-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Waziri Nape Akutana na Wasanii wa Bongo Mov...

Post Image

DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amekutana na wasanii na wadau wa tasnia ya filamu nchini kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali kuhusu tasnia hiyo. Katika mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar, wasanii na wadau wa filamu wamelalamikia suala la wizi wa kazi zao ikiwemo […]

Read More..

Ray Kigosi: Chuchu Amenifanya Niitwe Baba, ...

Post Image

Hatimaye Staa wa Bongo Movies, Vicenti Kigosi ‘Ray’ amejitokeza na kumwagia pongezi mpenzi wake wa muda mrefu chuchu Hans kwa kumzalia mtoto. Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao wa Instagram, Ray amefunguka haya; Asante Mungu kwa kuniletea pacha wangu asante my lovely mzungu kwa kunipa heshima kubwa kunifanya niitwe baba, Mungu wangu wa haki asiyeshindwa na […]

Read More..

Riyama Aanza Mwaka kwa Kumpoteza Baba

Post Image

MWIGIZAJI wa kike mwenye jina kubwa na nyota Swahilihood Riyama Ali amefunguka kwa kusema kuwa mwaka huu umeingia kwake akiwa na majonzi baada ya kumpoteza baba yake mzazi Mzee Ali aliyefariki wiki mbili zilizopita jijini Dar es Salaam na kuzikwa huku Mjimwema Kigamboni. “Siku zote mandhila hayazoeleki hata huwe jasiri vipi unapompoteza mzazi lazima unaishiwa […]

Read More..

Lulu Anaweza Kuwa Mkulima – Mama Lulu

Post Image

MAMA wa mwigizaji, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila amefunguka kuwa kama si filamu, mwanaye angeweza kuwa mkulima kama yeye au mwandishi wa habari. Mama Lulu alifunguka hayo hivi karibuni baada ya mwanahabari wetu kumuuliza kuhusu kutoonekana kwa binti yake katika anga la filamu ndipo aliposema kuwa hakumzaa Lulu kuwa muigizaji na anaweza kufanya shughuli nyingine […]

Read More..

Kwa Sasa Hivi Naugulia Moyoni-Jacqueline Wo...

Post Image

Malkia wa filamu Jacqueline Wolper amedai kwa sasa anauguza majareha ya moyo aliyoyapata kutoka kwa aliyekuwa mpenzi wake wa zamani, Harmonize. Wiki moja iliyopita muigizaji huyo aliweka wazi kuwa hayupo tena kwenye mahusiano na muimbaji huyo wa wimbo ‘Matatizo’ kauli ambayo ilileta ukakakasi cha mashabiki wakidhani huwenda ikawa ni kiki. Jumamosii hii malkia huyo wa […]

Read More..

Mzee Majuto Amepanga Kufanya Mambo Haya Mat...

Post Image

Muigizaji wa filamu nchini mzee Majuto amefunguka na kusema kuwa mwaka 2017 amepanga kufanya mambo matatu ambayo yote anataka yaende pamoja. Jambo la kwanza ni kuhusiana na sanaa yake ambapo amepanga kwa mwaka huu wa 2017 kuhakikisha kazi zake za sanaa anazisambaza mwenyewe na kuachana na wasambazaji wengine. Mzee Majuto amesema jambo la pili katika […]

Read More..

Mafanikio ya Wema Sepetu Miaka 10 ya Ustaa

Post Image

SHINDANO lenye umri wa miongo miwili na tayari limeshatoa warembo kibao, lakini ukweli usio na shaka ni lile shindano la mwaka 2006 lililokuwa na mvuto wenye ladha iliyobeba msisimko wa kipekee. Ni fainali zilizompa Wema Sepetu heshima ya kuwa Miss Tanzania. Lakini pia ni mwaka ambao umewatoa mastaa wengi wa Bongo. Mbali na Wema, wapo […]

Read More..

‘Latifa Mwehu’ Kuingia sokoni Jumatatu

Post Image

Latifa Mwehu ni filamu inayowakutanisha wakali wa Bongo Movie, Aunt Ezekei, Stanley Nsungu, Swebe,Tea,Maya na Haji Adam itakayoingia sokoni jumatatu ya wiki ijayo. Sikuwahi kuwaza hata siku moja kama maisha yatakuja nibadilikia hivi,Nilijua kuoa ndio nia ya kuondoa maovu niliyopiti kumbe ndio kwanza nilimfungulia shetani njia ya kunishawishi zaidi .Pole sana mke wangu maana sikuwahi kuwa […]

Read More..

Lulu Afunguka Juu ya Alikiba na Ommy Dimpoz

Post Image

Msanii wa filamu nchini Lulu Michael ambaye wiki hii alikuwa akitangaza kipindi cha ‘NgazKwaNgaz’ alifunguka na kuweka wazi kuwa msanii Ommy Dimpoz na Alikiba ni watu ambao wamekuwa wakifanya vizuri kila wanapokutana. Lulu Michael alidai kuwa wakali hao wa bongo fleva wamekuwa wakifanya vyema kila walipokutana na kutengeneza kazi nzuri ambazo zinapendwa na watu.   […]

Read More..

Martin Kadinda: Wema Amebadilika Hadi Raha

Post Image

ALIYEKUWA Meneja wa Mrembo wa Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu, Martin Kadinda, amempongeza mwanadada huyo kwa kubadilisha mfumo wa maisha yake. Akizungumza na MTANZANIA jana, Martin alisema kitendo cha Wema kufuta picha zake kwenye mitandao ya kijamii na kubadili tabia za kuweka wazi maisha yake ni hatua ya kupongezwa. “Uamuzi alioufanya Wema ni hatua nzuri […]

Read More..

Ray Ashangaa Chuchu Kujifungua!

Post Image

KITUKO! Wakati pongezi za kufa mtu zikielekezwa kwa muigizaji Vincent Kigosi ‘Ray’ kupata mtoto wa kiume kwa mchumba’ke, Chuchu Hans, muigizaji huyo ameibuka na kushangaa watu wanaoeneza habari za kujifungua kwa Chuchu wakati si kweli kama amejifungua. Ray alitoa kioja hicho Alhamisi iliyopita wakati akizungumza na Risasi Jumamosi baada ya kupigiwa simu ili kumpongeza kwa […]

Read More..

Gabo Aushukia Mtandao Huu wa Kenya

Post Image

Muigizaji anayefanya vizuri katika tasnia ya filamu, Gabo Zigamba ameujia juu mtandao mmoja wa Kenya ambao umedai kuwa yeye ni raia wa Kenya. Muigizaji huyo baada ya kuona taarifa hiyo, kupitia instagram aliandika: Kinachoweza kuondoa makucha haya ya majirani ni film tuu. Film is the best method of propaganda spreading. Na ili tufikie hapo ni […]

Read More..

Ujauzito Feki wa Nisha Wamsababishia Haya

Post Image

Mcheza filamu maarufu katika soko la filamu Bongo Movie, Salma Jabu, maarufu kama Nisha Bebee amejipotezea uaminifu mtaani anapoishi na jamii nzima inayomzunguka kwa kitendo cha kuudanganya umma mwishoni mwa mwaka 2016. Nisha aliibuka na kudai kuwa ni mjamzito na ujauzito huo aliupata kutoka kwa mmoja wa wasanii wa Bongo Fleva kwa kubakwa. Habari ya […]

Read More..

JB Amvuta Muigizaji wa Zambia ‘Cassie’

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu na Mkurugenzi wa Jerusalem Film Company, Jacob Stephan ‘JB’ amemvuta muigizaji maarufu wa Zambia Cassie Kabwita kwa ajili ya kushiriki katika tamthilia yake mpya ya runinda iitwayo Jirani. King Cassie tayari ameshashiri filamu ya ‘Vita Baridi’ pamoja na ‘Mzee wa Swagga’ akiwa na JB. Wiki hii JB alikutana na muigizaji huyo […]

Read More..

Mama Kanumba: Huyu Ndiye Mrithi wa Kanumba,...

Post Image

DAR ES SALAAM: Wakati ikiwa inakaribia miaka mitano tangu  Aprili 7, 2012, ambapo aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, Steven Kanumba, alipoaga dunia, mama yake mzazi Bi. Flora Mtegoa ametembelea kaburini kwa marehemu mwanaye siku ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwake akiwa ameambatana na kijana aliyemuanika kuwa ndiye mrithi wa muigizaji huyo nambari one nchini. Katika makaburi […]

Read More..

Mzee Majuto Afunguka Kuendelea Kuigiza Mpak...

Post Image

Muigizaji wa filamu za vichekesho nchini Amri Athumani maarufu kama ‘Mzee Majuto’ ambaye mwaka jana aliwahi kutangaza kuacha uigizaji na kumrudia Mungu amefunguka na kusema kuwa ataendelea kuigiza mpaka anakufa kwa sababu uigizaji upo kwenye damu. Akiongea na EATV Mzee Majuto alisema kuwa yeye hawezi kukubali kuona fani inachezewa chezewa na watoto hivyo ataendelea kuigiza mpaka […]

Read More..

Katibu wa Bodi ya Filamu Bi. Fissoo Amtembe...

Post Image

KATIBU wa bodi ya filamu Tanzania Bi. Joyce Fissoo amemtembelea muandishi wa muswada mwenye kipaji cha ajabu Wankota Kapunda nyumbani kwao Mbezi kwa ajili ya kumtakia heri ya mwaka mpya na kubadilishana naye mawazo kufuatia maandalizi ya utayarishaji wa filamu na tamthilia inayoitwa Uaridi. “Mwaka mpya umeanza ni vema kuwaona wadau wetu na pia nimekuja […]

Read More..

Q Chief Amwagia Sifa Hizi Mpenzi Wake

Post Image

Msanii wa muziki Q Chief ameshindwa kuzuia hisia zake mtandaoni na kuamua kumwagia misifa mpenzi wake. Muimbaji huyo ambaye anafanya vizuri na wimbo Sungura, amedai mwanamke hiyo ni mwanamke wa pekee kutokana na uvumilivu wake. “Soon tunatimiza miaka miwili katika uhusiano wetu umekuwa mvumilivu mwenye hekima ni wanawake wachache sana dunia hii wenye moyo wa […]

Read More..