-->

Category Archives: BongoFleva

Zari Kuishi Kwenye Nyumba ya Ivan Au Diamon...

Post Image

KAMATI ya watu wanne walioteuliwa kushughulikia namna ambavyo mali za marehemu Ivan Ssemwanga zitasimamiwa, imempa mpenzi wa mkali wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz, Zari Hassan, moja ya nyumba za marehemu huyo iliyopo nchini Afrika Kusini ili aishi na watoto wake. Kwa mjibu wa mtandao wa Kenya moja, kamati hiyo iliwajumuisha Ritah Ssemwanga (dada wa Ivan), […]

Read More..

R.O.M.A Mkatoliki Karudi, Makamuzi Yanaende...

Post Image

RAPA kipenzi cha Watanzania, Ibrahim Mussa ‘Roma Mkatoliki’ amefunguka kuwa afya yake imeimarika na sasa yupo tayari kupanda jukwaani kukamua shoo kama kawaia yake. ROMA ameyasema hayo leo wakati akitoa neno la shukrani kwa uongozi na wafanyakazi wa Kampuni ya Glopbal Publishers kwa kuendelea kumsapoti, kufanya naye kazi, kuboresha mahusiano yaliyo mema na kumfariji hasa […]

Read More..

Peter Msechu Atangaza Kununua Nyimbo

Post Image

Msanii wa Bongo Fleva, Peter Msechu amesema kutokana na muziki wake kwa sasa kuhitaji mchango wa watu wengi ili kuwa bora zaidi amelazimika kutoa fursa kwa mashabiki wake kumuandikia nyimbo na kununua. Mwimbaji huyo ameeleza kuwa mtu yeyote mwenye wimbo mkali amtafute na wakae chini kuongea kwa ajili ya kupatana bei, lakini kiasi cha fedha […]

Read More..

Sitegemei Muziki Kuishi Mjini – Shetta

Post Image

Rapa anayewakilisha Ilala, Shetta ‘Baba Qayllah amefunguka na kudai kwamba haishi kwa kutegemea kufanya ‘show’ ndio maana maisha yake hajawai kuyumba hata kama asipotoa nyimbo kwa muda mrefu. Shetta amefunguka na kusema hizo hizo pesa anazokusanya kwenye muziki amewekeza kwenye biashara kubwa na ndogo ambazo zinamkimu yeye pamoja na familia yake na siyo ‘show’ za muziki […]

Read More..

Futari Zao Mbona Freshi Tu

Post Image

WAUMINI wa dini ya Kiislam kwa sasa wapo kwenye Mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani, moja ya nguzo muhimu katika imani ya dini hiyo. Hiyo ni nguzo ya nne kati ya nguzo tano ambapo waumini hujizuia kula na kunywa nyakati za mchana, sambamba na kujipinda kufanya ibada ili kufanya toba na kumwomba Mungu kuwafutia madhambi […]

Read More..

Huddah: Sitaki Kuolewa

Post Image

MWANAMITINDO maarufu nchini Kenya, Huddah Monroe, amefunguka na kusema kwamba hana mpango wa kuolewa katika maisha yake. Mrembo huyo ambaye hakauki mitandaoni, amekuwa akihusishwa kutoka na nyota wa soka wa timu ya Taifa ya Kenya na klabu ya Tottenham ya nchini England, Victor Wanyama, lakini amekuwa akikana taarifa hizo na sasa ametangaza kwamba hana mpango […]

Read More..

Shilole: Watoto Wangu Hawataiga Maisha Yang...

Post Image

MSANII wa muziki wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, amesema kwamba watoto wake hawataiga maisha wala mavazi anayovaa kwenye shoo zake wala maisha ya sanaa anayoishi kwa kuwa wanatambua yupo kazini kwa ajili yao. Shilole aliliambia MTANZANIA kwamba, malezi anayowalea watoto wake ni tofauti na maisha anayoishi yeye na watoto hao wanatambua kwamba mama yao […]

Read More..

VIDEO: Jay Moe Amkana T-Touch

Post Image

Msanii wa mkongwe wa ‘ hip hop’ mwenye hit ya ‘Nisaidie kushare’ Jay Moe amefunguka kwa kusema hawezi kusainiwa na mtu yoyote yule akidai yeye mwenyewe ana label yake ya So Famous na kuna wasanii wanamtegemea. Jay Moe amefafanua hayo baada ya kuenea tetesi zilizokuwa zikiwaaminisha watu kuwa huenda akasainiwa na Mr T-Touch ili aendelee […]

Read More..

Rose Mhando Ashililiwa Polisi Sababu ya Lak...

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili nchini, Rose Mhando anashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Singida kwa mahojiano kufuatia tuhuma zinazomkabili za kijipatia sh. 950,000 kwa njia ya udanganyifu. Kamanda wa Polisi mkoa wa Singida, ACP Debora Magiligimba amesema msanii huyo aliweka chini ya ulinzi Juni Mosi mwaka huu majira ya mchana wilayani Ikungi baada ya […]

Read More..

VIDEO: Siwezi Kumshirikisha Vanessa –...

Post Image

Msanii anayechipukia kutoka ‘Mdee Music’ Mimi mars amefunguka na kuweka wazi kwamba hataweza kushirikiana na dada yake Vanessa Mdee katika kuandaa kazi ya pamoja kwa kipindi hiki kwa sababu ya mashabiki zake bado wanashindwa kutofautisha sauti zao. Mars ambaye anafanya vizuri na wimbo mpya unaokwenda kwa jina la ‘Dedee’ amesema kwa sasa yupo kwe wakati […]

Read More..

Madam Flora Atoa Ujumbe Huu Kwa Wote

Post Image

Ikiwa leo ni mwezi mmoja na siku kadhaa toka msanii wa Injili Madam Flora kufunga ndoa kwa mara ya pili na mume wake Daudi Kusekwa baada ya kuachana na aliyekuwa mume wake Emmanuel Mbasha, Fora amefunguka na kuwataka watu kuwa na maamuzi binafsi. Msanii huyo amewataka watu kuwa na maamuzi binafsi kama wanataka kufikia ndoto […]

Read More..

Mume Wangu Awe na Hofu ya Mungu – Jokate

Post Image

Mrembo Jokate Mwegelo ameamua kuweka wazi juu ya mwanaume anayependa kuolewa naye na kuanzisha familia baada ya miaka mitano. Akizungumza na gazeti la Mwanachi Jokate ambaye ametajwa kuwa katika orodha la jarida la Forbes Africa la kuwa miongoni mwa vijana walio na umri chini ya miaka 30 wenye mafanikio mbalimbali kwa mwaka 2017. “Kusema kweli […]

Read More..

Nimepambana Mwenyewe Kufikia Hapa- Snura

Post Image

Muigizaaji na Mwimbaji, Snura Mushi mwenye ‘hit’ ya ‘Nionee wivu’ amesema kuwa mafanikio aliyonayo sasa ni kutokana na juhudi zake binafsi za upambanaji pasipo kumtegemea mwanaume yoyote kwenye maisha yake. Snura amebainisha hayo hivi karibuni alipokuwa akieleza ni namna ganii aliweza kupambana hadi kufikia alipo leo, huku akifafanua kwamba  baadhi ya watu kuwa na dhana iliyojengeka […]

Read More..

Msimpangie Beckham- Fid Q

Post Image

Farid Kubanda ‘Fid Q’ ameshindwa kuwavumilia wabongo wanaomtusi mwanasoka David Beckham aliyeko nchini Tanzania mapumzikoni, kwa kuwaambia wasimpangie kutangaza bali wamuheshimu mtalii huyo ambaye ametumia garama zake kufika nchini na siyo ufadhili. Fid Q amelazimika kufunguka hayo kwenye Stori tatu ya planet Bongo ndani ya East Africa radio baada ya watanzania kuanza kumshambulia mitandaoni mchezaji […]

Read More..

Christian Bella Hoi Nchini Congo

Post Image

King of the best melody, Christian Bella amelazwa hospitalini nchini Congo DRC baada ya kuugua ghafla. Bella aliwasili nchini humo takriban wiki ya mbili sasa akiwa pamoja na TID ambapo tayari ameshafanya show kadhaa nchini humo. Muimbaji huyo wa Malaika Band, ameweka picha katika mtandao wa Instagram akionekana amelazwa hospitalini huku akiwa ametundikiwa drip kitendo […]

Read More..

Wagosi wa Kaya na Mwanzo Mpya Katika Muziki

Post Image

WAGOSI wa Kaya ni moja ya makundi yaliyoweka historia mkoani Tanga wakitambulika na Kibao cha Tanga Kunani na baada ya hapo wakawashika mashabiki vilivyo na vibao vingine kama Wauguzi, Tajiri na Maskini, Pole, Trafiki, Kibaka Kaokoka na Taxi Driver. Kundi hilo linaloundwa na vichwa viwili, John Evans ‘Dk. John’ na Fredy Mariki ‘Mkoloni’ limefanikiwa kwa […]

Read More..

VIDEO: Jay Moe Amtetea ‘Mamu’

Post Image

Mkongwe ambaye bado anaonesha ubabe wake kwenye game Juma Mchopanga ‘ Jay Moe’ amtetea aliyekuwa msambazaji wa albamu za muziki wa bongo ‘Mamu’ na kusema kuwa hakuwahi kuwanyonya wasanii kama jinsi watu wanavyodai bali wezi walimzidi ujanja. Akizungumza kupitia eNewz ya EATV, Jay Moe amedai kuwa msambazaji huyo alizidiwa ujanja na baadhi ya maharamia wa kjazi […]

Read More..

Alikiba Uso kwa Uso na Davido

Post Image

Mfalme wa bongo fleva Alikiba mwaka huu ameamua kuzunguka duniani kukutana na mashabiki wake na kutanua wigo wa muziki, mwezi Julai anatarajia kuanza ziara yake katika bara la Ulaya ambapo ‘show’ ya kwanza ataipiga na mkali kutoka Nigeria Davido. Katika ‘show’ hiyo ambayo itawakutanisha Alikiba na Davido itafanyika Ubelgiji na baada ya hapo mkali huyo […]

Read More..