Uchambuzi wa Bongo Movie Mwaka 2016 Part 1
TAKRIBANI miaka 21 ya Tasnia ya Filamu Tanzania katika ukuaji wake tasnia imekuwa ikukua kila mwaka na kupata mabadiliko mbalimbali, ndani ya miaka 16 sasa baada ya kuingia katika utayarishaji wa filamu kibiashara kumekuwa na mafanikio na changamoto nyingi, makala ya uchambuzi wa Tasnia ya filamu kwa mwaka huu 2016. Historia ya tasnia ya filamu […]
Read More..





