-->

Author Archives: editor

Ommy Clayton Amleta Gabo na Kitu

Post Image

MTAYARISHAJI na mtunzi mahiri wa filamu za Kibongo  Omary Clayton ‘ Ommy Clayton’ wiki ijayo anatarajia kuachia filamu yake kali nay a kusisimua ya Kitu ambayo amewashirikisha wasanii wakali kama vile Ahmed Salim ‘Gabo’ na wengine. “Safari hii nimejipanga zaidi kikazi kwani filamu yangu ya Kitu si mchezo unakutana na msanii Gabo kafanya maajabu humo, […]

Read More..

Nina Mchango kwa Vanessa Mdee- Ommy Dimpoz

Post Image

Ommy amefunguka hayo katika kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na kituo cha EATV ambapo ameweka bayana kwamba kwa jinsi alivyomfahamu Vanesa Mdee ni mtu wa Kimataifa siku nyingi kwa maana alivyofanya naye huo wimbo alikuwa kwenye ‘media’ kubwa ila alikuwa hajapata pa kutokea tuu. ”Nilipomshirikisha kwenye wimbo wa ‘Me and You’ ikawa kama ni gari […]

Read More..

Mr.Blue: Nilipanga Kuoa Siku ya ‘Birthday...

Post Image

Staa wa bongo fleva Mr. Blue  ambaye amefunga ndoa hivi juzi na mkewe Wahyda ambapo hivi sasa wako visiwani Zanzibar kwenye fungate, ameeleza kuwa alipanga kufunga ndoa yake kwenye siku yake ya kuzaliwa. ‘’Haikuwa ghafla ila ghafla kwa wananchi ila kwangu mimi ni kitu ambacho nilikuwa nimepanga karibu mwezi nyuma nilipanga nioe siku ya ‘birthday’ […]

Read More..

Q Chiller Adondokea kwa Diamond Platnumz

Post Image

MKALI wa wimbo wa ‘Mkungu wa Ndizi’ aliyerudi kwa kasi katika muziki wa Bongo Fleva, Abubakari Shaaban maarufu Q Chiller, amesema kwa sasa anatamani kufanyakazi na Diamond Platnumz. Q Chiller alifafanua kwamba anatamani kufanya kazi na Diamond kwa kuwa wote wana uongozi unaojua kazi zao lakini anajipanga kwanza kwa kuandaa wimbo mzuri utakaowawezesha kurudisha fedha […]

Read More..

Mzee Zorro Alinifundisha Vitu Hivi Tangu Ut...

Post Image

Msanii mkongwe kwenye muziki wa Bongo Fleva,Banana Zorro amesema kuwa ameamua kufanya kitu ambacho amekuwa akifundishwa tangu utotoni kupitia kwa mzee wake Zahir Ally Zorro ambaye pia ni mwanamuziki wa siku nyingi,amezungumza hayo kwenye kipindi cha Power Break Fast jana. “Kwangu mimi ilikuwa tofauti, niliamua kufanya kitu ambacho nimekuwa nikifundishwa tangu utotoni kupitia Mzee wangu, […]

Read More..

Rammy Gallis Achukia Kuitwa Kanumba Feki

Post Image

MAMBO vipi mpenzi msomaji wangu, kama ilivyo kawaida yetu ni kukupa wewe msomaji kitu roho inapenda kwa kuwa tunajua unapenda kujua maisha halisi ya mastaa wetu wa hapa Bongo. Leo aliyetupendezeshea ukurasa wetu ni muigizaji anayefananishwa na marehemu Steven Kanumba, Rammy Gallis anayeishi maeneo ya Chang’ombe jijini Dar. Ili kujua maisha yake halisi, twende pamoja […]

Read More..

Lulu Afunguka, Mama Kanumba Ajibu

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ anadaiwa kulinogesha bifu lake na mama wa aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegeo kufuatia posti yake ya hivi karibuni akiashiria kumtisha mama huyo. Lulu juzikati alitupia ujumbe mtandaoni akimjibu mmoja wa mashabiki wake aliyeuliza sababu ya yeye na mama Kanumba kutoiva ambapo aliandika: “…ni […]

Read More..

Odama Kuanza Mwaka na Filamu ya Mkwe

Post Image

Staa wa Bongo Movie, Jeniffer Kyaka maarufu kama Odama anakuja na movie yake mpya ya ‘Mkwe’. Odama ni miongoni kati ya wasanii wenye vipaji vya kuigiza kwenye kiwanda cha Bongo Movie. Mpaka sasa amefanikiwa kufungua kampuni yake ya production (J Film For Life) ambayo tayari ameshafanikiwa kupata deals kadhaa. Tarehe 25 ya mwezi huu wa […]

Read More..

Muda ukifika nitaongea – TID

Post Image

Baada ya KR kujitambulisha kuwa yeye ndiye Rais wa RADA Entertainment na Juma Nature kumpinga kwa kejeli akisema hamtambui Rais yoyote zaidi ya Rais Magufuli hatimaye TID anyoosha maelezo. T.I.D amesema muda ukifika watamuapisha rasmi KR Mulla kuwa Rais wa Radar Entertainment na kutoa sababu za kufanya kazi na KR Mulla katika label yake. Zaidi […]

Read More..

Shilole Alazwa Hospitali Baada ya Kuzidiwa ...

Post Image

Staa wa Bongo Movies na Bongo Fleva,  Shilole amelazwa hospitali baada ya kuzidiwa usiku wa jana.   Akiongea na Bongo5, Babalevo ambaye yupo katika hospitali aliyolazwa muimbaji huyo iliyopo Kinondoni, amedai kuwa usiku wa jana alichemka kiasi cha kukosa nguvu na kulazimika kupelekwa hospitali. Aliwekewa drip kushusha homa hiyo na madaktari wamemshauri apate muda wa […]

Read More..

Bi Kidude Kukumbukwa Unguja na Dar

Post Image

FILAMU ya maisha ya Bi Kidude inatarajiwa kuzinduliwa Aprili 16 visiwani Zanzibar katika Ukumbi wa ZanCinema mjini Unguja. Filamu hiyo pia itazinduliwa  Dar es Salaam Aprili 19 mwaka huu. Mwandaaji na mtayarishaji wa filamu hiyo, Andu Jones, alisema filamu hiyo itabeba ujumbe kuhusu maisha ya bibi huyo na kueleza kifo chake ikiwa katika lugha ya […]

Read More..

Kajala Amtolea Chozi ‘CK wa Wema’!

Post Image

Siku chache baada ya gazeti dada na hili, Risasi Jumamosi kuandika juu ya aliyekuwa kigogo wa msanii Wema Sepetu, Clement Kiondo ‘CK’ kunaswa akiuza mishikaki, tukio hilo limemliza shosti wa Wema, Kajala Masanja. Kumwaga chozi kwa Kajala kumetokana na maelezo yake kwamba, baada ya kuiona habari hiyo hakuweza kuamini kama kweli ni CK yule aliyewahi […]

Read More..

Ndauka Afungukia Mapenzi, Kampuni Yake!

Post Image

Leo kwenye safu yetu hii tunaye mwanadada Rose Ndauka ambaye amepotea kidogo kwenye sanaa ya uigizaji kutokana na kubanwa na kazi zake binafsi. Rose ameongea mengi alipokuwa akijibu maswali 10 aliyoulizwa na Mwandishi Wetu Hamida Hassan ndani ya ofisi yake iliyopo Mwenge jijini Dar. Unataka kujua alichofunguka? Fuatilia hapa chini. Ijumaa: Mambo Rose, mbona kimya […]

Read More..

Droo ya Nusu Fainali za ‘UEFA Champions L...

Post Image

Ratiba ya Nusu fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya imeshapagwa, kama inavyoonekana hapo chini Mechi za kwanza zinatarajiwa kuchezwa Aprili 26 na 27, mwaka huu kisha kurudiana Mei 3 na 4 ikiwa ni katika mchakato wa kuelekea kwenye fainali ya michuano hiyo itakayochezwa kwenye Uwanja wa San Siro jijini Milan nchini Italia mnamo Mei 28, […]

Read More..

Hemed PHD: Sitaacha Kujipodoa kwa Hofu ya W...

Post Image

MWIGIZAJI wa filamu na msanii wa Bongo Fleva, Hemed Suleiman ‘Hemedy PhD’, amesema kwamba hataacha kutumia vipodozi kwa kuwa humuweka nadhifu na humwongezea mvuto wa mwili wake. Hemed anayetamba na wimbo wake wa ‘Imebaki stori’, alisema vipodozi anavyotumia zaidi ni poda, lipshine na pafyum na hataacha kujiremba. “Sitaacha kujiremba kwa sababu kujiremba siyo kwa wasichana […]

Read More..

Bongo Movie Premiere: Shamsa Ford na Odama ...

Post Image

Ilikuwa ni siku ya jumatanowiki hii  ndani ya Escape One, pale Steps Entertaiment ilipokusanya wasanii wa Tanzania na Burundi katika uzinduzi wa filamu ya Najuta Shamsa na Mkwe ambayo imetengeneza na Odama. Wasanii waliokuwepo ni Dude, Jb, Rashid Mrutu, Faridi Uwezo, Omary Clayton, Rose Ndauka, Wastara, Shamsa Ford, Odama, Mussa Banzi na wengine kibaoooooo.

Read More..

Mr Blue Afunga Ndoa

Post Image

Staa wa muziki wa Bongo Fleva Kheri Sameer ambaye wengi tumemzoea kwa jina la Mr Blue, leo April 14 2016 hatimaye ameamua kufunga ndoa na mama wa watoto wake Waheeda. Mr Blue amefunga ndoa na Waheeda ambaye amezaa nae watoto wawili wa kwanza akiwa wa kiume na wa pili akiwa wa kike, Mr Blue amefunga […]

Read More..

Shamsa Ford: Simtaki Nay wa Mitego!

Post Image

Staa wa filamu Tanzania Shamsa Ford amesafisha hewa baada ya kuwepo kwa uvumi wa yeye na Nay wa Mitego kutamaniana kurudisha penzi lao.   Shamsa alifunguka yote hayo baada ya vyombo kadhaa vya habari na mitandao tofauti tofuti ya kijamii kuripoti kuwa Nay katika moja ya mahojiano aliyoyafanya hivi karibuni alisema kuwa anatamani kurudiana na […]

Read More..