Nuh Mziwanda Abadili Dini, Amkacha Mke
Msanii wa muziki wa Bongo Flava, Nuh Mziwanda amethibitisha kurudi katika dini yake ya awali ya Ukristo na kutengana na mkewe. Kupitia XXL ya Clouds FM, Nuh ameeleza kuwa ni kweli alikuwa kanisani siku ya Jumapili kama taarifa zilivyozagaa katika mitandao mbalimbali kuwa ameonekana kanisani. “Nimerudi kwa Mungu wangu ili mambo yangu yaende vizuri maana […]
Read More..





