-->

Author Archives: editor

Aunt Afungukia Kuachana na Moses Iyobo

Post Image

KUFUTAIA kuwepo kwa taarifa kuwa Mwigizaji Aunt Ezekiel amempiga chini mpenzi wake Moses Iyobo, mrembo huyo ameibuka na kusema taarifa hizo hazina ukweli. Akizungumza na paparazi wetu, Aunt alisema madai hayo ya kuachana na mpenzi wake huyo yanatengenezwa na watu wake wa karibu hivyo akijiridhisha, atawatumbua. “Wanaowaza kuwa mimi na Mose tunatarajia kugombana leo au […]

Read More..

Sikumjua Nay mtu wa aina gani – Shamsa Ford

Post Image

Msanii wa filamu nchini Shamsa Ford amefunguka na kusema kuwa moja ya sababu yeye kuachana na mpenzi wake Nay wa Mitego ni kutokana na ukweli kwamba yeye hakutambua toka mwanzo kuwa msanii huyo ni mtu wa namna gani.   Akizungumza kwenye kipindi cha Enews Shamsa Ford anasema wakati anaanza kutoka na Nay wa Mitego hakutambua […]

Read More..

Binti Miaka 19 Awa Gumzo Kazi ya Mochwari

Post Image

Sabrina Gharib, binti mwenye miaka 19 anayefanya kazi kwa vitendo kimasomo  kwenye Mochwari  ya Hospitali ya Rufaa ya Tumbi Kibaha mkoani Pwani, amekuwa gumzo kwa watu wanaokwenda kuchukua miili ya wapendwa wao hospitalini hapo, Uwazi limeibuka naye. “Tulipokwenda kuchukua mwili wa mpendwa wetu Tumbi, tulisikia watu wakimzungumzia msichana mdogo anayehudumia maiti. Kwanza sikuamini lakini nilimuona […]

Read More..

Harmonize Afungukia Maumivu ya Mahusiano, A...

Post Image

Msanii wa bongo flava Harmonize anayetamba na wimbo “Bado’ ameshangazwa na namna ambavyo Msanii Diamond Platnumz anavyoweza kuhimili maumivu ya kimapenzi. Akizungumza katika kipindi  enewz cha EATV amesema kuwa suala la mapenzi linaendana kabisa na maisha ya mtu mwenyewe na yeye hana uwezo wa kuhimili maumivu ya kimapenzi. “Diamond sijui ana uwezo gani wa kuhimili […]

Read More..

Aunt Ajinasua kwa JPM

Post Image

Hatimaye staa wa Bongo Muvi, Aunt Ezekiel Grayson amefanya kila liwezekanalo na kujinasua mikononi mwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.John Pombe Magufuli ‘JPM’ kwa kukomboa gari lake aina ya Audi lililokuwa limeshikiliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa kushindwa kulipa kodi. Akizungumza na Ijumaa Wikienda kwa mbwembwe kibao wikiendi iliyopita, Aunt […]

Read More..

Rais Magufuli Amfuta Kazi Mkurugenzi wa Jij...

Post Image

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania , Dk. John Magufuli ametangaza kumfuta kazi Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam,Wilson Kabwe. Hatua ya kumfuta kazi Mkurugenzi huyo imefuata baada ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda kumwambia Rais Magufuli wakati wa Uzinduzi wa Uzinduzi wa Daraja la Kigamboni, kuwa Mkurugenzi wa […]

Read More..

Kajala Ashtukia Uwekezaji

Post Image

KAJALA Masanja amewasihi mastaa wenzake wajifunze kuwekeza hela wanazopata kwa kuwa kuna kipindi kitafika ustaa utaisha na kutakuwa hakuna kitu kingine cha kuwaingizia kipato. Kajala ambaye analitendea haki soko la filamu Bongo, alisema kila mtu atumie wakati wake sasa,” alisema Kajala. amepata wazo hilo hivyo ameona ni vyema akawatonya na wenzake maana amewaona watu wengi […]

Read More..

Mzee Yussuf Awataka Ali Kiba na Diamond Waz...

Post Image

Mzee Yussuf ni miongoni mwa wasanii ambao hawaamini kama Diamond na Ali Kiba wana beef kutokana na wawili hao kutokutana pamoja na kuonyesha tofauti zao. Akizungumza na Bongo5 Jumamosi hii, Mzee Yussuf amesema beef ya Diamond na Ali Kiba zinakuzwa na mashabiki lakini sio beef kweli. “Mimi Ali Kiba na Diamond sidhani kama wana beef […]

Read More..

Ommy Dimpozi Alinisumbua Sana- AliKiba

Post Image

Msanii Alikiba amefunguka na kusema msanii Ommy Dimpoz alimsumbua sana ili kufanya naye ‘Collabo’ japo anasema alikuwa anamsumbua kwa namna nzuri na si mbaya kwani lengo lake lilikuwa ni kufanya kazi na yeye. Akiongea na East Africa Radio Alikiba alidai kuwa ilimchukua takribani mwezi mmoja kama si miwili ili kufanya kazi hiyo na Ommy Dimpoz […]

Read More..

Baba Haji: Ni Mwendo wa Kutoa Vipaji Tu!

Post Image

HAJI Adam ‘ Baba Haji’ anasema kuwa elimu yake ya Sanaa aliyosoma anaitumie kwa kuwasaidia wasanii wenzake na kuwatia moyo kuwa wana nafasi ya kuweza kujiunga na vyuo vya sanaa endepo watatenga muda na kujigawa kwa ajili ya kujiendeleza zaidi kitaaluma. “Nimekuwa mwalimu mzuri kila ninapokutana na wasanii chipukizi hata wakubwa kujaribu kuwagawia kile nilichojariwa […]

Read More..

Young Killer Aizungumzia Picha Yake na Diam...

Post Image

Picha aliyoiweka rapa Young Killer kwenye ukurasa wake wa instagram akiwa na Diamond, imezua maswali kadhaa ya matumaini miongoni mwa mashabiki wake. Rapa huyo wa Mwanza amepost picha akiwa na Diamond Plutnumz na kuandika: Hakuna mtu aliye zaliwa ili aje awe maskini (ndiyo ) unaweza ukawa umezaliwa kwenye familia maskini ila ukweli ni kwamba hujazaliwa […]

Read More..

Ukweli wa Kaka’ke Diamond Kubaka Sweden

Post Image

Mwisho wa utata? Hatimaye ukweli juu ya sakata la kaka wa staa wa Mbongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, Rommy Jones umeanikwa ndani ya Ijumaa Wikienda ambalo ni namba moja kwa habari za mastaa ndani na nje ya Bongo. Kabla ya gazeti hili kuchimba undani wa msala huo, kulienea tetesi mbalimbali kuwa Rommy ambaye ni […]

Read More..

Jide Ampeleka Ray C Kwenye Maombi

Post Image

Tenda miujiza Bwana! Lile sakata la mwanadada Rehema Charamila ‘Ray C’ kuandamwa na pepo mbaya wa utumiaji wa dawa za kulevya ‘unga’ hata baada ya Rais Mstaafu Jakaya Kikwete ‘JK’ kumsaidia, inasemekana Mwanamuziki Judith Wambura ‘Jide’ ameambatana naye kanisani kwa ajili ya maombi. Kikimwaga ‘ubuyu’ mbele ya Ijumaa Wikienda, chanzo chetu kilitonya kuwa hivi karibuni […]

Read More..

Mtanzania Ashinda Tuzo ya Filamu za Kigeni ...

Post Image

SOKO la filamu za Tanzania limezidi kujitangaza nje ya nchi baada ya Filamu ya ‘Daddy’s Wedding’ iliyoongozwa na Mtanzania, Honeymoon Aljabri, kushinda tuzo ya filamu bora ya kigeni katika tamasha la filamu za kimataifa lililofanyika juzi katika Hoteli ya Double Tree mjini Houston Marekani. Honeymoon ambaye pia ndiye prodyuza wa filamu hiyo, alisema furaha yake […]

Read More..

Picha: Ajali Aliyoipata Msanii Tunda Man Ir...

Post Image

Staa wa bongo Fleva,Tunda Man  amepata ajali  mapema hii leo huko mkoani Iringa. Maelezo ya mwanzo ya Tunda Man amesema ‘Tulikua tunatoka Njombe baada ya kumaliza show yetu na tukasema bora tusilale tuwahi kufika Dar,tumetoka Njombe saa 10 alfajiri mimi nikawa nasikia usingizi nikamwambia mwanangu hebu tuendeshe kidogo,kufika kijiji cha Idetelo kilomita kama 20 au […]

Read More..

Lady Jaydee na EFM Wameingia Kwenye Ubia Ga...

Post Image

Wenyewe wanasema ‘Huu Mchezo Hauhitaji Hasira’. Ni mchezo upi huo? Usemi huu ulianza baada ya EFM kuwapora watangazaji wawili wa Clouds FM, Gerald Hando na Paul James kabla ya wao nao kuporwa mtangazaji wao, Gardiner G Habash. Na sasa movie linaendelea kunoga. Lady Jaydee anayefahamika kuwa mgogoro mzito na Clouds FM na aliyekuwa mke wa […]

Read More..

Mafufu Adaiwa Kuzabwa Kibao na Mkewe

Post Image

Kali tuliyoinasa inamhusu msanii maarufu wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu ambaye inadaiwa juzikati alijikuta akinaswa kibao na mkewe baada ya kumsifia msichana aliyemuona kwenye TV. Chanzo ambacho ni ndugu wa mke wa Jimmy kilichoomba hifadhi ya jina lake kilidai kuwa, siku hiyo walikuwa wakitazama filamu kwenye TV, Jimmy akaonekana kuvutiwa na mdada mmoja na kuanza […]

Read More..

Wanaosema Sina Kazi Wanakosea- Idris Sultan

Post Image

Mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultan amesema kwamba wanaosema hana kazi na anazurura tuu kwenye mitandao ya kijamii wanakosea kwa sababu yeye ni msanii. Idris amefunguka hayo alipokuwa akihojiwa na mtangazaji Salama Jabir katika kipindi cha Mkasi Tv Show kinachotushwa na EATV. ”Mimi ni ‘Celebrity’ na kwangu kuwa kwenye mitandao ya kijamii kwangu ni kazi kwa […]

Read More..