-->

Author Archives: editor

Ishakua Soo Itamembeba Niva- Jimmy Mafufu

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa filamu ijayo hajaona msanii wa Bongo wa kumshirikisha kwani wasanii wengi ameshawashirikisha katika filamu zake nyingi na sasa anaangalia uwezo wa kuwatumia wasanii wakubwa kutoka . “Sioni tena msanii wa kumshirikisha filamu zangu za kiume maana katika filamu yangu […]

Read More..

Ukipata Mtu Kama Riyama Usichelewe Kumuoa &...

Post Image

Leo Mysterio ambaye ni mchumba wa malkia wa filamu nchini Riyama Ally amefunguka na kusema “unapopata mtu anayestahili kuwa mke usicheleweshe kufanya maamuzi ya kumuweka ndani”. Leo Mysterio amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kwa sasa tayari yeye amefanya maamuzi ya kuishi na Riyama na muda wowote kuanzia […]

Read More..

Naomba Shetta Usinirudishe Enzi za Mr Nice ...

Post Image

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip Hop nchini, Dudu Baya amemtaka Shetta kuacha kutumia jina la ‘Mamba’ kwani hiyo ni ‘aka’ yake ambayo amekuwa akiitumia kwa miaka mingi. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Dudu Baya alisema anaomba Shetta aache mara moja kutumia jina hilo ili yasije yakatokea kama ya Mr Nice. “Shetta ni kama mdogo […]

Read More..

Karibu Dar ya Wastara Yaja kwa Kasi

Post Image

FILAMU ijulikanayo kwa jina la Karibu Dar ipo tayari na sasa inaingia sokoni siku ya Jumatatu kwa kishindo sinema hiyo ambayo kinara wake ni Wastara Juma ‘Stara’ ni kazi nzuri na yenye stori ya kuvutia na inasambazwa na kampuni ya Splash Entertainment ya jijini Dar es Salaam.   “Sinema ya Karibu Dar inatarajia kuingia siku […]

Read More..

Familia ya Diamond Yalamba Mamilioni

Post Image

FAMILIA ya mkali wa Muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ imelamba mamilioni ya shilingi kufuatia mkataba walioingia hivi majuzi na kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom, Risasi Mchanganyiko lina ripoti kamili. Kwa mujibu wa chanzo kilicho ndani ya kampuni hiyo yenye mtandao mkubwa zaidi wa simu nchini, Diamond na familia yake […]

Read More..

Ommy Amjibu Ney Baada ya Kuambiwa ‘Jo...

Post Image

Msanii Ommy Dimpoz amejibu mapigo kwa Ney wa Mitego baada ya kumuimba kwenye wimbo wake, huku akimtuhumu eti rafiki zake hawamjui shemeji yao au huenda jogoo hawiki. Ommy Dimpoz amefunguka juu ya hilo na kumrushia makombora ya kutosha Ney wa Mitego, kwa kuandika kwenye ukurasa wake wa instagram na kuiita barua ya wazi kwa Neema […]

Read More..

Mazuri Yangu Chukueni na Mabaya Acheni-Shil...

Post Image

Msanii wa bongo movie na  bongo fleva Shilole amefunguka na kuwataka wadada kuiga iana ya maisha anayoishi kwa kuchukua mambo mazuri anayoyafanya na yale mabaya wayaache wasiyaige. Shilole amesema hayo kupitia Account yake ya Instgram ambapo alikuwa akiwataka vijana wasikate tamaa na wala wasikubali kukatishwa tamaa na binadamu bali wanapswa kumtegemea Mungu na kusimamia kile […]

Read More..

Riyama Ally ‘Mkegani’ Awachana Maproduc...

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Tanzania Riyama Ally anayetambulika kwa sasa kama malkia wa uswazi au Mkegani amewalalamikia watayarishaji wa filamu nchini kuwa wanachangia kwa kiasi kikubwa kuua vipaji vya wasanii hapa nchini. Wasanii wamekuwa wakijadiliwa na kukosolewa sana katika uigizaji wao na kutobadilika kuendana na husika wanazocheza katika filamu. Leo nimepata fursa ya kuongea na […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Kuhusu ‘Range’ Yak...

Post Image

Baada ya kuzagaa kwa taarifa katika mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya magazeti kuwa ile ‘Range Rover Evogue’ ya staa wa filamu, Wema Sepetu aliyojizawadi katika siku yake ya kuzaliwa imekamatwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa madai alikwepa kulipa kodi, Wema amesema gari yake ipo nyumbani kwake. Akizungumza na 255 katika kipindi […]

Read More..

ROMA Kuhalalisha Mahusiano Yake na Mama Iva...

Post Image

Msanii wa muziki Roma Mkatoliki ameamua kuhalalisha mahusiano yake na mama wa mtoto wake, akiwa sasa katika mchakato wa kuoa, mwishoni mwa wiki akikamilisha zoezi zima la send-off ya mpenzi wake huyo kuelekea harusi. Roma na Mama Ivan wamepata backup kubwa kutoka kwa msanii wa muziki Kala Jeremiah, ambaye alikuwa ndiye mpambe wa msanii huyo, […]

Read More..

Usharobaro Wamtokea Puani Stan Bakora

Post Image

Usharobaro umemtokea puani komediani wa Bongo, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’ baada ya kudondoka na kuumia mguu wa kulia wakati akifanya mazoezi ya kutumia Cyboard (Saibodi). Ishu nzima ilitokea wiki iliyopita katika moja ya duka la nguo lililopo Kinondoni, Dar baada ya kupiga mwereka wa kufa mtu na kujikuta akianguka kama mkungu wa ndizi kutoka juu […]

Read More..

Nilimpokea Sharomilionea kwa Mikono Miwili-...

Post Image

Msanii wa vichekesho Kitale alimaarufu kama Mkude Simba amefunguka na kusema kuwa yeye ndie aliyempokea aliyekuwa msanii wa vichekesho na msanii wa bongo fleva marehemu Sharo Milionea. Akipiga stori katika kipindi cha Mkasi Tv kinachorushwa kupitia ting’a namba moja kwa vijana (EATV) Kitale amesema kuwa yeye ndiye alimpokea Sharo Milionea na kumtambulisha kwenye tasnia, Kitale […]

Read More..

Wapuuzwe Wanaodai Tasnia ya Filamu Imekufa ...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ amewataka mashabiki wa filamu kuwapuuza watu wanaodai tasnia ya filamu imekufa baada Steven Kanumba kufariki. Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii, Ray alisema huu ni wakati kwa wadau wa filamu pamoja na mashabiki kusupport wasanii waliopo kwa nunua kazi zao. “Mimi nataka mashabiki wa filamu wajue hii tasnia […]

Read More..

Ukimtaka Shilole Andaa Mil. 20

Post Image

Amepanda dau? Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa bila mtu kuwa na kiasi cha Sh. Milioni 20 mkononi, hawezi kucheza filamu yake kwa kuwa kwa sasa anaona kama ni kumpotezea muda. Akipiga na Ijumaa Wikienda, Shilole au Shishi Baby alifunguka kuwa soko la filamu Bongo, linashuka na pia wasanii wanatumia muda mwingi […]

Read More..

Waandishi wa ‘Script’wanatuangusha – JB

Post Image

Msanii nguli wa filamu za kitanzania Jacob Steven maarufu kama JB, amesema kushuka kwa thamani kwa filamu za sasa hivi ukitofautisha na zile za zamani, kunasababishwa na waandishi wa hadithi kutofanya vizuri, na upungufu wa waongozaji wazuri. B ameyasema hayo alipokuwa akiongea na East Africa Television, na kusema kwamba filamu yoyote inatengenezwa na hadithi nzuri […]

Read More..

Shilole Hakuwa Mke Mzuri Kwangu – Nuh...

Post Image

Nuh ameyasema hayo alipokuwa akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo kinachorushwa na East Africa Radio, na kusema kwamba wakati yupo kwenye mahusiano na Shilole alishindwa kuonesha undani wake, ambao amekuja kuujua baada ya kuachana na penzi kuisha. “Baada ya mapenzi kuisha mi nimekuwa adui yake, amehack acount yangu ya instagram najaribu kuwacheki wa kurudisha acount […]

Read More..

Filamu ya Kiboko Kabisa Yaifunika Filamu za...

Post Image

ILE filamu kubwa ya Kiboko kabisa kila kona ni Kiboko kabisa inakimbiza Sokoni kila ukikutana na mpenzi wa filamu anasema Kiboko kabisa kwa utafiti uliofanywa na FC unaonyesha kuwa filamu hiyo imezifunika sinema zote toka kuanza kwa mwaka huu sambamba na filamu ya Chungu cha Tatu iliyotoka kabla ya Kiboko Kabisa. Kijana mmoja muuzaji maarufu […]

Read More..

Naepuka Kutumika Bila Faida – Lulu

Post Image

Staa wa filamu Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ amesema kama unamtaka kumshirikisha katika filamu yako, andaa milioni 15 kwani anaogopa kuendelea kutumika bila faida. Akizungumza katika kipindi cha Take One cha Clouds TV Jumapili hii, Lulu alisema tayari alishatengeneza jina kwa miaka mingi na sasa anahitaji pesa. “Kufanya filamu kwa milioni 15 sio hela nyingi, watu […]

Read More..