Waziri Nape Akutana na Wasanii wa Bongo Mov...
DAR ES SALAAM: Waziri wa Habari, Utamaduni, Vijana, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye amekutana na wasanii na wadau wa tasnia ya filamu nchini kwa ajili ya kujadili mambo mbalimbali kuhusu tasnia hiyo. Katika mkutano uliofanyika kwenye Ukumbi wa Habari Maelezo jijini Dar, wasanii na wadau wa filamu wamelalamikia suala la wizi wa kazi zao ikiwemo […]
Read More..





