-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Hemed PHD Afunguka Kuwazimia Wanawake wa Ai...

Post Image

Star wa bongo movie na bongo fleva kutoka Bongo Hemed PHD a.k.a Fernando Papi ametamka wazi kuwa anapenda kutoka kimapenzi na mijimama kuliko wasichana wembamba Akizungumza na Enewz Hemedi alisema kuwa yeye hana chaguo la wanawake wembamba na alishajaribu kuwa nao lakini alishindwa na kuwataka aina hiyo ya wanawake kukaa mbali naye. “Mimi sipendi mwanamke […]

Read More..

Ray Anafanya Movie Rwanda, Muigizaji Pekee ...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Vicent Kigosi amefunguka na kusema kuwa yeye ni msanii pekee kutoka Tanzania ambaye amechaguliwa kushiriki katika filamu inayounganisha nchi mbili ya Rwanda na Tanzania.   Ray Kigosi kupitia mtandao wake wa kijamii aliandika kuwa kwa nafasi aliyopata hawezi kuwaangusha watanzania kwani yeye amekwenda kuwaonyesha kazi. “Nipo nchini Rwanda nimekuja kushoot movie […]

Read More..

Kwa Mara ya Kwanza Bongo Movie Kuonyeshwa K...

Post Image

Filamu ya Nimekosea wapi? Itakuwa ni filamu ya kwanza kufungua njia kuonyeshwa katika jumba la sinema la Suncrest Cineplex Cinema lilopo Quality Centre  jumatano hii. Ni muendelezo wa Bongo Movie Premiere, ambapo mastaa na mashabiki wa filamu wanapata fursa ya kuitazma filamu kabla ya kuingia sokoni. Akiongea na FC muandaaji wa filamu hiyo ya Nimekosea […]

Read More..

Shamsa: Siwezi Kumhukumu Nay

Post Image

STAA wa Bongo Muvi, Shamsa Ford kwa mara ya kwanza ameibuka na kuiongelea Ngoma ya Shika Adabu Yako iliyoimbwa na Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ kuwa kamwe hawezi kumhukumu Nay kwa maneno aliyoimba. Akigonga mbili-tatu na Showbiz, Shamsa aliyewahi kubamba na Filamu ya Chausiku alisema kuwa aliusikia wimbo huo uliowachana mastaa wengi wa Bongo Muvi […]

Read More..

Irene Uwoya Atoa Wito Huu Kwa Wasanii Wenza...

Post Image

MKALI wa filamu nchini, Irene Uwoya, amewataka wasanii wenzake hasa wanawake kujituma katika kazi nyingine kama vile biashara ili kuweza kujikomboa kimaisha. Irene amesema wasanii wengi wanategemea sanaa ili kuweza kuendesha maisha yao, lakini wanatakiwa kufanya mambo mengi ili kuweza kujiingizia kipato. Akizungumza na MTANZANIA jana alisema yeye ana ofisi ambayo inajishughulisha na ushonaji wa […]

Read More..

Picha: Party ya Kiss By Wema Sepetu Usiku w...

Post Image

Mrembo na staa wa Filamu nchini Tanzania Wema Sepetu alikutana na watu wake Usiku wa jana May 7 2016 kwenye Kiss By Wema Sepetu Party. Hizi ni baadhi ya picha za tukio zima. Picha na Millard Ayo

Read More..

Brother K Aongelea Filamu ya Kirungu Kutoka...

Post Image

MCHEKESHAJI mahiri kutoka kundi la Futuhi Andrew Ngonyani aka Brother K amefanya tour katika vyombo vya habari kanda ya Ziwa akiinadi filamu ya Kirungu ambayo inasambazwa na kampuni mpya kabisa ya Vision One Picture kutoka Dar es Salaam, huku akitamba kuwa filamu hiyo si ya kuikosa. Brother K akiongelea sinema ya Kirungu kupitia Redio Free […]

Read More..

Ray Awaasa Vijana Juu ya Hili

Post Image

Msanii wa filamu nchini Ray Kigosi amefunguka na kusema kuwa yeye furaha yake ni kuona vijana wenzake wakifanikiwa na kupiga hatua kimaendeleo. Ray Kigosi amewaasa vijana wenzake kuwa wasikae wakategemea kuwa viongozi wa siasa wanaweza kuja kuwabadilishia maisha yao bali amewataka kuwa na jitihada binafsi kwani huo ndiyo msingi mkubwa wa mustakabali wa maisha yao. […]

Read More..

Riyama Afunguka Kutomsamehe Mtu Huyu kwa Ku...

Post Image

MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Bongo Riyama Ali amelalamikia madalali wa kazi za wasanii kwa kuwa chanzo cha dhuluma kwa wasanii wanaotengeneza filamu, huku wao wakijinufaisha na jasho lao akiongaea na FC Riyama amedai kuwa ametapeliwa kazi yake ya Kajala. hajui jinsi gani umepata fedha hadi kuunga unga na kutoa filamu bila ya huruma […]

Read More..

Pichaz: Wema Sepetu Aja na Mradi Mpya ‘We...

Post Image

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, ameanzisha mradi mpya alioupa jina ‘Wema na Jamii’ ambapo ameanza kuzunguka kwenye shule mbalimbali jijini Dar es Salaam kuongea na wanafunzi na kuwapa vitu mbalimbali. Yeye mwenyewe anasema #WemaNaJamii #MkonoWaBaraka #MtotoWakoNiWangu. Tazama picha hizo chini. Bongo5

Read More..

Madee Afunguka Undani wa Wimbo wa ‘H...

Post Image

Msanii Madee amefunguka undani wa wimbo wa ‘Haya Yote Maisha’ wa Producer P Funk Majani ambao ameimba yeye, wimbo ambao ulishika chati na kugusa hisia za watu wengi. Akiongea kwenye Planet Bongo ya East Africa Radio, Madee amesema wimbo huo ni historia ya kweli ya P Funk na mwanamke ambaye ndiye mama wa mtoto wake […]

Read More..

Bodi ya Filamu Yasitisha Usambazaji wa “I...

Post Image

Bodi ya Filamu Tanzania imesitisha usambazaji wa filamu ya “Imebuma” mpaka pale maudhui yake yatakapofanyiwa marekebisho. Akisitisha usambazaji wa filamu hiyo, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu Tanzania Bi Joyce Fisso amesema mtengenezaji wa filamu hiyo hana kibali cha kutengenza filamu kutoka Bodi ya Filamu na hajazingatia Sheria na kanuni za utengenezaji wa filamu. Bi […]

Read More..

Nimekosea Wapi? Kuonyeshwa Suncrest Quality...

Post Image

FILAMU kubwa ya kitanzania ya Nimekosea wapi? ya mtayarishaji na mwigizaji mahiri Swahilihood Salum Saleh ‘Fizo’ itakuwa ni filamu ya kwanza kufungua njia kuonyeshwa katika jumba la sinema la Suncrest Cineplex Cinema lilopo Quality Centre wiki ijayo. Akiongea na FC Fizo amesema kwake ni bahati kubwa sana kupata nafasi hiyo kwa filamu yake kuwa ya […]

Read More..

Ving’amuzi Vinaua Bongo Movie – Chekibudi

Post Image

Star wa Bongo movi Chekibudi anaumizwa moyo na ving’amuzi kutokana na kwamba ni moja kati ya vitu vinavyoua kwa kasi soko lao la filamu. Akizunguma na Enewz Chekibudi alisema kuwa ving’amuzi vingi vimetoka kwa sasa na vinaonesha filamu mbalimbali kitu kilichopelekea mauzo ya kazi zao kushuka. “Sisi tulipotea pale tulipouza kazi zetu badala ya kuuza […]

Read More..

Hii Ndiyo Idadi ya Filamu Zilizokamatwa na ...

Post Image

Katika hatua za kupamba na kazi za filamu ambazo zinaingizwa nchini kinyume na sheria na kuikosesha serikali mapato, Bodi ya Filamu tayari imekamata zaidi ya kazi za filamu 656,000 ambazo zimeingizwa nchini kinyume na sheria. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu nchini, Joyce Fisoo alisema wao kama bodi ya filamu […]

Read More..

Snura Afungiwa Kufanya Kazi za Sanaa

Post Image

Serikali imezuia wimbo na video ya ‘Chura’ ya msanii kupigwa kwenye chombo chochote cha habari maeneo ya wazi na kwenye kumbi mbali mbali na Snura amefungiwa kufanya maonyesho yoyote ya wazi. Tamko hilo limekuja mara baada ya TCRA, BASATA na Wizara ya habari, Bodi ya filamu kukaa na Bi Snura kwa kubaini kuwa wimbo una […]

Read More..

Mwanaher: Nipo Vizuri Kila Idara Mwanaher, ...

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa kike Mwanaher Afcely anayefanishwa na mwigizaji wa kike Swahilihood Riyama ametamba kwa kusema kuwa hajivunii kufanana na Riyama bali ni uwezo wake katika uigizaji kwani anafanya vizuri na hata wengine wanashindwa kumtofautisha na Riyama kwa kuigiza kwa ufasaha. “Nipo kikazi zaidi na unajua kama unafananishwa na msanii mwenye uwezo mkubwa ni […]

Read More..

Nape Kutumbua Majibu 4 Ambayo Yataibadili B...

Post Image

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisitiza kwamba Serikali itatunga sera ya sekta hiyo katika mwaka wa fedha 2016/17. Nape aliyataja mambo hayo na kuyafananisha na majipu kuwa ni uporaji wa kazi […]

Read More..