-->

Category Archives: Bongomovies

artists from Tanzania , East AFRICA

Thea Adaiwa Kuhongwa Gari

Post Image

STAA wa filamu Bongo, Salome Urassa ‘Thea’ sasa hivi anasukuma mkoko baada ya kutembea kwenye vumbi kwa muda mrefu lakini pia taarifa zilizo nyuma ya pazia zinadai eti kahongwa na mwanaume. Inadaiwa baada ya Thea kumwagana na Michael Sangu, alijiweka kwa mwanaume mwenye nazo na ndiye aliyempa jeuri ya kumiliki gari hilo aina ya Toyota […]

Read More..

Kutana na Wastara Ndani ya Karibu Dar

Post Image

FILAMU ijulikanayo kwa jina la Karibu Dar ipo tayari na sasa inaingia sokoni siku ya Jumatatu kwa kishindo sinema hiyo ambayo kinara wake ni Wastara Juma ‘Stara’ ni kazi nzuri na yenye stori ya kuvutia na inasambazwa na kampuni ya Splash Entertainment ya jijini Dar es Salaam. Sinema ya Karibu Dar imewashirikisha wasanii wakali kama […]

Read More..

Wema Sepetu Akanusha Uvumi wa Mimba Yake Ku...

Post Image

Mashabiki wa Wema Sepetu waliingiwa na hofu kali baada ya mtangazaji wa Clouds FM, Soudy Brown kuandika post yenye utata.   “Pole Dada @wemasepetu mungu akupe nguvu ktk kipindi hiki kigumu, akupe moyo wa uvumilivu pia ili utoke hospitali ukiwa salama inshaallah, kazi Yake Mola haina makosa #INASEMEKANAETI,” aliandika Soudy kwenye Instagram. Wengi walitafsiri post […]

Read More..

Kiapo Chamtesa Esha Buhet

Post Image

Kiapo cha kutochora tena michoro (tattoo) katika mwili wake, alichokitoa msanii wa filamu Bongo, Esha Buhet, kinamtesa baada ya kukikiuka kwa kujichora mkubwa zaidi ya hapo awali. Akizungumza na mwandishi wetu juzikati, Esha alisema alikula kiapo cha kutojichora mwili wake, lakini amelazimika kukivunja baada ya kuamua kumuenzi mama yake mzazi. “Nimefanya hivyo kwa ajili ya mama yangu, nimeona sina sehemu ya kumuweka zaidi ya mgongoni kwangu tena kwa maandishi,” alisema Esha.

Read More..

Masanja: Mimi Ni Mchungaji, Lakini Mbinguni...

Post Image

Emmanuel Mgaya, maarufu kama “Masanja Mkandamizaji” aliyejizoelea umaarufu katika fani yake ya uchekeshaji na kundi lake la “Ze Comedy” kwa sasa amegeukia kazi ya ushehereshaji na Uchungaji. Katika moja ya Kazi yake hivi karibuni Masanja akiwa MC katika tukio fulani alitoa mpya baada ya kuwashangaa waimbaji wa Kigali-Rwanda wa kwaya ya “AMBASSADOR OF CHRIST” ambao […]

Read More..

ZIFF Yaanza Kupokea Maombi ya Wasanii

Post Image

TAMASHA la Kimataifa la Filamu za Nchi za Jahazi (ZIFF), limeanza kupokea maombi ya wasanii wa sanaa mbalimbali kutoka nchi mbalimbali za Afrika na nje ya Afrika kwa ajili ya ushiriki katika tamasha hilo kubwa. Kwa mujibu wa Mkurugenzi wa Tamasha hilo, Profesa Mahando, maombi hayo yanatumwa kabla ya Machi 31, 2016 na yatumwe kupitia […]

Read More..

Wolper, Mkongo Watimkia Sauzi!

Post Image

Staa wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper na mpenzi wake Mkongo, wamedaiwa kuuza magari yao na kutimkia nchini Afrika Kusini ‘Sauz’. Chanzo makini kilichoomba hifadhi ya jina, kimepenyeza ubuyu kuwa miezi kadhaa iliyopita, maisha ya Wolper na Mkongo huyo yalibadilika na kuwa magumu hivyo katika kusaka suluhisho la kujikwamua, wakaamua kuuza magari yao na kwenda […]

Read More..

Ishakua Soo Itamembeba Niva- Jimmy Mafufu

Post Image

MTAYARISHAJI na mwigizaji wa filamu Bongo Jimmy Mafufu ametoa kali ya mwaka baada ya kusema kuwa filamu ijayo hajaona msanii wa Bongo wa kumshirikisha kwani wasanii wengi ameshawashirikisha katika filamu zake nyingi na sasa anaangalia uwezo wa kuwatumia wasanii wakubwa kutoka . “Sioni tena msanii wa kumshirikisha filamu zangu za kiume maana katika filamu yangu […]

Read More..

Ukipata Mtu Kama Riyama Usichelewe Kumuoa &...

Post Image

Leo Mysterio ambaye ni mchumba wa malkia wa filamu nchini Riyama Ally amefunguka na kusema “unapopata mtu anayestahili kuwa mke usicheleweshe kufanya maamuzi ya kumuweka ndani”. Leo Mysterio amesema hayo kupitia kipindi cha Planet Bongo ya East Africa Radio na kusema kwa sasa tayari yeye amefanya maamuzi ya kuishi na Riyama na muda wowote kuanzia […]

Read More..

Karibu Dar ya Wastara Yaja kwa Kasi

Post Image

FILAMU ijulikanayo kwa jina la Karibu Dar ipo tayari na sasa inaingia sokoni siku ya Jumatatu kwa kishindo sinema hiyo ambayo kinara wake ni Wastara Juma ‘Stara’ ni kazi nzuri na yenye stori ya kuvutia na inasambazwa na kampuni ya Splash Entertainment ya jijini Dar es Salaam.   “Sinema ya Karibu Dar inatarajia kuingia siku […]

Read More..

Familia ya Diamond Yalamba Mamilioni

Post Image

FAMILIA ya mkali wa Muziki wa Kizazi Kipya Bongo, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ imelamba mamilioni ya shilingi kufuatia mkataba walioingia hivi majuzi na kampuni ya simu ya mkononi ya Vodacom, Risasi Mchanganyiko lina ripoti kamili. Kwa mujibu wa chanzo kilicho ndani ya kampuni hiyo yenye mtandao mkubwa zaidi wa simu nchini, Diamond na familia yake […]

Read More..

Mazuri Yangu Chukueni na Mabaya Acheni-Shil...

Post Image

Msanii wa bongo movie na  bongo fleva Shilole amefunguka na kuwataka wadada kuiga iana ya maisha anayoishi kwa kuchukua mambo mazuri anayoyafanya na yale mabaya wayaache wasiyaige. Shilole amesema hayo kupitia Account yake ya Instgram ambapo alikuwa akiwataka vijana wasikate tamaa na wala wasikubali kukatishwa tamaa na binadamu bali wanapswa kumtegemea Mungu na kusimamia kile […]

Read More..

Riyama Ally ‘Mkegani’ Awachana Maproduc...

Post Image

Msanii mahiri wa filamu Tanzania Riyama Ally anayetambulika kwa sasa kama malkia wa uswazi au Mkegani amewalalamikia watayarishaji wa filamu nchini kuwa wanachangia kwa kiasi kikubwa kuua vipaji vya wasanii hapa nchini. Wasanii wamekuwa wakijadiliwa na kukosolewa sana katika uigizaji wao na kutobadilika kuendana na husika wanazocheza katika filamu. Leo nimepata fursa ya kuongea na […]

Read More..

Wema Sepetu Afunguka Kuhusu ‘Range’ Yak...

Post Image

Baada ya kuzagaa kwa taarifa katika mitandao ya kijamii pamoja na baadhi ya magazeti kuwa ile ‘Range Rover Evogue’ ya staa wa filamu, Wema Sepetu aliyojizawadi katika siku yake ya kuzaliwa imekamatwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), kwa madai alikwepa kulipa kodi, Wema amesema gari yake ipo nyumbani kwake. Akizungumza na 255 katika kipindi […]

Read More..

Usharobaro Wamtokea Puani Stan Bakora

Post Image

Usharobaro umemtokea puani komediani wa Bongo, Stanley Yusuph ‘Stan Bakora’ baada ya kudondoka na kuumia mguu wa kulia wakati akifanya mazoezi ya kutumia Cyboard (Saibodi). Ishu nzima ilitokea wiki iliyopita katika moja ya duka la nguo lililopo Kinondoni, Dar baada ya kupiga mwereka wa kufa mtu na kujikuta akianguka kama mkungu wa ndizi kutoka juu […]

Read More..

Nilimpokea Sharomilionea kwa Mikono Miwili-...

Post Image

Msanii wa vichekesho Kitale alimaarufu kama Mkude Simba amefunguka na kusema kuwa yeye ndie aliyempokea aliyekuwa msanii wa vichekesho na msanii wa bongo fleva marehemu Sharo Milionea. Akipiga stori katika kipindi cha Mkasi Tv kinachorushwa kupitia ting’a namba moja kwa vijana (EATV) Kitale amesema kuwa yeye ndiye alimpokea Sharo Milionea na kumtambulisha kwenye tasnia, Kitale […]

Read More..

Wapuuzwe Wanaodai Tasnia ya Filamu Imekufa ...

Post Image

Msanii mkongwe wa filamu nchini, Vicent Kigosi ‘Ray’ amewataka mashabiki wa filamu kuwapuuza watu wanaodai tasnia ya filamu imekufa baada Steven Kanumba kufariki. Akizungumza na Bongo5 Ijumaa hii, Ray alisema huu ni wakati kwa wadau wa filamu pamoja na mashabiki kusupport wasanii waliopo kwa nunua kazi zao. “Mimi nataka mashabiki wa filamu wajue hii tasnia […]

Read More..

Ukimtaka Shilole Andaa Mil. 20

Post Image

Amepanda dau? Msanii wa Bongo Fleva, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ amefunguka kuwa bila mtu kuwa na kiasi cha Sh. Milioni 20 mkononi, hawezi kucheza filamu yake kwa kuwa kwa sasa anaona kama ni kumpotezea muda. Akipiga na Ijumaa Wikienda, Shilole au Shishi Baby alifunguka kuwa soko la filamu Bongo, linashuka na pia wasanii wanatumia muda mwingi […]

Read More..