-->

Category Archives: BongoFleva

Matonya Ajigamba Kumbadilisha Gigy Money

Post Image

STAA kitambo kunako Muziki wa Bongo Fleva, Seif Shaban ‘Matonya’ amejitamba kumbadilisha tabia modo mwenye mbwembwe nyingi, Gift Stanford ‘Gigy Money’ kupitia wimbo wake wa Hakijaeleweka. Akizungumza na Global TV Online kupitia kipindi cha Exclusive, Matonya ambaye aliwahi kuwika pia na vibao kibao kama Teksi Bubu, Vaileth na Anita alisema kuwa, mashabiki wengi wa Gigy […]

Read More..

Emmanuel Mbasha Asema Bado Anamuhitaji Mke ...

Post Image

Mume wa mwanamuziki wa Injili Flora anayefahamika kwa jina la Emmanuel Mbasha amefunguka na kuweka wazi kuwa amekuwa akihangaika sana kuhakikisha mkewe huyo anarudi nyumbani na kuendelea kuishi kama zamani lakini jitahada zake zimegonga mwamba. Emmanuel Mbasha akiongea kwenye kipindi cha eNEWZ alisema kuwa toka mkewe huyo ameanzisha songombingo hilo yeye alikuwa anahitaji mambo hayo […]

Read More..

Young Killer Afunguka Ishu ya Joh Makini Ku...

Post Image

Msanii wa rap Bongo Young Killer amemdiss msanii wa Hip Hop Joh Makini kwenye ngoma yake mpya SINA SWAGA akidai kwamba anabebwa kisanaa. Akiongea kupitia eNEWZ Killer amesema aliamua kuwakilisha baadhi ya maneno ambayo yamekuwa yakiongelewa na wasanii wengi ikiwemo Chid Benz ambaye aliongelea kwenye media na  kutunga mistari inayoelezea jinsi gani Joh anabebwa kisanaa. Hata […]

Read More..

Diamond Akabidhiwa Bendera Kuiwakilisha Tan...

Post Image

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye leo January 14 2016 amemkabidhi nyota wa Afro Pop, Diamond Platnumz bendera ya Taifa ili kuiwakilisha nchi ya Tanzania kwenye ufunguzi rasmi wa mashindano ya Africa Cup of Nation (AFCON) yanayotarajiwa kuanza nchini Garbon hivi karibuni. Hafla hiyo fupi iliyofanyika kwenye Ukumbi wa Hoteli […]

Read More..

Ukweli wa Nuh na Shilole Mwanza, Huu Hapa

Post Image

Msanii Nuh Mziwanda ambaye bado anafanya vyema na wimbo wake ‘Jike shupa’ amekanusha tetesi za yeye kuwa pamoja na mpenzi wake wa zamani Shilole jijini Mwanza siku mbili hizi. Akiongea kwenye kipindi cha Planet Bongo, Nuh Mziwanda anasema ni kweli alimuona Shilole Mwanza kwenye club ambayo yeye alikuwa anafanya show na aliambiwa kuwa yupo pale […]

Read More..

Pacha’ wa Harmonize Aangua Kilio Stejini

Post Image

HARMORAPA, msanii chipukizi wa Bongo Fleva anayefanana sana kwa sura na msanii kutoka WCB, Harmonize kiasi cha kubatizwa jina la ‘Pacha wa Harmonize’, juzikati aliangua kilio stejini baada ya kukutana kwa mara nyingine na mkali huyo wa Ngoma za Matatizo, Aiyola na Bado, baada ya kupita muda mrefu bila kuonana. Tukio hilo ‘ameizing’ lilijiri juzikati […]

Read More..

Flora Mbasha Akataa Hadi Jina

Post Image

Msanii wa nyimbo za injili Flora Mbasha amesema swala la mahusiano na mapenzi ni ya watu wawili hivyo hataki kuweka wazi juu ya ishu yake ya kudai talaka. Akiongea kupitia eNEWZ Flora ambaye amesema anataka kuitwa madam Flora kwa sasa kwa kuwa maisha yake anayoyaishi kwa sasa yana amani na furaha hivyo anapendelea kuishi vile apendavyo […]

Read More..

Shilole Aendeleza Urithi wa Mama Yake

Post Image

UNAJUA biashara ya kupika inalipa kiasi gani? Muulize Zuwena Mohammed (Shilole), kwani kitu hicho ndicho kilichomfanya msanii huyo achukue biashara hiyo aliyokuwa akiifanya mama yake. Shilole aliliambia MTANZANIA kwamba, kama wasanii wasichana wangejua faida ya biashara ya chakula wangewekeza huko kwa kuwa inalipa licha ya kudharaulika na baadhi ya watu. “Naipenda biashara hii kwa kuwa […]

Read More..

Jay Moe: Wasanii Wanaokula ‘Unga̵...

Post Image

Msanii wa hip hop nchini Tanzania Jay Moe au wengine wanapenda kumuita kwa jina la mzee wa pesa madafu amekutana na camera ya eNewz na amezungumzia kuhusu swala la madawa ya kulevya ambalo limekuwa gumzo katika siku za karibuni. Gumzo hilo limekuwa kubwa hasa baada ya picha za aliyekuwa mshiriki wa Big Brother Africa kuonekana naye […]

Read More..

Rich Mavoko: Niko Tayari Kufanya Kolabo na ...

Post Image

LEBO ya Wasafi Classic Baby (WCB) licha ya kukusanya vichwa vya wasanii wakali lakini nyota ya Richard Martin ‘Rich Mavoko’, imeendelea kung’ara ambapo kwa sasa anamake ‘headline’ kwenye mitandao ya kijamii na vyombo vya habari kutokana na ngoma yake ya Kokoro aliyomshirikisha bosi wake, Diamond Platinumz. Ingawa ni miezi kadhaa tu tangu kuachiwa kwa Koko¬ro, […]

Read More..

Alikiba Atoa Ratiba ya Tour ya Marekani

Post Image

Muda mfupi baada ya kutangaza tour yake ya Afrika Kusini, itakayoanza mwezi ujao, mkali wa bongo fleva Alikiba, ametangaza ratiba ya tour nyingine ya Marekani. Mkali huyo atatumbuiza katika miji ya Las Vegas, Austin, Houston, Minneapolis na Minnesota. Ziara hizo zitaanza March 4 hadi April.

Read More..

Gigy Money, Lulu Diva, Amber Lulu… Bongo ...

Post Image

MFUMO dume uliminya vipaji vya watoto wa kike kuchanua kwenye Bongo Fleva na kufanya wawe bidhaa adimu licha ya kuwa na uwezo wa kufanya kile wasanii wa kiume wanafanya. Lakini mwaka 2016 tulishuhudia hali hiyo ikitoweka na wasanii wa kike wakiongezeka kwa kasi na wengine wakitoka kwenye tasnia za filamu na utangazaji na kuingia kwenye […]

Read More..

Sikumfukuza Young D – Max Rioba

Post Image

Aliyekuwa mlezi na meneja wa Rapa Young D, Maximilian Rioba amefunguka na kuweka sawa kuwa yeye hakumfukuza Rapa huyo nyumbani kwake bali alimwambia tu aondoke kwani walishindwana kibiashara kutokana na utovu wa nidhamu. Maximilian akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live alisema sababu kubwa iliyompekelea kushindwana kibiashara na Young D ni kutokana na msanii huyo […]

Read More..

Yamoto Band Watoka Mafichoni

Post Image

Mhe. Temba ambaye ni msanii na kiongozi wa kundi la Yamoto Band amefunguka na kuweka wazi mipango ya kundi hilo na kusema wapo tayari kuachia kazi mbili za Yamoto Band ndani ya siku mbili zijazo. Akizungumza na eNEWZ Mh Temba amesema alikuwa na mpango wa kuachia kazi yake lakini inabidi asubiri kwanza Yamoto Band watoe kazi […]

Read More..

Crazy GK: Serikali Iwachukulie Hatua Kali W...

Post Image

Rapper mkongwe nchini Tanzania King Crazy GK, ameshauri serikali kuwachukulia hatua kali watu wanaotumia dawa za kulevya nchini. “Marekani hawahudumiagi mtu mwenye madawa ya kulevya hata angekuwa anagalagala barabarani pale mpaka mwenyewe akajisahihishe na mgonjwa mwingine anahudumiwa bure kabisa,” rapper huyo amemuambia mtangazaji wa Ice Fm, Gami Deetz Alipoulizwa iwapo ni sawa kuwaacha wafe, GK […]

Read More..

Alikiba Kufanya Tour Nchini Afrika Kusini

Post Image

Mshindi wa tuzo ya mwanamuziki bora wa EATV Award 2016, Alikiba amefungua mwaka kwa kutangaza tour yake ya kimataifa. Muimbaji huyo ambaye mwaka 2016 ulikuwa mzuri kwa upande wake baada ya kuchukua tuzo 13 za kitaifa na kimataifa, tour yake itaanza February nchini Afrika Kusini. “Happy New Year. It’s time to meet my fans across […]

Read More..

Abby Skillz Ndiyo Msanii wa Kwanza Kusainiw...

Post Image

Msanii Abby Skillz aliyerudi rasmi kwenye muziki kwa wimbo wake Averina akiwa na Mr Blue pamoja na Alikiba amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii wa kwanza kusaini mkataba chini ya ‘Label’ ya msanii Alikiba inayofahamika kama ‘Kings Music’. Abby Skillz amesema hayo kupitia eNEWZ na kusema mpaka sasa label hiyo imeshasaini wasanii kama kumi […]

Read More..

Kalapina Akana Kutafuna Mamilioni ya Chid B...

Post Image

Msanii wa Hip Hop na mwanaharakati wa madawa ya kuleva Kalapina amekanusha tetesi za kutapeli milioni 50 zilizotolewa na wadhamini kwa ajili ya kumsaidia Chid Benz kuachana na madawa ya kulevya. Akiongea kupitia eNewz Kalapina amesema hakuna mtu yeyote aliyejitokeza na kutaka kumsaidia Chid Benz bali alijitolea na kupoteza pesa nyingi alivyokuwa anakwenda kumsalimia Chid Benz alipokuwa Soba House. Hata hivyo […]

Read More..