesha watu tu. Na hii ni baada yakuonekana katika mitandaoni mbalimbali ya kijamii akijaribu kwa juhudi zote bila mafanikio kuzungumza […]

Read More..

Baada ya Kuokoka, Kajala Akejeliwa

Post Image

BAADA ya kukiri katika gazeti hili kuwa ameamua kuokoka na kumrudia Mungu, mrembo kunako filamu za Kibongo, Kajala Masanja amekejeliwa na baadhi ya watu wake wa karibu. Akizungumza na Amani Kajala alisema kitendo cha kuokoka kimegeuka kama kejeli kwa marafiki zake ambapo wengi humcheka lakini anaamini kabisa siyo akili zao bali shetani anataka kuwatumia ili […]

Read More..

Tanzia: Muigizaji Kinyambe Afariki Dunia

Post Image

Komediani aliyetamba kwa kubadilisha sura na sauti yake katika filamu za uchekeshaji nchini, James Peter Nsemwa a.k.a Kinyembe amefariki dunia usiku wa kuamkia leo. Mpaka mauti yanamfika, Kinyambe alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya. Akiongea na EATV Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF) Simon Mwakifwamba, amesema ameongea na baba mzazi wa […]

Read More..

Dayna Nyange Amuonea Wivu Roma

Post Image

MWANADADA anayefanya poa kwenye gemu la Muziki wa Bongo Fleva, Mwanaisha Nyange ‘Dayna Nyange’ hivi karibuni amedai kuwa anamuona wivu staa wa Hip Hop, Roma Mkatoriki kutokana na hatua aliyoifikia ya kufunga ndoa Jumamosi iliyopita mkoani Tanga na mchumba wake wa muda mrefu. Dayna anasema amekuwa mtu wa karibu wa Roma kwa muda mrefu sasa […]

Read More..