-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Uchambuzi wa Bongo Movie Mwaka 2016 Part 1

Post Image

TAKRIBANI miaka 21 ya Tasnia ya Filamu Tanzania katika ukuaji wake tasnia  imekuwa ikukua kila mwaka na kupata mabadiliko mbalimbali, ndani ya miaka 16 sasa baada ya kuingia katika utayarishaji wa filamu kibiashara kumekuwa na mafanikio na changamoto nyingi, makala ya uchambuzi wa Tasnia ya filamu kwa mwaka huu 2016. Historia ya tasnia ya filamu […]

Read More..

Aunty Ezekiel Azipondea Filamu Alizocheza Z...

Post Image

Mrembo aliyekuwa kimya kwa muda mrefu katika uga wa Bongo Movie mwanadada Aunty Ezekiel amerudi kwa kishindo na kazi mpya ambayo imemfanya aziponde kazi zake za zamani kutokana na ubora wake.   Aunty aliyekuwa kwenye kipindi cha FNL cha EATV amesema movie ambayo amekuja nayo sasa ni ya viwango vya hali ya juu, na ina utofauti […]

Read More..

Aunt Ezekiel Afunguka Sababu ya Kutamani Ku...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Aunt Ezekiel amedai kuwa anatamani tena ajifungue mtoto wa kike kwa mara ya pili kwani watoto wa kike kuwa nao ni pesa. Akiongea kwenye kipindi cha Friday Night Live Aunt Ezekiel aliweka wazi kuwa watoto wa kike ni pesa ingawa hakutoa ufafanuzi ni pesa kwa namna gani lakini anasema anatamani ajifungue […]

Read More..

Shamsa Ford Kuzaa ‘Kijiji’

Post Image

WAKATI watu wa kada mbali-mbali wakielezea uwepo wa hali ngumu ya kiuchumi nchini, Muigizaji Shamsa Ford ambaye miezi michache iliyopita aliolewa, amesema anataka kuzaa watoto wengi (kijiji) wapatao saba, tena kwa haraka haraka. Akizoza na mwanahabari wetu, Shamsa alisema hivi sasa yupo katika harakati za kuusaka ujauzito kwa hali na mali, kwani licha ya mambo […]

Read More..

Calisah: Wema Sepetu Ana Mapenzi ya Kweli

Post Image

Mwanamitindo aliyejipatia jina mwaka huu kutokana na kuwa na uhusiano wa muda mfupi na Wema Sepetu, Calisah, amemwelezea muigizaji na Miss Tanzania huyo wa zamani kuwa ni msichana mzuri na mwenye mapenzi ya kweli. Calisah ameiambia Bongo5 kuwa Wema ni msichana wa pekee. “Wema ni msichana mzuri, ana upendo, ni mwelewa, ana mapenzi ya kweli, […]

Read More..

Gabo: Mtindo wa Maisha Yangu ni Tofauti na ...

Post Image

Msanii Gabo Zigamba ameweka wazi kuwa hana tofauti na wasanii wenzake kama ambavyo imekuwa ikilalamikiwa na wengi kuwa msanii huyo haelewani na wenzake. Akizungumza na East Africa Television, Gabo amesema kinachomfanya aonekane ana tofauti na wasanii wenzake ni utoafuti wa mtindo wa maisha alionao, lakini hana tatizo nao na anawapenda kwa dhati. “Hakuna msanii ambaye […]

Read More..

Filamu ya Naomba Niseme Yachaguliwa Tuzo Ku...

Post Image

FILAMU bora kabisa ya Naomba Niseme iliyotayarishwa na Staford Kihore imeendelea kufanya vizuri katika tuzo mbalimbali na matamasha baada ya kuchaguliwa kwa mara nyingine katika tuzo kubwa Afrika za African Magic Viewers Choice Awards 2017, sinema hii fupi inapambana na filamu za watayarishaji wengine wakubwa. Historia inaonyesha kuwa filamu nyingi ambazo zimekuwa zikipenyeza katika matamasha […]

Read More..

Mwaka Huu Nilitingwa na Masomo-Lulu

Post Image

Msanii  wa bongo movie Lulu ambaye alipata nafasi ya kutoa tuzo ya  muigizaji bora wa kike kwenye tuzo za EATV ya mwaka huu amesema hakuweza kushiriki katika tuzo hizo kwa kuwa 2016 haukuwa mwaka wake wa kazi na kwamba alikuwa ametingwa na masomo. Hata hivyo Lulu amesema kwa mwakani 2017 atakuwa nje ya masomo  hivyo mashabiki zake […]

Read More..

Burundian In Dar Kutikisa Afrika Mashariki

Post Image

USHIRIKIANO wa wasanii wa Tanzania na Burundi inatabiriwa kufanya vinzuri sokoni kufuatia umahiri wa wasanii waliocheza katika filamu ya Burundian in Dar, akiongea na FC mtayarishaji wa sinema hiyo Sururu Jafar ‘Burundiano’ amesema kuwa kazi hiyo imekutanisha wasanii nyota Burundi na Tanzania. “Tunatarajia kutikisa Afrika Mashariki na filamu yetu kwani ni kazi ambayo inatukutanisha wasanii […]

Read More..

Chuchu Afungukia Kuficha Ujauzito Wake

Post Image

Msanii wa filamu za bongo Chuchu Hansy amezungumzia sababu ya ujauzito wake na kusema kuwa hajataka kuweka hadharani kwani ni kitu binafsi.   Akizungumza na East Africa Television, Chuchu Hansy amesema taarifa za yeye kuwa na ujauzito ameamua kufanya siri kwani anaona si vyema kuzungumzia vitu binafsi hadharani hususani kwenye mitandao, na kwamba muda muafaka […]

Read More..

Wasanii Bongo Movie Wana Mgando wa Mawazo &...

Post Image

Meneja wa muigizaji bora wa kike Afrika Mashariki Chuchu Hansy amesema wasanii wengi wa Tanzania wana mgando wa mawazo na ndiyo maana wanashindwa kufikiria mbinu mpya za kufanya kazi zao, na kubaki na movie zenye part (sehemu) kibao. Meneja huyo alitoa kauli hiyo baada ya kupokea tuzo kwa niaba ya Chuchu Hansy kwenye Tuzo za […]

Read More..

Gabo Ajifananisha na Trump

Post Image

Muingizaji wa Bongo Movie Gabo ambaye alishinda tuzo mbili usiku wa EATV AWARD ikiwemo tuzo ya muingizaji bora wa kiume na filamu bora ya mwaka amesema anajiona kama Donald Trump baada ya kushinda tuzo hizo.   Akipiga story ndani ya eNewz, Gabo amesema anaamini kwa sasa ni wakati wake na matumizi sahihi ya akili ndo yanaweza kukupeleka popote unapotaka […]

Read More..

Kajala Afunguka Haya Kuhusu Yeye na Petit M...

Post Image

Hapo zamani za kale, Kajala Masanja na Petit Man walikuwa wapenzi. Infact, wakati Kajala yupo jela, Petit alikuwa kama malaika wake aliyetumwa na Mungu kwakuwa alimhudumia kwa kiasi kikubwa. Lakini baadaye kila mmoja aliendelea na maisha yake ikiwemo Petit kumuoa dada yake Diamond, Esma. Lakini siku za hivi karibuni, wawili hao wameonekana kuwa karibu tena […]

Read More..

Duma Awapongeza Gabo na Chuchu Hansy kwa Ku...

Post Image

Muigizaji wa filamu wa kiume Daudi Michael au Duma amempongeza muigizaji mwenzake Gabo Zigamba ambaye alikuwa naye kwenye kinyang’anyiro kimoja, na kuibuka na ushindi wa muigizaji bora wa kiume EATV AWARDS, huku akijipanga kupambana zaidi. Kwenye ukurasa wake wa Instagram Duma ameyaandika haya kuhusu ushindi wa Gabo Zigamba. Pia Duma alitumia fursa hiyo kumpongeza muigizaji […]

Read More..

Tunahitaji Ukombozi Kisanaa- Mwenyekiti wa...

Post Image

WENYEKITI wa Chama cha Wanawake wa Tasnia ya Filamu Tanzania (CWTF) Vanitha Omary amesema kuwa baada ya kuwa kwenye tasnia kwa muda mrefu wamekaa na kutafakari na kuamua kuanzisha chama kinachoshirikisha wasanii wa kike katika kuleta maendeleo na ukombozi kisanaa. “Sisi kama wasanii wa wanawake jamii inatutegemea katika mambo mengi hivyo lazima tuwe na umoja […]

Read More..

Orodha ya Washindi wa EATV AWARDS 2016

Post Image

Historia imeandikwa kwenye tasnia ya sanaa nchini ambapo kwa mara ya kwanza tukio la utoaji wa tuzo za #EATVAwards kwa wasanii wa muziki na filamu Afrika Mashariki, limefanyika usiku wa jana katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es salaam. Tuzo hizo zilizoandaliwa na East Africa Television Ltd, zimekuwa za kwanza Afrika Mashariki, ambapo wasanii […]

Read More..

Mungu Mwenyewe Atakuja Kuinusuru Tasnia ya ...

Post Image

Msanii wa filamu Salim Ahmed aka Gabo Zigamba amedai hakuna msanii wa filamu ambaye ataweza kuinusuru tasnia ya filamu kutokana na wasanii wa filamu kukosa umoja. Alisema hayo wiki hii wakati alipowatembelea wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (Kampasi ya Mlimani) na kuzungumza nao mambo mbalimbali pamoja na kuwaeleza changamozo zinazoikabili tasnia ya […]

Read More..

Idris Kukimbiza na ‘Karibu Kiumeni’ Bon...

Post Image

MSHINDI wa shindano la Big Brother Idris Sultan ametamba kwa kusema kuwa kipaji chake ni kikubwa sana katika fani nyingi lakini kwa upande wa uigizaji anaamini kuwa yupo vinzuri sana na ameingia rasmi kwa ajili ya kuwapoteza nyota waliopo katika tasnia ya filamu kwani anajiamini na ana uwezo mkubwa katika uigizaji na ameingia rasmi kupitia […]

Read More..