-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Mzee Majuto Afungukia Kuacha Kuigiza, Amrud...

Post Image

Mzee majuto ambaye amejipatia umaarufu sana kwa uigizaji hususani katika Comedy ametoa kauli rasmi kuwa kwa sasa ameamua kuachana na kazi hiyo ya uigizaji na sasa kumtumikia Mungu na kuomba asamehewe makosa kwa yale aliyotenda nyuma. Mzee Majuto amesema kuwa kwa sasa anaamini anaweza kuishi bila kutumia kipaji chake hicho cha ugizaji na muda huu […]

Read More..

Uwoya Hapendi Kutaja Gharama ya Vitu Vyake

Post Image

MSANII wa filamu za nchini, Irene Uwoya, amefunguka na kusema hapendi kuweka wazi mambo yake binafsi kama ilivyo wasanii wengine. Msanii huyo alisema kuwa kuna baadhi ya wasanii ambao wanapenda kuweka kila kitu chake ambapo haina maana yoyote kwa jamii. Akizungumza na MTANZANIA, msanii huyo alisema anapendelea kufanya mambo yake kwa siri na sio kuweka wazi kwenye […]

Read More..

Lulu: Mastaa Mtaishia Kuchambana Insta

Post Image

ZA uso laivu! Staa mwenye mvuto Bongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa mastaa wengi Bongo wataishia kuchambana kwenye mtandao wa kijamii wa Instagram badala ya kutafuta elimu ili siku moja wapate nyadhifa serikalini. Akizungumza na Ijumaa Wikienda, wikiendi iliyopita, Lulu alisema kwamba, amegundua kuwa elimu ndiyo kila kitu hivyo amewasihi mastaa wenzake waache kuchambana na […]

Read More..

Lamata Ataka Waongozaji wa Filamu Wapewe Um...

Post Image

LEAH Mwendamseke ‘Lamata’ anasema kuwa tasnia ya filamu ina changamoto kubwa sana hasa pale ambapo unakuta watayarishaji wanawatambua na kuwapa nafasi wasanii kuliko hata waongozaji, waandishi wa muswada au watendaji wengine katika tasnia ya filamu. Inashangaza sana sisi ambao ndio watendaji wakuu hatuthaminiwi kama wasanii wanaonekana katika kamera lakini hakuna msanii mnzuri bila Director au […]

Read More..

Riyama Ally Amefungukia Maumivu Aliyoyapata...

Post Image

Staa wa Bongo Movies, Riyama Ally aelezea maumivu aliyoyapata kipindi alichopoteza mtoto. Akizungumza na gazeti la mwanaspoti, Riyama anafichua kuwa mwaka 2000 aliwahi kupata mtoto akafariki, baada ya hapo alikuwa anatamani kubakia mpweke siku zote kwa sababu ya simanzi aliyopata. “Maumivu niliyosikia kwa kumpoteza mtoto wangu yule, ilinifanya nitamani kuwa mpweke tu, lakini kwa vile […]

Read More..

Niva Atoboa Sababu ya Nay wa Mitego Kuachwa...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Niva Super Mariyoo, ambaye alionja joto ya jiwe kwa muda fulani baada ya kutajwa kwenye wimbo wa Nay wa Mitego ‘Shika adabu yako’ na kusema “Huyo msanii huyo hana hata chumba cha kupanga ila anaishi kwenye gari”. Niva amefunguka na kusema kuwa Nay wa Mitego siku zote huwa anaimba watu maarufu […]

Read More..

Wolper Afungukia Kutokuvaa Nguo za Kiume Kw...

Post Image

Mwigizaji kutoka kiwanda cha filamu bongo, Jacqueline Wolper amesema mchumba wake ndiye sababu iliyomfanya apunguze kuvaa nguo za kiume. Akiongea kwenye kipindi cha Nirvana, kinachoruka kupitia EATV, Wolper alisema ‘nilikuwa navaa vile kutokana na wakati ule, sasa hivi nimeshakuwa na mchumba’. “Nilikuwa navaa vile kutokana na wakati ule ulivyokuwa. Kuna watu walikuwa wanapenda, lakini sasa […]

Read More..

Nilipenda Sana Ugomvi Utotoni-Riyama

Post Image

Staa wa filamu nchini, Riyama Ally amesema wakati akiwa mdogo alikuwa anapenda sana ugomvi. Akizungumza na gazeti la Mwanaspoti Alhamisi hii, Riyama alisema wakati huo watu mtaani kwao walikuwa wanamuogopa. “Utotoni nilipenda sana ugomvi, yaani mtu asinichokoze ninaye huyo yaani nilikuwa napenda kupigana na kuingilia ugomvi hata kama haunihusu kiasi mtaani walikuwa wananiogopa, kitu ambacho nikikumbuka […]

Read More..

Pete ya Uchumba Siyo Kigezo Kuwa Utaolewa- ...

Post Image

Msanii wa filamu nchini Jackline Wolper amesema kwamba siyo vizuri kuzungumzia masuala ya mchumba kwenye vyombo vya habari au kujitangaza sana kwani mtu unaweza kuishia kwenye kuvishwa pete ya uchumba tuu.   Wolper amefunguka hayo katika kipindi cha Nirvana kinachorushwa na EATV ambapo mtangazaji Deogratius Kithama alitaka kujua kwa undani kuhusu mwanadada huyo mrembo ni […]

Read More..

Faiza Ally Kuanzisha Biashara ya Vichupi Vy...

Post Image

Msanii wa filamu ambaye haishi vituko, Faiza Ally ameamua kuja kivingine kwa kuanzisha biashara mpya ya chupi za kuogolea. Kupitia ukurasa wa instagram, Faiza ameandika: Haya wapenzi wangu mimi#wapenzi wa beach# nawaletea chupi nzuri za kuogelea #swimming dress za wakubwa #watoto #wanaume na wanawake kaeni tayari kupendeza # beach mwenzie vichupi ama vepe ?? #Look […]

Read More..

Kitazame Kipindi cha SCARS Ndani ya StarSwa...

Post Image

Maisha ya binadamu ni safari ndefu  tunayoweza kufananisha na barabara yenye milima na mabonde na vikwazo vingi sana. Vikiwazo na matatizo hayo hupelekea kutoa uhai kama si kuhatarisha maisha . Haya yote utayakuta ndani ya StarSwahili.Ni  matukio ya kweli  na Halisi yatakayo gusa hisia zako na kukufunza.Kujua zaidi. Angalia Trailer hapa https://www.facebook.com/TZStarTimes/ https://www.instagram.com/startimestz/

Read More..

Hawawezi Kunikatisha Tamaa- Tico

Post Image

MTAYARISHAJI na muongozaji wa filamu kimataifa Timoth Conrad ‘Tico’ anasema hajakatishwa tamaa na atatangaza nchi kwa kufanya kazi zake kiweledi na kujivua Tanzania kwani anaipenda nchi yake na kupitia filamu amekuwa balozi mzuri kupeperusha bendera. “Hapa nyumbani kuna watu hawajui mchango wa mtu mwingine na hasa sisi ambao hatuonekani katika runinga lakini kitu kingine ni […]

Read More..

Dotto Kufanyiwa Movie Premiere Leo, Escape ...

Post Image

FILAMU ya Dotto ya mwanadada Irene Paul leo siku ya jumatano ya tarehe 27.April .2016 inatarajiwa kufanyiwa Premiere katika event iliyopewa jina la Bongo Movie Premiere katika ukumbi wa Escape one uliopo Mikocheni B . Usiku wa leo unaletwa na kampuni ya Steps Entertainment kwa kushirikiana na Escape one itashirikisha wasanii nyota kibao kutoka Swahilihood […]

Read More..

Amanda Asubiri Ndoa Amuanike Hubby Wake

Post Image

Staa wa filamu za Kibongo, Tamrina Posh ‘Amanda’ ameibuka na kusema kuwa amejifunza kuwa msiri kwenye uhusiano wa kimapenzi na sasa atamuanika mpenzi wake atakapokaribia kufunga ndoa. Akipiga stori na Ijumaa Amanda alisema kuwa, siku hizi amekuwa hapendi kuweka wazi kajiweka kwa mwanaume gani kutokana na historia ya maisha yake ilivyoathirika kwa kujianika. “Yaani mtu […]

Read More..

Uzinduzi wa Tanzanite International Film Fe...

Post Image

Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye Jumapili hii mkoani Arusha amezindua tamasha kubwa la Kimataifa la Filamu, ‘Tanzanite International Film Festiva’. Waziri Nape aliwaambia wadau na waigizaji wa filamu waliohudhuria uzinduzi wa tamasha hilo, kuwa hii ni moja ya hatua kubwa kwenye historia ya filamu nchini na kuahidi Wizara yake itaendelea kutoa […]

Read More..

Rose Ndauka Asema Aliumia Kuachana na Mpenz...

Post Image

Msanii wa filamu Rose Ndauka amesema hakuna kitu kilimuumiza katika maisha yake kama kuachana na mpenzi wake Malick Bandawe aka Chiwaman, siku chache kabla ya ndoa yao kufanyika. Akizungumza na Bongo5 Jumatano hii, Rose Ndauka amesema aliumia kwa sababu alishatangaza kwa watu, kwamba anatarajia kufunga ndoa. “Kiukweli iliniumiza sana, kwa sababu mpaka tumefikia hatua tufunge […]

Read More..

Dotto Kuonyeshwa Kwenye ‘Bongo Movies Pre...

Post Image

Filamu ya Dotto iliyochezwa na mastaa wakali wa bongo movies wakionzwa na  Irene Paul pamoja na Patcho Mwamba itazinduliwa kwenye Bongo Movies Premiere pale escape one, Jumatano ya tarehe 27 mwezi huu. Mstaa kibao na wapenzi wa bongo movies wote watakuatana kuitazama filamu hiyo kwenye big screen siku huyo kuanzia saa 1 usiku. Usikose!

Read More..

Mussa Banzi wa Filamu ya Shumileta na Msiuk...

Post Image

Muongozaji mkongwe wa filamu na mwandishi wa stori za filamu, Mussa Banzi baada ya ukimya wa muda mrefu ameamua kurudi kwenye game la filamu ili kufanya mapinduzi. Banzi ambaye aliwahi kutamba na filamu kama Shumileta, Msiuka pamoja na Odama ambayo ilimtoa msanii Odama, ameiambia Bongo5 kuwa ameamua kurudi baada ya kuona tasnia ya filamu inayumba […]

Read More..