-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Wema Sepetu Apandishwa Tena Kizimbani Kisut...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Wema Sepetu amepandishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo na wenzake wawili, Matilda Abass na Angelina Msigwa ambao ni wafanyakazi wake wa ndani kwa kosa la matumizi na kukutwa na dawa za kulevya aina ya bangi lakini amekana mashitaka hayo yote. Mahakama imeahirisha kesi yake hiyo na itasikilizwa tena Julai […]

Read More..

Wolper Ataja Vitu Anavyovikumbuka kwa Aliki...

Post Image

Msanii wa filamu Bongo Jackline Wolper amefunguka mengi kuhusu Alikiba ambaye alikuwa mpenzi wake. Wolper amedai kuwa anakumbuka mambo mengi kutoka kwa mpenzi wake huyo, zaidi akikumbuka upole wake pamoja na unyenyekevu. “Mengi nakumbuka, kikubwa ni upole wake pamoja na unyenyekevu. Ni tofauti na wanaume wengine ambao nimewahi kukutana nao,” muigizaji huyo ameliambia gazeti la […]

Read More..

Shamsa Ford Apigia Saluti Wabongo wa Instag...

Post Image

Msanii wa filamu bongo, Shamsa Ford amefunguka mapya kwa kudai laiti watu wangekuwa wanaitumia vizuri mitandao ya kijamii basi wangekuwa wamefika mbali kimaendeleo lakini wamebakia katika kutengenezea mambo ya uongo tu. Shamsa amebainisha hayo kupitia ukurasa wake wa instagram baada ya kukerwa muda mrefu na watu wanaopenda kutumia mitandao ya kijamii kuanzisha mijadala ambayo haina […]

Read More..

Sitegemei Mwanaume Kufanya Kazi Zangu- Aish...

Post Image

AISHA Bui mwigizaji wa filamu wa kike amefunguka kwa kusema kuwa yeye katika kuandaa kazi zake za filamu hakuna mchango wowote anaotegemea kutoka kwa mwanaume bali ni kazi ya jasho lake hawezi kuandaa sinema yake na kusubiri hela kutoka kwa Pedeje. “Kazi ya utengenezaji wa filamu kwangu naichulia kama sawa na biashara nyingine, hivyo ninavyotengeneza […]

Read More..

Sura za Wanaume Hazinisumbui- Shamsa Ford

Post Image

MREMBO anayefanya vyema kwenye filamu nchini, Shamsa Ford, ameibuka na kuwataka wasichana wenye majina kuacha kuchagua wanaume wa kuwaoa kwa sura zao bali waangalie tabia zao. Shamsa alisema wasichana wengi wamekuwa na tabia ya kupenda wanaume kwa sura zao, lakini yeye anashauri waangalie tabia zao. “Natoa ushauri huu kwa wanawake wezangu hasa hao wanaojiona mastaa, […]

Read More..

Msanii Sio Malaika – Irene Uwoya

Post Image

Malkia wa filamu Bongo, Irene Uwoya amefunguka kwa kusema anachukizwa na tabia za baadhi ya mashabiki waliopo mitandaoni kushindwa kutoa ushauri kistaarabu na badala yake kuanza kuwashambulia kwa kuwatukana. Uwoya ameeleza hayo baada zile kelele za wasanii wengine kudai mashabiki zao ndiyo wamekuwa vinara katika kuwakosoa pindi wanapokuwa wame-post kazi zao hata muda mwingine maisha yao […]

Read More..

Irene Uwoya Ala Shavu la Ubalozi

Post Image

Staa wa bongo movie, Irene Uwoya amepata dili la kuwa balozi wa kampuni ya simu ya Itel. “Napenda ni mshukuru sana MUNGU wangu kwa kunipenda…natoa shukrani Zangu za dhati kwa viongoz wangu wa itel kwa kuniamini na kunichagua Kuwa balozi wao… Itel ni simu nzuri sana tena kwa wale wapenda self Kama mim hiii Ndio […]

Read More..

Wolper Awachana Wavaa Nusu Uchi (VIDEO)

Post Image

Mwigizaji Jacqueline Wolper amefunguka na kuwataka watu maarufu kujiheshimu na kuvaa nguo kulingana na mazingira kwani kuvaa nguo ambazo hazina staha inaweza kupeleka kukosa kazi au hata heshima yao kushuka. Wolper alisema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai japo hawakatazwi kuvaa nguo nusu uchi lakini si jambo jema, na kusema mtu unapovaa nguo za […]

Read More..

Bongo Movie Full Kutishana Tico Atumiwa Sms...

Post Image

KUFUATIA kuyumba kwa soko la filamu na kufanyika kwa mikakati mbalimbali ya kutafuta suruhu la kuokoa soko hilo lilopotezwa na filamu za nje, sasa wasanii na watayarishaji wameanza kutishana wao kwa wao ikiwa kuambiana watafapotezana katika tasnia ya filamu. Mmoja kati ya watayarishaji wa filamu Bongo Timoth Conrad ‘Tico’ aliposti katika ukurasa wake andiko na […]

Read More..

Wema Sepetu Ampa Pole Zari

Post Image

Muigizaji wa Filamu nchini Tanzania, Wema Sepetu ameshindwa kujizuia kwa kuonesha uchungu alioupata baada ya kusikia taarifa za msiba wa aliyekuwa mwanaume wa Zari ‘Ivan Semwanga’ na kumfariji mzazi mwenzake na marehemu Zari The Boss Lady. Wema Sepetu amesema ameumizwa na taarifa hizo huku akiwaonea huruma watoto wa marehemu ambao amewaacha wakiwa wadogo. “Broken hearted??? Rest […]

Read More..

VIDEO: Chadema awana Shukrani – Wolper

Post Image

Malkia wa filamu bongo, Jacqueline Wolper amefunguka sababu za kuacha kuendelea kuisapoti CHADEMA ni viongozi wa chama hicho kushindwa kuutambua mchango wake alioutoa wakati wa uchaguzi mkuu hali iliyomfanya ajihihisi mpweke na kama ametelekezwa . kiwa ni mara ya kwanza Wolper kufunguka ishu hiyo katika kipindi cha KIKAANGONI kinachorushwa kwenye ukurasa wa facebook EATV, amesema hajawai kuwa […]

Read More..

VIDEO: Wasanii Tupunguze Bata – Riyama

Post Image

Msanii wa filamu nchini Riyama Ally amefunguka na kutoa sababu kubwa zilizopelekea tasnia ya movie nchini kushuka kuwa ni pamoja na wasanii kudharau wamashabiki zao, kupuuza maoni ya watazamaji na kufanya vitu visivyoendana na jamii. Riyama alisema hayo kupitia kipindi cha Friday Night Live na na kuongeza kwamba ukiacha dharau ambazo mastaa wamekuwa wakionyesha kwa […]

Read More..

VIDEO: Kala Jeremiah Aumendea Urais

Post Image

Msanii wa hip hop ambaye anafanya vizuri na hit ya Wananduto Kala Jeremiah amefunguka na kusema hawezi kugombea ubunge kwani tayari ameshafanya kazi hiyo kwa miaka mingi na sasa anasubiri muda ufike aweze kugombea nafasi ya Urais. Mbele ya kamera za eNewz Kala amesema kuwa kwa muda mrefu ameshaombwa na wanasiasa mbali mbali pamoja na […]

Read More..

Kumbe Tatizo ni Kanumba

Post Image

KWA muda mrefu sasa kumekuwa na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na hata katika vinywa vya mashabiki wa filamu za Kitanzania wakibishana kuhusu tasnia ya Bongo Movie, wapo wanaoamini imekufa na wengine kupinga jambo hilo. Hata baadhi ya wasanii wa tasnia hiyo wenyewe wamegawanyika pia, kuna wanaamini ndio basi tena na wengine wakisema bado inaendelea […]

Read More..

Riyama: Bila Milioni Nne Hapana

Post Image

NGULI wa filamu Tanzania, Riyama Ally, amefunguka na kuweka wazi kuwa hawezi kucheza filamu ya kitajiri bila kulipwa Sh milioni nne. Akizungumza na MTANZANIA jana, Riyama alisema kiwango chake cha malipo kinatokana na filamu na vipande anavyopewa kucheza, hivyo hawezi kucheza filamu ya maisha ya kifahari bila kulipwa Sh milioni nne kutokana na ugumu wa […]

Read More..

VIDEO: Nimemsamehe Baraka – Nisha

Post Image

Msanii wa filamu za vichekesho Salma Jabu aka Nisha, amefunguka na kuweka wazi kuwa saizi amemsamehe msanii wa muziki wa bongo fleva Baraka The Prince ambaye aliachana naye mwaka jana na kutokea kumchukia sana. Nisha amesema hayo kupitia kipindi cha eNewz na kudai saizi ameamua kumsamehe kabisa kutoka moyoni mwake na kusema ameanza kuwa shabiki […]

Read More..

Amanda Hatishiki na Maneno ya Watu Haumwi n...

Post Image

MWIGIZAJI wa kike wa filamu Bongo Amanda Poshi amefunguka kwa kusema yupo salama kabisa kiafya wala hana tatizo lolote kutokana na muonekano wake kupungua kwake kutokana na mazoezi anayofanya kwa ajili ya afya yake anashangaa wale ambao wanamshangaa kupungua mwili wake. “Sitishiki na maneno ya wabaya wangu ambao wanahangaika kusambaza maneno na kunishangaa kwanini nimepungua […]

Read More..

NDANI YA BOKSI : Anguko la Bongo Movie lili...

Post Image

Inasemekana soko la filamu za Kitanzania linadoda kila uchao. Katika harakati la kuliokoa, Aprili 19 mwaka huu, wasanii wa filamu waliandamana na kufanya mkutano mkubwa kuwahi kuratibiwa. Hata hivyo, mkutano huo ulidhihirisha pia kuwa wasanii wenyewe hawajui nini hasa kiini cha kuanguka kwa tasnia yao. Kwa mfano wakati wakiandamana na kuimba vibwagizo vya “Hatutaki movie […]

Read More..